Wadau wengi wa JF ni waathirika pia na ndio maana linapokuja suala hilo wengi wanakuwa wakali.
Kuolewa/kuoa ukiwa na Bikira ndiyo mpango wa Mungu bali kuoa/kuolewa bila kuwa nayo ni mpango wa shetani.
Kama ni suala la kufundishwa hilo ni jukumu la viongozi wa dini na wazazi.Mimi nitamfundisha mwanangu wa kiume jinsi ya kumfikisha mkewe barabara kabisa.
Faida ya wanandoa kuoana wakiwa mabikira ni nyingi sana kama zifuatazo:
1. Hakuna kusalitiana ktk ndoa maana kila mtu anaridhika na mwenzake.
2. Hakuna maambukizi ya magonjwa ya zinaa.
3. inapunguza watoto wa mitaani.
4. Hakuna nyumba ndogo.
5. Inaleta heshima Katika jamii na familia.
Kama mwanandoa ataoa/kuolewa kwa mpango wa shetani yaani amekuwa na mahusiano mengi yaani ameishaona nene, fupi, ndefu,pana, etc kamwe hawezi kulidhishwa na mwenzi wake.
NB: Waleeni watoto wenu na wadogo zenu ktk maisha yanayompendeza BWANA Mungu.
Kuolewa/kuoa ukiwa na Bikira ndiyo mpango wa Mungu bali kuoa/kuolewa bila kuwa nayo ni mpango wa shetani.
Kama ni suala la kufundishwa hilo ni jukumu la viongozi wa dini na wazazi.Mimi nitamfundisha mwanangu wa kiume jinsi ya kumfikisha mkewe barabara kabisa.
Faida ya wanandoa kuoana wakiwa mabikira ni nyingi sana kama zifuatazo:
1. Hakuna kusalitiana ktk ndoa maana kila mtu anaridhika na mwenzake.
2. Hakuna maambukizi ya magonjwa ya zinaa.
3. inapunguza watoto wa mitaani.
4. Hakuna nyumba ndogo.
5. Inaleta heshima Katika jamii na familia.
Kama mwanandoa ataoa/kuolewa kwa mpango wa shetani yaani amekuwa na mahusiano mengi yaani ameishaona nene, fupi, ndefu,pana, etc kamwe hawezi kulidhishwa na mwenzi wake.
NB: Waleeni watoto wenu na wadogo zenu ktk maisha yanayompendeza BWANA Mungu.