Chukua yeyote mwenye njaa ya ndoa...wako wengi tu!!
Inategemea...kuna wakuliwa?!Wewe una njaa?
Inategemea...kuna wakuliwa?!
Kama kuna anayetaka kukula wewe je?
Hapo napo inategemea ulaji wake...kama ni mzuri au la!!
Basi itabidi umuonjeshe kwanza ili uweze kujua :lol:
nina mipango ya dhati kuwa na mwenzi...
mwezi nov mwakani...
ila sina rafiki wakike ambaye niko nae kwa mahusiano ya kimapenzi
... wala mchumba mpaka sasa...
naomba ushauri wako ww mwenye uwezo wa kufikiri...
inawezekana??nipe mbinu nifanyeje...
Nadhani hili ni suala la binafsi. Hakuna haja ya kulifanya issue. Why should you make a big deal out of nothing. Hata sisi tulipooa hatukufanya matangazo. Utapata wanaotafuta walio na kabati za mbeo na picha na baadaye uletewe ma-uncle na ma kaka ambao si lolote bali wapenzi wao wa zamani. Kuoa si jambo la kutangaza hovyo hovyo. Anyways, nenda kafundwe.
Chukua yeyote mwenye njaa ya ndoa...wako wengi tu!!
kaka wala hata usipange lini utaoa, mambo ya kuoa yanakuja automatically tu, unajikuta unaoa, lini utaoa siku ikifika utaijua tu...