Alinikimbia.... anapiga goti.

Magoo

JF-Expert Member
Sep 4, 2011
445
72
Nilikuwa naye kwa miaka 4 kipindi tukiwa masomoni yy secondary mm University miaka kadhaa nyuma. Hatukuwai kufanya sex kwa makubaliano hadi aitimu masomo yake kwani hakuwa amewai kuduu kwa kuwa nilimpenda sana tulifanya kila kitu isipokuwa sex inshort i was crazy on her, kwa kipindi hicho tulikuwa tukionana wakati wa likizo tu alionyesha dhahiri kunipenda kwani ndugu zake Mama yake dada zake na kaka zake wote walinifahamu hili lilinifanya nimuamini zaidi.

Ajabu mara tu baada ya mm kuitim kwani na yy ndo alikuwa kaitimu nilimwambia kabla ya lolote inabidi tukacheki afya zetu kwa usalama zaidi hapo ndo ikawa chanzo kwani alikataa kwa kigezo cha kwamba yy hajawi kudoo hivyo yuko salama ama otherwise nisubiri amalize chuo kama utani akaanza kutopokea simu zangu hadi kufikia hatua ya kuwa anakata, niliumia zaidi ya maelezo. Nikaongea na ndugu zake pamoja na mama yake ili wasaidie kumweka sawa ikashindikana at last nikagive up na maisha yakaendelea but behind the scene nikapata taarifa anatoka na kijana mwingine

Mwaka uliofuata nikapata scholarship ya masomo ulaya kwa hiyo mawasiliano hayakuwepo hata chembe baada ya kurudi kama zali nikapata nafasi ya kuwa assistant lecturer chuo fulani hapa jijini kumbe na yy alikuwa amechaguliwa hicho chuo na yupo mwaka wa 2. kituko 1 day nikaingia kupiga pindi darasa ambalo ndimo na yy alimokuwa i was shocked baada ya kuiona ile sura ikinyanyuka na kutoka nje kisha kurudi muda wote alikuwa amejiinami

Nilivyotoka lecture alinifata na kuomba contact zangu kisha kuomba kuonana nami nilikubali... katika nafsi yangu mapenzi kwake hayapo tena ila naona kuna kitu still sikujitendea haki nilikikosa kutoka kwake na hii hali najaribu kupingana nayo hadi sasa ila nashindwa........ Wekend iliyopita tulikutana na kuzungumza sana ila kikubwa aliniweka wazi kwamba anamzigo mkubwa sana katika nafsi yake hasa akikumbuka alichofanya kwangu anaomba nafasi nyingine walau athibitishe alinipenda sana nimsaidie kutua mzigo alionao{ penzi lake kwangu}

Sikumjibu ila nilimwambia kuna ya kuzungumza zaidi kwani mm nina mpenzi wangu sitaki kumtenda.... eti kadai itakuwa ni siri yetu. Wakuu wenzangu mzigo wa penzi ni mzito mnooo hasa ukiona kuna kitu hakikutimia katika mahusiano husika hadi sasa nawaza na kuwazua what am i supposed 2do, najua humu ndani naweza pata ushauri na nafsi yangu ikapata nafasi ya kujiridhisha.
 
Hana lolote huyo anaogopa anahisi una kinyongo nae so anahisi utamdunga supplementary na carry over akose chuo.. Anataka akuchezee akili kwa mara nyingine je angekukuta mathalani we ni mpiga debe angekurudia.. Muulize KIZIBO/bikra bado anayo?? Sio anatangangaza mapenzee...
By da way msahishie paper zake kwa haki tupu usije ukam'mwanaasha...
Umenipa raha kweli we mjamaaa
 
we temana naye asikuharibie ratiba ya maisha yako. Anajigonga since ameona umeshakuwa matawi ya juu.
 
Sepa utakuja juta mara ya pili.ana lolote huyo,je asingekuona ingekuaje?mpotezee
 
kweli mapenzi kitu ya ajabu! Hayachagui sinia/bakuli lekchara wala hiyo yako sijui nini nini. Katika maisha kuna watu wa aina mbili: 1. Wanaoweza kuishi na wasaliti(baada ya kuwasamehe) 2.wasioweza kuishi na wasaliti(wawe wamewasamehe au hawaja wasamehe) hapa tofautisha wasaliti na wakorofi wengine. Taarifa yako haitupi picha pana ili nitoe ushauri mpana lakini kitendo alichofanya binti huyo ni cha usaliti. Kuna wengine hujirudi na kujirekebisha na wengine ni hulka yao,hata akulilie vp ukamsamehe,atakuja kukusaliti tu huko mbele..., sijajua ni kwanini alikupiga chini,lakini kashaonesha u-iskarioti tayari kwanini uwayewaye kama mbwa mbele ya chatu? Usimpe nafas akakugeuzageuza ka chapat kwenye flampen.lakin uamuz ni wako mkuu
 
duh........
Ya ngoswe namwachia ngoswe
ila mkumbuke mbayuwayu wa karimjee
 
we co lecturer uc2zuge kalale mbele. ishu ndogo sana hiyo unashindwa kusolve. we mwl wa babyclass.
 
