Kwa mda mrefu nimekuwa nikiwatafakari kaka zangu wakisukuma, haswa walio kulia vijijini na sasa wapo mjini na pia mambo yao ni mazuri kwa kulingana na backgroung zao, kitu kimojaninachongundua...
wapenzi wana jukwaa la mmu, habari zenu!
mwenzenu nasumbuliwa na ndoto kila leo naota ndoto mpya, kila moja na kisanga chake, halafu cha ajabu huwa haziishi, yaani scene hazimaliziki, zinaishia...
Assume kwamba wewe umemkosea mpenzi wako, as we say umecheat somewhere na amekugundua kabisa kwamba umtenda kosa!!!
sasa pointi inakuja hapa, je utafanya vitu gani mpaka umfanye mwenzi wako...
Usagaji ni hali hali ya mwanamke kumfanyia mwanamke mwenzake vitendo vya mapenzi na ngono
Ni sawa na kusema usenge au kwa wanaume, na kama ilivyo kwa wanaume kuwa kuna ------, basha na...
Habari za weekend wadau wa MMU???
Tangu nimejitambua sikuwahi kusikia kuhusu mila na desturi hizi, juzi kati ndo nilianza kusikia. Sijui kama zina ukweli wowote???
1. Iwapo mtoto akizaliwa...
Naandika kwa nia nzuri ,wala si kuwahukumu watu ila najua iatwafumbua macho wengi!
Aidha nimeleta kwenye jukwaa hili makusudi kwa itagusa sana mahusiano !
Hivi karibuni nilipokea wageni toka...
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kichuna wa kizaramoNIsieisha utamu!
Bazazi wa JF Headquater ya mikwara!
The Boss wa JF wewe unasema nini?
Mtasema...
Naandika haya kwa masikitiko makubwa kwa hali iliyonitokea ijumaa ya juzi .Kuna mdada kazini kwangu imetokea kuzoeana sana kiasi kwamba lunch huwa tunakwenda pamoja huku tukiwa bega kwa bega ...
Napata wakati mgumu sana nifikiriapo wanawake hasa kwenye jambo la mapenzi....Unakuta mwanamke anamwambia mwanamume wake kwa kuomba anyonywe chini hata bila yakuzingatia maumbile yake! mwanaume...
Dah!my love huyu,sijui anafikiri kwenye oblongata yake mimi nina bustani ya miti ya pesa?au nimemzoesha vibaya?anway it is called life and sometimes it may happen.Eti naomba mnijuze,kujali maana...
habari wakuu...nimekuja jukwaani na munkari kwa sababu nafsi yangu ina hatia..najihisi mkosaji..lakini poa ngoja niwadokezee...nina swahiba wangu ambaye miaka miaka mitano iliyopita alifunga...
Habari zenu wanajamvi, ni j2 nyingine tupo pamoja lakini nimeona leo niwashirikishe jambo lililonistaajabisha na hata kushindwa kuamini. Nikiwa ktk shughuli zangu ugenini na nimefikia lodge moja...
Utafiti uliofanywa na taasisi moja nchini Kenya inayojihusisha na maswala ya kijamii nchini humo imebaini kuwa wawanawake wanafonya biashara ya kuuza miili yao maarufu kama (wadada poa) hutumia...
Wadau,
Nimekua nikona wanaume wenzangu wakiwa wanachagua sana mwanamke wa kua nae. Unakuta mtu anachagua sana mwanamke mpaka umri unasogea na hana permanent mwenza. Sasa katika kulitazama hili...
Tangu niingie huu ulimwengu,sijawahi kuumia na kukosa raha na amani tangu mpenzi wangu aniambie neno hili"HUNA JIPYA".For sure nimejiona mdogo kama piriton na nahc kama nimeshachuja.SITAKAA...
Habari zenu wakuu
Mwanzoni mwa mwaka huu niliomba ushauri kuhusu mchumba wangu kukataliwa kupewa huduma alipoenda klinik nilipata majibu mazuri sana kutoka kwa watu mbali mbali waliopata nafasi...
Kama huna jambo/neno zuri la kuzungumza kuhusu mtu mwingine, nyamaza. Kama kuna ulazima wa kuzungumza hilo ulilonalo moyoni, basi mueleze mwenyewe. Jumapili njema wapendwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.