.Najsikia vyema kuingia ktk dunia hii. Naombeni mnishauri nitanufaikaje na huduma hii ktk maisha yangu?
Najsikia vyema kuingia ktk dunia hii. Naombeni mnishauri nitanufaikaje na huduma hii ktk maisha yangu?
We unataka apigwe ban? Amuulize konnie.Fedha hatuna lakini mashambulizi ukifanya ovyo, ushauri ukiwa na tatizo na kukonga moyo vinapatikana hapa. Karibu.
Ukitaka maudhi basi unaweza kwenda barza jirani apo 'sihasa'.