Jaman mapenz hayana lecturer,huyo muache mwambie awe free uko safi moyon na yeye awe free na hulka zake.
 
Hana lolote huyo anaogopa anahisi una kinyongo nae so anahisi utamdunga supplementary na carry over akose chuo.. Anataka akuchezee akili kwa mara nyingine je angekukuta mathalani we ni mpiga debe angekurudia.. Muulize KIZIBO/bikra bado anayo?? Sio anatangangaza mapenzee...
By da way msahishie paper zake kwa haki tupu usije ukam'mwanaasha...
Umenipa raha kweli we mjamaaa

Ha ha eti usije ukammwanaasha!!?
 
Anaonyesha yupo kimaslahi zaidi na hata ukiwa nae tena na akapata mwenye uwezo zaidi hatosita kukuacha
 
Nilikuwa naye kwa miaka 4 kipindi tukiwa masomoni yy secondary mm University miaka kadhaa nyuma. Hatukuwai kufanya sex kwa makubaliano hadi aitimu masomo yake kwani hakuwa amewai kuduu kwa kuwa nilimpenda sana tulifanya kila kitu isipokuwa sex inshort i was crazy on her, kwa kipindi hicho tulikuwa tukionana wakati wa likizo tu alionyesha dhahiri kunipenda kwani ndugu zake Mama yake dada zake na kaka zake wote walinifahamu hili lilinifanya nimuamini zaidi.

Ajabu mara tu baada ya mm kuitim kwani na yy ndo alikuwa kaitimu nilimwambia kabla ya lolote inabidi tukacheki afya zetu kwa usalama zaidi hapo ndo ikawa chanzo kwani alikataa kwa kigezo cha kwamba yy hajawi kudoo hivyo yuko salama ama otherwise nisubiri amalize chuo kama utani akaanza kutopokea simu zangu hadi kufikia hatua ya kuwa anakata, niliumia zaidi ya maelezo. Nikaongea na ndugu zake pamoja na mama yake ili wasaidie kumweka sawa ikashindikana at last nikagive up na maisha yakaendelea but behind the scene nikapata taarifa anatoka na kijana mwingine

Mwaka uliofuata nikapata scholarship ya masomo ulaya kwa hiyo mawasiliano hayakuwepo hata chembe baada ya kurudi kama zali nikapata nafasi ya kuwa assistant lecturer chuo fulani hapa jijini kumbe na yy alikuwa amechaguliwa hicho chuo na yupo mwaka wa 2. kituko 1 day nikaingia kupiga pindi darasa ambalo ndimo na yy alimokuwa i was shocked baada ya kuiona ile sura ikinyanyuka na kutoka nje kisha kurudi muda wote alikuwa amejiinami

Nilivyotoka lecture alinifata na kuomba contact zangu kisha kuomba kuonana nami nilikubali... katika nafsi yangu mapenzi kwake hayapo tena ila naona kuna kitu still sikujitendea haki nilikikosa kutoka kwake na hii hali najaribu kupingana nayo hadi sasa ila nashindwa........ Wekend iliyopita tulikutana na kuzungumza sana ila kikubwa aliniweka wazi kwamba anamzigo mkubwa sana katika nafsi yake hasa akikumbuka alichofanya kwangu anaomba nafasi nyingine walau athibitishe alinipenda sana nimsaidie kutua mzigo alionao{ penzi lake kwangu}

Sikumjibu ila nilimwambia kuna ya kuzungumza zaidi kwani mm nina mpenzi wangu sitaki kumtenda.... eti kadai itakuwa ni siri yetu. Wakuu wenzangu mzigo wa penzi ni mzito mnooo hasa ukiona kuna kitu hakikutimia katika mahusiano husika hadi sasa nawaza na kuwazua what am i supposed 2do, najua humu ndani naweza pata ushauri na nafsi yangu ikapata nafasi ya kujiridhisha.
Chagua mwenyewe kt ya huyo uliena sasa
Au huyo wa zamani,kama unampenda wa zamani then mwambie,but pls make sure mnapima before doing any thing.
TAHADHARI:demu huyo si mkweli.
 
Ulishawahi katika maisha yako kusimama kwa miguu miwili?..namaanisha katika mapenzi.In life time lazima kma mwanaume uliyekamilika uwe na angalau story moja ya kusimama kwa miguu miwili.

