Natafuta mrembo wa kuwa nami.

voozle

Member
Feb 3, 2012
12
0
Naitwa Haji Rashid,,,,nina miaka 23,,ni mweupe kidogo{maji ya kunde},,,urefu ft,5.6,,,umbo langu ni la kawaida,,natafuta msichana mrembo awe na miaka 18/23,,,anayejitambua vizuri,asiwe mapepe,awe umbo la kawaida,elimu japo kidato cha nne,awe mzuri na awe na adabu kwa kila mtu.nitafute kwa E-mail...hajirash28@yahoo.com
 
Naitwa Haji Rashid,,,,nina miaka 23,,ni mweupe kidogo{maji ya kunde},,,urefu ft,5.6,,,umbo langu ni la kawaida,,natafuta msichana mrembo awe na miaka 18/23,,,anayejitambua vizuri,asiwe mapepe,awe umbo la kawaida,elimu japo kidato cha nne,awe mzuri na awe na adabu kwa kila mtu.nitafute kwa E-mail...hajirash28@yahoo.com

we ni mvulana bado hujafikia kwenye uanaume.
 
kazi kwelikweli
nakuombea kwa mungu ukutane na msichana mzuri asikusumbe wala kukutia wazimu na muendane mana wasichana wa siku izi ni umiza kama sio pasua kichwa
 
Naitwa Haji Rashid,,,,nina miaka 23,,ni mweupe kidogo{maji ya kunde},,,urefu ft,5.6,,,umbo langu ni la kawaida,,natafuta msichana mrembo awe na miaka 18/23,,,anayejitambua vizuri,asiwe mapepe,awe umbo la kawaida,elimu japo kidato cha nne,awe mzuri na awe na adabu kwa kila mtu.nitafute kwa E-mail...hajirash28@yahoo.com
Inshaallah m/mungu atakusaidia,tia nia,funga japo sunna ya siku 3.
Nakuhakikishia utampata umtakae inshaallah!
 
Inshaallah m/mungu atakusaidia,tia nia,funga japo sunna ya siku 3.
Nakuhakikishia utampata umtakae inshaallah!

Inshaallah mm naona kufunga ndio njia pekee yakupata mke mwema.ushauri uliopewa nafikiri utakusaidia
 
kwanini asiende FB utaoa wanajeshi humu.
Kuanzia Majina mpaka picha za profile ni za uongo.wasichana wa humu teali wana sifa ya uongo huwawezi.
 
Poleni toka lini wachumba wanapatikana humu hata haya hamuoni utampendaje m2 mwenye akili yake hataki mchumba humu coz m2 hata tabia zake humjui humjui hata alivyo
 
Umewapa taarifa wazazi/ walezi wako kuwa unahitaji huyo binti?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom