Kwa mda mrefu nimekuwa nikiwatafakari kaka zangu wakisukuma, haswa walio kulia vijijini na sasa wapo mjini na pia mambo yao ni mazuri kwa kulingana na backgroung zao, kitu kimojaninachongundua wanashoboka sana na wadada haswa ambao wanaonyesha kuwa wa matawi ya juu au majina makubwa mjini ( sitaki kutolea mifano ya kaka zangu marehemu wa kisukumawaliokuwa na majina na wamefia kwa sababu ya wanawake)
Anaweza kuwa anajua tabia mbaya za mdada lkn yupo tu, ilimradi inampa sifa mbele ya wenzake kuwa na huyo mdada, itakama kwenye hayo mahusiano hayampi furaha ila sifa
Na mbaya zaidi wanaishia kuoana au kusogezana ndani... matokeo yake wanakuwa ni wanyoge sana kwenye ndoa maana wao ni wavumilivu na hawaachi bali wanaachwa.
Mara nyingi kitu ambacho huwa najiambia ni kwamba the wife has given him a favour to be with her.
Anaweza kuwa anajua tabia mbaya za mdada lkn yupo tu, ilimradi inampa sifa mbele ya wenzake kuwa na huyo mdada, itakama kwenye hayo mahusiano hayampi furaha ila sifa
Na mbaya zaidi wanaishia kuoana au kusogezana ndani... matokeo yake wanakuwa ni wanyoge sana kwenye ndoa maana wao ni wavumilivu na hawaachi bali wanaachwa.
Mara nyingi kitu ambacho huwa najiambia ni kwamba the wife has given him a favour to be with her.