Afisa mtendaji wa kijiji cha ufana,tarafa ya sepuka ktk halmashauri ya wilaya ya singida,aliyetambulika kwa jina la maulidi komba amepandishwa kizimbani katika mahakama ya mwanzo ipembe,mjini singida akikabiliwa na tuhuma za kujihusisha na utoaji wa talaka kwa lengo la kuvunjo ndoa ya mke na mume