Kwamba kwa vyovyote vile kwa mazingira ya chuoni ..wewe lecture yeye mwanafunzi,wewe unalipwa mshahara yeye anapata mkopo unategemea "asikupende?"....simama mwambie ukweli kwamba huna kinyongo na yeye na hutamuonea kwenye mitihani lakini mapenzi no nina wangu.
 
Ha ha eti usije ukammwanaasha!!?

Si unajua tena ndugu... ubaya wa chuo lecturer ndio ''NECTA'' basi kaaaz kwelikweli... Kama anakabeef na denti anamnywisha bakuli la supu/sapu then anamtwisha gamba la kobe/carry over,,,.. Basi hapo daaaaah kwisha habari yako
 
Nilikuwa naye kwa miaka 4 kipindi tukiwa masomoni yy secondary mm University miaka kadhaa nyuma. Hatukuwai kufanya sex kwa makubaliano hadi aitimu masomo yake kwani hakuwa amewai kuduu kwa kuwa nilimpenda sana tulifanya kila kitu isipokuwa sex inshort i was crazy on her, kwa kipindi hicho tulikuwa tukionana wakati wa likizo tu alionyesha dhahiri kunipenda kwani ndugu zake Mama yake dada zake na kaka zake wote walinifahamu hili lilinifanya nimuamini zaidi.

Ajabu mara tu baada ya mm kuitim kwani na yy ndo alikuwa kaitimu nilimwambia kabla ya lolote inabidi tukacheki afya zetu kwa usalama zaidi hapo ndo ikawa chanzo kwani alikataa kwa kigezo cha kwamba yy hajawi kudoo hivyo yuko salama ama otherwise nisubiri amalize chuo kama utani akaanza kutopokea simu zangu hadi kufikia hatua ya kuwa anakata, niliumia zaidi ya maelezo. Nikaongea na ndugu zake pamoja na mama yake ili wasaidie kumweka sawa ikashindikana at last nikagive up na maisha yakaendelea but behind the scene nikapata taarifa anatoka na kijana mwingine

Mwaka uliofuata nikapata scholarship ya masomo ulaya kwa hiyo mawasiliano hayakuwepo hata chembe baada ya kurudi kama zali nikapata nafasi ya kuwa assistant lecturer chuo fulani hapa jijini kumbe na yy alikuwa amechaguliwa hicho chuo na yupo mwaka wa 2. kituko 1 day nikaingia kupiga pindi darasa ambalo ndimo na yy alimokuwa i was shocked baada ya kuiona ile sura ikinyanyuka na kutoka nje kisha kurudi muda wote alikuwa amejiinami

Nilivyotoka lecture alinifata na kuomba contact zangu kisha kuomba kuonana nami nilikubali... katika nafsi yangu mapenzi kwake hayapo tena ila naona kuna kitu still sikujitendea haki nilikikosa kutoka kwake na hii hali najaribu kupingana nayo hadi sasa ila nashindwa........ Wekend iliyopita tulikutana na kuzungumza sana ila kikubwa aliniweka wazi kwamba anamzigo mkubwa sana katika nafsi yake hasa akikumbuka alichofanya kwangu anaomba nafasi nyingine walau athibitishe alinipenda sana nimsaidie kutua mzigo alionao{ penzi lake kwangu}

Sikumjibu ila nilimwambia kuna ya kuzungumza zaidi kwani mm nina mpenzi wangu sitaki kumtenda.... eti kadai itakuwa ni siri yetu. Wakuu wenzangu mzigo wa penzi ni mzito mnooo hasa ukiona kuna kitu hakikutimia katika mahusiano husika hadi sasa nawaza na kuwazua what am i supposed 2do, najua humu ndani naweza pata ushauri na nafsi yangu ikapata nafasi ya kujiridhisha.
Mago, Assist Lecturer! eti atue mzigo, mzigo gani? na anaposema itakuwa siri, ni siri gani? you have got to be careful man!. najua unasukumwa zaidi na hali ya kuwa hukuwai kumlala sasa unataka kutii kiu, kumbuka kuna gharama ya kutii kiu. ambayo inaweza kuwa ni huyo unaemwita mpenzi wako.
kumbuka kadiri unavyofanya mjadala wa mfanye au msifanye kuwa mrefu manake mnazidi kuwa na strong contact, na siku ukilamba asali, kuna mashaka kuwa mzinga utachonga na ile sukari guru yako itaanza kuwa mbaya na hatimae utaisahau
 
piga chini mwana kama kweli una she mwingine unamkubali...huyo hana lolote anatafuta maisha ya mteremko hapo chuo, kama vipi mkazie tu....madem bwana ukiwa hauko poa wanambwembwe kinoma, ukiwa safi tu wanakuwa wapole kama kobe...piga chini
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom