As long as huyo mtoto yupo ndani ya himaya yangu ni wa kwangu, hata kama ikigundulika miaka 15 baadae si wa kwangu kimsingi nitakuwa tayari nimeshakuwa baba yake.
je ukikuta si wako utafanya ninishit ndo maana naogopa ndoa...nikipata wangu wote lazima nicheki dna
Yaaminika asilimia 44.77 ya wanandoa wanatunza watoto si wao..pengine wengi wameamua kukaa kimya sababu mateso yake ni bora waendelee kulea hivyo hviyo watoto wa wenzao..je wewe unalea wako ??
Majibu ya hekima ni busara kwa anaesubiri ndoa