Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Filauni!
Mkuu wa Shule moja hapa Bukoba amelizwa, alikuwa na mchumba wake ambae ni yatima akamsomesha kuanzia form 1-4 akabahatika kupata Division 3-ya 25...
Wadau wengi wa JF ni waathirika pia na ndio maana linapokuja suala hilo wengi wanakuwa wakali.
Kuolewa/kuoa ukiwa na Bikira ndiyo mpango wa Mungu bali kuoa/kuolewa bila kuwa nayo ni mpango wa...
Leo katika pita pita zangu nikakutana na mdada mmoja mtaani. Huyu dada tumeshawahi kutana mara nyingi, mi najua anafanya kazi gani ila ya alikuwa hajui kazi yangu.
Nikamweleza kuwa nina maongezi...
Poleni na majukumu wana wa jf.
Kitu kikubwa ni kwamba nina mpenzi wangu tumekuwa kwenye mahusiano ni mwaka sasa alikuwa bado anasoma na sasa kamaliza chuo, chakushangaza hataki kazi nimemtafutia...
Nampenda na tunaishi tofauti, yeye Tz na mimi nje ya Tz.
Siku mbili zilizopita alinipigia sm skupokea, katuma msg kwenye whatsap sikujibu. baada ya dakika kama 30 nikampigia na kuanza kujitete...
habari zenu wanajamvi,
kweli, natamani sana kuwa na mwanaume mwema, mwenye upendo wa kweli, anaejali, na mwenye utu. lakini kulingana na hali halisi ya wakati huu, mawazo hayo ni hadithi. kumpata...
::
Never say I love you
If you really dont mean it
::
Never talk about feelings
If they aren't there
::
Never hold my hand
If you plan to break my heart
::
Never look into my eyes
If...
Leo mie Karucee nimekaa weeeee. Nipo idle kishenzi. Sina mood wa kazi so nikajikuta nawafikiria hawa wenzetu ambao we cant kill them nor live without them. It must be really difficult being them...
Nyani Ngabu+ The Boss + SHERRIF ARPAIO+ BAK= mmmmmhhh?!! Haya!!!
I know they have something in common, but I cannot just lay my finger to it. The first two are very bad..... the last two are...
Habarini za kazi ndugu zangu,,naombeni kujua wapi ambapo nitapata huduma ya counselling,maana nina msongo wa mawazo sana baada ya kuachwa na mpenzi wangu ambaye tumetoka mbali sana,,imefika muda...
Bad Boys. Love them or hate them, the fact remains that women just cant get enough of them. Ive had friends who were clearly dating guys that were so poisonous to their lives. Trying to get...
Kwa mda mrefu nimekuwa nikiwatafakari kaka zangu wakisukuma, haswa walio kulia vijijini na sasa wapo mjini na pia mambo yao ni mazuri kwa kulingana na backgroung zao, kitu kimojaninachongundua...
wapenzi wana jukwaa la mmu, habari zenu!
mwenzenu nasumbuliwa na ndoto kila leo naota ndoto mpya, kila moja na kisanga chake, halafu cha ajabu huwa haziishi, yaani scene hazimaliziki, zinaishia...
Assume kwamba wewe umemkosea mpenzi wako, as we say umecheat somewhere na amekugundua kabisa kwamba umtenda kosa!!!
sasa pointi inakuja hapa, je utafanya vitu gani mpaka umfanye mwenzi wako...
Usagaji ni hali hali ya mwanamke kumfanyia mwanamke mwenzake vitendo vya mapenzi na ngono
Ni sawa na kusema usenge au kwa wanaume, na kama ilivyo kwa wanaume kuwa kuna ------, basha na...
Habari za weekend wadau wa MMU???
Tangu nimejitambua sikuwahi kusikia kuhusu mila na desturi hizi, juzi kati ndo nilianza kusikia. Sijui kama zina ukweli wowote???
1. Iwapo mtoto akizaliwa...
Naandika kwa nia nzuri ,wala si kuwahukumu watu ila najua iatwafumbua macho wengi!
Aidha nimeleta kwenye jukwaa hili makusudi kwa itagusa sana mahusiano !
Hivi karibuni nilipokea wageni toka...
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kichuna wa kizaramoNIsieisha utamu!
Bazazi wa JF Headquater ya mikwara!
The Boss wa JF wewe unasema nini?
Mtasema...