Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Mahari ni Dola milioni ishirini na sita $ 26,000,000 Bwana harusi na bibi harusi wanameremeta! Kila mtu na mtindo wake wa maisha, hilo limedhihirishwa na tukio la ndoa ya aina yake kwa nchi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Afisa mtendaji wa kijiji cha ufana,tarafa ya sepuka ktk halmashauri ya wilaya ya singida,aliyetambulika kwa jina la maulidi komba amepandishwa kizimbani katika mahakama ya mwanzo ipembe,mjini...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta mke ambaye yuko tayari kuolewa Sifa: 1. awe na umri kati ya 21-26 2. awe christian na mcha mungu Aliye tayari ani pm
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Inatosha
0 Reactions
9 Replies
1K Views
kweli nimeshndwa narudia tena nimeshndwa, mimi ni kijana wa 25-30 umri wa kuoa au kuwa na msimamo na mchumba uliye na malengo nae, mwaka 2007 nilimtongoza mdada mmoja wa maeneo ya kwe2 akakubali...
0 Reactions
77 Replies
5K Views
Jamani hii kitu ya ukweli; nimefuatilia nikaona ni watu wengi wanajiunga; na kwa sababu haicost nimeona niwashirikishe wana JF mjiunge ili ifikapo hapo april tuanze kuvuna pamoja. Nimeunganisha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dada zangu itokeapo umempenda kijana nae ana mke, mnafanya nini?
0 Reactions
78 Replies
7K Views
naitwa james nina umari wa miaka 21,ni mwanafunzi wa chuo hapa dar,,,nahitaji marafiki wa ukweli wa kusaidiana katika raha na shida....umri kuanzia miaka 26 na kuendelea
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Happy new year wapendwa. Its my first thread for this year after a long dissappearance. Hata hivyo nawamiss wote hapa JF na this time nimekuja kivingine............ So Valentine day is...
7 Reactions
32 Replies
3K Views
:gossip: The ASIAN :gossip: Has one Wife Has one girlfriend But he loves his wife the most. The AMERICAN Has one wife Has one girlfriend But he loves his girlfriend the most. THE...
4 Reactions
33 Replies
3K Views
Sio lengo langu kuwafundisha wanawake namna yakuachana na wapenzi au waume zao. Lakini hebu fikiria kwamba kila wakati wanandoa au wapenzi wako kwenye vita. Hakuna amani, hakuna masikilizano...
1 Reactions
10 Replies
7K Views
Ladies and Gentle men, imani yangu ni kua woote wazima wa afya…. Na tutashirikiana katika mada hii nyingine tena ikilenga chakula na umuhimu wake katika mahusiano. UMUHIMU WA CHAKULA KATIKA...
20 Reactions
295 Replies
35K Views
Kinamama,mabuzi yako kibao mjini ila dada zangu sa ingine mnayakosea.Ukitaka kuyachuna kisawasawa hebu fuata mwongozo huu: 1.Target: Mwindaji mzuri hutambua swala aliyenona kabla hajarusha...
21 Reactions
256 Replies
24K Views
Nawatakia usiku mwema ninyi wooooote mlio wah kutendwa katika mahusiano, laleni tu mkiwaza mambo yenu maana hao walowatenda saiv wanavuta shuka tu wala hawawazi ninyi. Usiku mwema to all JF...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari zenu wakubwa. Kuna jamaa yangu amekuwa akiishi na binti mwanafunzi wa kidato cha kwanza tangu mwaka jana agost sasa baada ya wazazi wake kugundua kuwa hajatulia,wakamwambia kuwa hawana...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wana JF, ndio naingia ofisini nikitokea site, mezani nimekutana na kadi ya mwaliko wa harusi kutoka kwa Bujibuji. Congratulations
2 Reactions
66 Replies
6K Views
Ndugu wana jf,kuna rafiki yangu ni mwanaume ana mchumba wake na ameisha mtambulisha kwao na wazazi wa pande zote wanajua uchumba wao,jamaa na mchumba wake wote ni walokole na wamekubaliana wasi do...
1 Reactions
46 Replies
3K Views
Habari ya weekend? Ni matumaini yangu mmekuwa na wakati mzuri. Nimetokea kumpenda sana kijana mmoja lakini ninaona vigumu kumwambia. Yeye anazidi kunipa wakati mgumu pale ambapo yeye haoneshi...
0 Reactions
45 Replies
4K Views
awe na elimu ya dini yeyote awe na umri wowote asizidi miaka 40 awe tayari kuishi popote
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom