long distance relationship kama wazungu wanavyoita hamna tofauti na mtu aliye single, so painful if u real in love,usiombe yakukute ndugu yangu,kwa wale wa wanaoishi bongo campan ni kubwa ya...
Hebu nikuulize wewe mwanamke. Je umewahi kumficha mumeo au mpenzi wako kitu chochote kuhusu maisha yako ya zamani au ya sasa? Je mumeo au mpenzi wako ameshawahi kukushangaza na siri ya mambo yake...
Ni mjadala mzito nnilikuwa na jamaa yangu mmoja ambaye anashughulikia hapa mambo ya Domestic Violence. Position zetu zilikuwa mbili tofauti moja ni kwamba huwezi kuwa survivor bila kuwa victims -...
Inafahamika kuwa siku hizi wanawake wengi wanafanya maamuzi kwa utashi wao..
tofauti na zamani....siku hizi wamewezeshwa na wanaweza......
wapo wanaotongoza wenyewe wanaume...
wapo wanaotoka nje...
Ndugu zanguni wana JF; Leo nimeona niwaletee dokezo tu kwa mengi niliyochunguza juu ya mahusiano hasa ya mapenzi, uchumba na ndoa. Kichwa cha habari chahusika.
Sababu ya kwanza ni KUTOKUJIAMINI...
A way to a man's heart is through his stomach................. Kwa tafsiri yangu ya elimu ya ngumbaru ni kuwa ukiwa mpishi mzuri wa chakula, basi umewin moyo (mapenzi) wa mpenzi/mume wako...
Hodi wanajukwaa,
Kuna jamaa mmoja, umri 27 yrs, nahisi kachanganyikiwa na mapenzi. Historia yake inaonyesha amekuwa hurt na mpenzi wake wa kwanza. Baada ya kuachana na huyo mpenzi wake, akakutana...
jamaa alimpenda demu akamtumia rafiki yake ili kuweka mambo sawa kweli yule rafiki akamsaidia kumtongozea rafiki yake jamaa wakaanza uhusiano. katikati ya uhusiano jamaa akarudi kwa yule rafiki wa...
Wadau,
This is serious, dogo kaja mbio amechanganyikiwa... he loves siblings, na anvyohisi wote wanampenda na kama na wao hawaelewi wafanyeje, they are scared to ask him and he is scared kwani...
Miezi saba baada ya kuvunjika kwa ndoa yake, tayari J.LO ana boyfriend mpya. This time ameamua kuchukua kabisa toyboy mwenye umri wa miaka 24. Toyboy tayari kesha move in to help out with the...
Natafuta mchumba wa kike mwenye sifa zifuatazo:
1.Awe na heshima
2. Awe mvumilivu
3. Mchapa kazi
4. Mwenye huruma
5. Awe mweupe wa wastani
6. Awe na mwili wenye ukubwa wa wastani
7. Awe na urefu...
Wengi tunapo fanya mambo yetu yale na watu ambao hatu waamini huwa tunatumia PSI. Lakini huku tukiwa tunakula lita za fluid. Ina maana hizo PSI tunavaa kwa mazoea au?
Eti wadau,kwa wale ambao mlikua na ma galfrds/boyfrds wakati mko vyuo vikuu,ivi baada ya kumaliza vyuo then kila mtu akawa mkoan kwao maisha yalikuaje,maana najua wengne hata ile jero ya kununua...
unajisikiaje mvulana wako anakuambia kua siwezi kukupigania hata siku moja....... kwanini nife kwasababu yako wakati wasichana wako kibao...hapo kuna love kweli
Nipo stand isiyo rasmi ya basi.Ni kijijini. Natoka Tanganyika kuelekea Tanzania.Punde anasogea binti mdogo, kati ya umri wa darasa la saba na kidato cha kwanza. Nikiwa kijijini, sikujali kukata...
Jaman mimi nampenz wangu tunapendana sana tunazaidi ya mwaka na tumepanga kuoana lakin tatizo ni mamamkwe aliona sms zangu kwa mwanae sasa ni mlokole hanitak mimi ni muislamu lakn niko tayar...
Jana nilitoa tangazo katika safu hii. Jamani niko sirias. Leo narudia tena.
Natafuta mchumba mwenye heshima,huruma, uvumilivu, mchapakazi, mweupe wa wastani, mwenye mwilli wenye ukubwa wa wastani...
Katika kufuatilia kwangu naona wanawake wanacheat sana kuliko wanaume sema watu wengi wanajua kama wanaume ndio wanacheat sana,,haionekani kama wanawake ndio wanacheat sana kwa sababu wanawake ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.