kweli nimeshndwa narudia tena nimeshndwa, mimi ni kijana wa 25-30 umri wa kuoa au kuwa na msimamo na mchumba uliye na malengo nae, mwaka 2007 nilimtongoza mdada mmoja wa maeneo ya kwe2 akakubali, 2kapendana kweli kweli, mpaka 2010 mwshoni 2kawa kwenye uhusiano vizuri, sasa ikafikia mahali nausikilizia moyo wangu haswa 2kiwa mbali.
Hivi ni vigezo gani, au aweje mpenz wangu ili niishi nae! Nafsi ikanitajia, kukutana na huyo mpenz wangu nikakuta amevikosa baath na sa hv ni mwez wa 8 teyar nina mdada mwingne mwenye navyo na nimempenda kwel kweli, shda inakuja jins ya kumwacha huyu wa kwanza maana nimekosa ujasiri kwa kweli.
Ni2mie mbinu gan jaman ctaki kuendelea kumpotezea mda na jins 2livyokua close na anavyojiamin kuwa cwez kumtosa maana kuna mahali 2nakopeshana hela etc mmoja we2 akichoka, so nashndwa kuenda direct, pls nisaidien, nimeshakosa nipen msaada bdala ya kunilaumu. am a Man
Hivi ni vigezo gani, au aweje mpenz wangu ili niishi nae! Nafsi ikanitajia, kukutana na huyo mpenz wangu nikakuta amevikosa baath na sa hv ni mwez wa 8 teyar nina mdada mwingne mwenye navyo na nimempenda kwel kweli, shda inakuja jins ya kumwacha huyu wa kwanza maana nimekosa ujasiri kwa kweli.
Ni2mie mbinu gan jaman ctaki kuendelea kumpotezea mda na jins 2livyokua close na anavyojiamin kuwa cwez kumtosa maana kuna mahali 2nakopeshana hela etc mmoja we2 akichoka, so nashndwa kuenda direct, pls nisaidien, nimeshakosa nipen msaada bdala ya kunilaumu. am a Man