Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,709
Unakumbuka siku ulipoulizwa; Ewe. . . .,unakubali kumpokea . . . . .,awe mumeo/mkeo,katika shida na raha,magonjwa na afya na utamhesimu siku zote za uhai wako mpaka kifo kiwatenganishe?Kisha ukajibu ndiyo!!!!Unaikumbuka kauli hii?Je ina nguvu kwako leo kama siku ile?Je unapokumbuka unajisikiaje?