Habari za leo wana jamvi?
Hivi wanawake wenye misimamo kwenye sex hawasumbui wanaume kweli ,maana mi ninae wa hivi sasa nahofia nisije nikawa naambiwa sijisikii na mtu kasimamia kucha kweli.
mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28,mkristo nasali romani catholic na nimeokoka,elimu yangu ni shahada ya uzamili yaani masters,nina kazi nzuri tu na ni mwajiliwa wa selikali, rangi ni maji...
Tulikutana mwaka 1986 nilipo pelekwa Mihayo Primary (kabla haijabadilishwa kuwa secondary) kuanza std 1, sikuhiyo tulipokewa na mwl Neema.
baada ya kubadilishwa kuwa secondary tukahamishiwa...
mawasiliano yamerahisishwa sana siku hizi na kuna namna tofauti tofauti za kuwasiliana ingawa ni ukweli kuwa kuna watu unaweza maliza hata mwaka hujawasiliana nao hali ya kuwa una namba zao za...
kuna rafiki yangu alishapelekwa kijijini na dada moja kwenda kutambulishwa kuwa ndo baba watoto mtarajiwa lakini haikuchukua miezi miwili jamaa kapata taarifa kua yule binti kafunga ndoa jana...
1. Nijuvye mpenzi wangu, hali yako ulonayo
Zimepita siku chungu, sijasikiya haliyo
Hukaribu chini yangu, nikapoza huu moyo
Naungulika kwa hayo
2. Waniruka usingizi, kucha nikikufikiri
Hebu itika...
habari wanajamii forum wenzangu natafuta marafiki wakike wa kuchat nao sijali umri wala nn ili tuwe tunachat na kubadilishana mawazo na kupiga mastory so kama upo tayari tucheckiane kupitia namba...
Ninasikitika kuwataarifu kuwa mwenzetu Smile, amefiwa na mama yake siku ya alhamisi huko Moshi na mazishi yanatarajiwa kufanyika huko huko Moshi.
Kama tujuavyo wengi wetu humu ndani tunaishi kama...
Wapenda habari za weekend
Natafuta shule kwa ajiri ya mtoto ambae uwezo wake wa kusoma ni mdogo, hana utindio wa ubongo
Naombeni msaada wenu shule kwa ajiri ya primary school mahali popote Tanzania
Mapema asubuhi wanaume wengi wanakuwa wamesimamisha!!Je kuna uhusiano gani kati ya muda huu na kinachotokea?Elimu haina mwisho.
XXXXXXXXXXXXXXXXXX
pamoja na maelezo ya kina yaliyowekwa hapo...
Wanabodi Ijumaa Kareem
Natumaini sote tuko poa.
Kuna jambo nimekuwa nikiliona kwenye maofisi mengi ambamo nimepitia na nilipojaribu kuwauliza baadhi ya marafiki zangu wafanyao kwenye ofisi...
Wandugu nimejikuta katika wakati mgumu kufanya tafakuri baada ya kuulizwa swali hili na jamaa yangu wa karibu, ndugu huyu alikuwa na mpenzi wake na wakazaa nae wakati mtoto akiwa kachanga...
hakika nakuambieni wana MMU..kuwa na mpenzi mmoja ni kama kujitwisha zigo la mateso ,,yani wajifunga mwenyewe bila kujielewa.
Kwanini? B coz,,
1.huyo mpenzi akikuchoka tu anaanza vimbwanga...
Watu wasichanganye pepo la ngono na jini mahaba
Jini mahaba ni pendapenda japo hupenda mmoja kwa Wakati mmoja, ukiona mtu anakupenda bila sababu na anakuwa tayari kufanya chochote, namaanisha...
habari zenu wana mmu!!?
mwenzenu nimeamka na hili kichwani mwangu.. nimeona nije mbele za great thinkers tupeane ushauri!
jana katika pita pita zangu mitandaoni, nilikutana na ishu moja ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.