Nina shaka wanajf hamjambo!nina mashaka na hizi muvi zetu zenye muelekeo wa imapenzi.eti mbongo akiigiza kalala na mwenzie hawachakahuani tunda la katikati?maana nahisi filamu zetu kwajinsi...
Mapenzi ni kitu ambacho huleta furaha kubwa isiyo na kifanikati ya wawili wapendanao kwa dhati,kwani huleta hisia za kujaliwa,hisia zakujihisi unamilikiwa na mtu umpendaye,hisia za usalama,hisia...
Ushauri wenu wazeeplease na vijana kwa ujumla
Eti kwa nini wazee wengi wa miaka ya sasa inapotokea rizki kwa binti yaokuposwa wanakataa. Ukitizama binti ashafikia age ya kuolewa...
She is pretty girl, cute, good looking, portable but talkative!!!!!
Alinitembelea leo mtaani kwangu baada ya mawasiliano ya hapa na pale! nimempokea saa 6:30 mchana akitokea posta nimemuaga saa...
Kuna msichana imetokea kanifia, anaonesha kabisa kwamba anataka tufanye mapenzi.
Huyu msichana nafahamu historia yake kwamba ana tabia nzuri na si mtu wa kujirusha.
Nahisi ana ubikra na...
Sio mimi, ni Professor Konstantinos Manolopoulos - University of Oxford
Scientists from the University of Oxford have discovered that women with larger than average butts are not only...
Tunaposema mtu anajali tunamaanisha anasimamia show muhimu kama kumtoa out, hela za lace wig, mavazi, vizawadi vya hapa na pale, perfume na mambo kibwena...sasa wewe kaka yangu kujali unadhani ni...
Naweza kusema ni mpenzi wangu ambaye niliishi naye zaidi ya mwaka mmoja nyumbani kwangu kwa lugha nyingine alikua kama mke ila nilikua sijaenda kujitambulisha kwao.
Mkasa ulikua hv
Nilikutana...
habari wana mmu!!?
binafsi, nimekuwa nikijiuliza maswali mengi sana juu ya kabila hili la kikurya katika suala zima la mapenzi!
kwa jinsia ya kike, wanawake wamekuwa ni watu wasiri sana katika...
heshima na salamu kwenu wote MMU kwa takribani wiki sasa tumekuwa tukiletewa mkasa mzuri na ndugu yetu MZIZIMKAVU hapa jamvini lakini nashangaa kimya mpaka sasa au ndo imeisha nisaidieni wasomaji...
wanajf hamjambo????
kama wiki 2 zilizopita hapa jf kulikuwa na topiki ya mwanamke kukatwa na mumewe hapa tarime!!!,mimi kama mwanajf sikuchangia chochote ktk mada ile'
jana mchana nilifika...
^^
Kila mmoja analo hitaji la kupendwa.Kuna wanaotumia nguvu nyingi ikiwemo rasilimali ili wapendwe.Na wengine hawatumii nguvu yoyote ili wapendwe.Na wapo ambao hawajui wako wapi.
....
Lakini...
Habari zenu wapendwa,
Hope mko salama na mnaendelea na shuhuli zenu. Mie bana mwezi wa saba mwaka huu ni nilifanya interview kampuni flani hivi na mwezi wa tisa nilipigiwa simu kuwa nimepata kazi...
Nimekuwa nikijiuliza muda mrefu na bado sijapata jibu.
Mwanamke humtamani mwanaume. Hisia zao zipo wapi?
Kwa nini mwanamke haezi kumtamkia mwanaume kuwa anamtaka?
Habari zenu wana janvi?
Nimekuwa ni mtu wa kujichanganya na jamii sana, hali iliyonifanya kuwa na marafiki wengi sana wa namna tofauti tofauti ila nashukuru sijawahi kukosana na mtu katika mitaa...
aisee jamaa kamkomalia mrembo wake aisee!! dada nae anaonekana kuwa na mapozi meeeengi kweli kweli!!
hizi swaga naona siku hizi hazipo! atm yako tu ndio inavuta!
Nimesikitishwa sana hadi nimetoa machozi kwa hiki kilichokuwa kinaendelea kwenye uzi wa Wanawake wanajiuza.
Wanaume mnataka nini? Mmekosa hata staha kwa hao wachache mnaowajali mkabaki...
Kufanya kazi sehemu moja au kuzungumza na mwanamke mwenye mvuto kunaweza kumfanya mwanaume apoteze
umakini wake, hii ni kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Jarida la New Study.
Wanaume...
Wana JF, kwa utafiti kidogo niliofanya, nimegundua kwamba asilimia kubwa ya wanaume hawawaridhishi mademu wao.
Mwanaume akishaingia uwanjani lile jote humfanya akapiga bao mapema.
Mwanamke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.