Jana niliweka mada hapa kuhusu fumanizi au kutoka nje ya ndoa. Na leo ningependa kuzungumzia jambo hilo.
Hebu fikiria kuwa umedhibitisha kwamba mwenzako sio mwaminifu, yaani ametoka au anatoka nje...
.....d'u belive hiyo makitu hapo juu?....
Unaipa/ unayapa nafasi gani katika maamuzi ya matendo yako?
Hebu tubadilishane mawazo aisee...
Huenda nazeeka vibaya, au sijui ndio mid life...
Mara nataka ice cream saa saba usiku...mara nakuchukia kama nini...mara hamtaki tv ili mradi vurugu tu..
je kuna namna gani ya kupunguza hormones hizo za hasira na kulialia pia
kuwachukia...
Ukiwa na buku tu unafika popote na shemeji ukiwa umepanda na mpambe mnaenda kumfuata dada mtu mitaa ya kati.
Kwa hali hii mikebe sasa kupanda watu tutakuwa tukipanda kipindi cha masika kiangazi...
Kuna rafiki yangu kaja jana kunilalamika kuhusu mama yake mdogo kuwa ana roho mbaya sana hataki watoto wa dada yake wapate bali watoto wake tu. Jamaa kaniambia alikuwa anafanya kazi kongo kwenye...
NINALIOGOPA SANA JAMBO
HILI: Amini usiamini, lakini huu
ndio ukweli wenye uchungu!
Hakuna jambo ninalolihofia zaidi
ktk maisha ya ndoa kama
kusalitiwa Na ndio linitialo khofu kuoa! Hiyo...
RULES FOR DATING AN MBA (Married But Available)
If you hear someone say that they are married but available, you may be taken aback by this. After all, if you are married, then how can you be...
Nimesoma habari,nimeona picha na hata video ya
yale aliyo fanyiwa wema na diamond pale mlimani city.
Pamoja na mabaya yake yote,ila siku hiyo alikuwa mpole sana.
Mmmmmh,this brings me to my...
Wadau nimegundua suala la utani ni muhimu sana kwenye masuala ya mahusiano,lakini mm ninatatizo la kuwa serious hata ninapotaka kutania nakosa pa kuanzia ,nifanyaje au nitumie mbinu...
Jamani kuna dada nawasiliana naye tangu october mwaka jana mpaka leo hajawai kuniona wala cjawah kumwona kwa sura. Anaonyesha shauku kubwa ya kmapenzi juu yangu, anapenda tukutane lakn bado spo...
Kuna usemi unasema eti mwanamke akipenda anapenda kweli,mwana jf mwenzangu kuna ukweli wowote hapo?au wewe unaelewa nini juu ya hili? nijuzeni mwenzenu!
SIMULIZI hii ni ya ukweli, ukizani uongo basi shauri yako; hususani wewe mwanaume mwenzangu upendae kujikweza mbele ya vidosho!!
In short ni kwamba, siku hizi nimechoka mbaya lakini enzi zile...
Ili uhusiano wowote uwe endelevu kila mmoja anapaswa kuelewa na kutimiza mahitaji ya mwenzake. Mahitaji haya hutofautiana kati ya m/mke na m/mme but a woman's primary need is emotional.
Mwanamke...
Maisha ya mapenzi si mchezo; alikuwa my honey longtime, nikaenda kupiga kitab majuu. Juzi nimerudi jana kaniomba nimpeleke dinner, tumepata dinner kama kawa majira ya saa nne nkimrudisha kwake...
Eti wadau,hii ni sawa kweli,kuna katoto ka mwaka wa pili hapa chuon kwetu,nilikatongoza kakanikataa,wel me nkaamua kukafungia vioo,asa cha ajabu kila cku lazma kanipgie cmu zaidi ya mara 1 kwa...
una mke na watoto pia una kazi nzuri kwa nini hutaki kuwatunza???? samaki samaki kila siku lazima upitie kula bata pale mkeo akiomba hela ya matumizi unagoma akili matope!wanaume kwa sasa...