Makabila yetu: Vijana na wanawake wa Kisukuma

nyarngato

Member
Apr 11, 2012
29
4
Kwa mda mrefu nimekuwa nikiwatafakari kaka zangu wakisukuma, haswa walio kulia vijijini na sasa wapo mjini na pia mambo yao ni mazuri kwa kulingana na backgroung zao, kitu kimojaninachongundua wanashoboka sana na wadada haswa ambao wanaonyesha kuwa wa matawi ya juu au majina makubwa mjini ( sitaki kutolea mifano ya kaka zangu marehemu wa kisukumawaliokuwa na majina na wamefia kwa sababu ya wanawake)

Anaweza kuwa anajua tabia mbaya za mdada lkn yupo tu, ilimradi inampa sifa mbele ya wenzake kuwa na huyo mdada, itakama kwenye hayo mahusiano hayampi furaha ila sifa

Na mbaya zaidi wanaishia kuoana au kusogezana ndani... matokeo yake wanakuwa ni wanyoge sana kwenye ndoa maana wao ni wavumilivu na hawaachi bali wanaachwa.

Mara nyingi kitu ambacho huwa najiambia ni kwamba the wife has given him a favour to be with her.
 
Utafiti wako unaweza kuwa na ka ukweli fulani, ila kwa wanaume wa Kisukuma, atakuvumilia na yote lakini sahau kuwa peke yako, mhali/kupalika=polygamy
 
Mbona ndio watu ambao naona wanaweza kuwa controlled sana... unayajua mambo ya 'dada nimekudondokea'
Utafiti wako unaweza kuwa na ka ukweli fulani, ila kwa wanaume wa Kisukuma, atakuvumilia na yote lakini sahau kuwa peke yako, mhali/kupalika=polygamy
 
Kwa mda mrefu nimekuwa nikiwatafakari kaka zangu wakisukuma, haswa walio kulia vijijini na sasa wapo mjini na pia mambo yao ni mazuri kwa kulingana na backgroung zao, kitu kimojaninachongundua wanashoboka sana na wadada haswa ambao wanaonyesha kuwa wa matawi ya juu au majina makubwa mjini ( sitaki kutolea mifano ya kaka zangu marehemu wa kisukumawaliokuwa na majina na wamefia kwa sababu ya wanawake)

Toa mifano ya walio hai.

Anaweza kuwa anajua tabia mbaya za mdada lkn yupo tu, ilimradi inampa sifa mbele ya wenzake kuwa na huyo mdada, itakama kwenye hayo mahusiano hayampi furaha ila sifa

Toa mifano...

Na mbaya zaidi wanaishia kuoana au kusogezana ndani... matokeo yake wanakuwa ni wanyoge sana kwenye ndoa maana wao ni wavumilivu na hawaachi bali wanaachwa.

Mifano tafadhali...

Mara nyingi kitu ambacho huwa najiambia ni kwamba the wife has given him a favour to be with her.

Bila mifano ya kutosha na kuridhisha hitimisho langu ni kwamba hii mada yako ina sifa zote za kuitwa 'pumba za wiki'.
 
Mbona ndio watu ambao naona wanaweza kuwa controlled sana... unayajua mambo ya 'dada nimekudondokea'

Hata akidondokewa, ajue hadondokwei peke yake, na kwa jinsi wanavyoenzi na kujua kodondokea mwanamke/msichana anaweza amini yuppo mwenyewe kumbe hayuko peke yake
 
Mleta uzi kafanya utafiti kwa wasukuma pekee yake? Kama hujacheki makabila mengine, basi kuna tatizo na huu uzi. M4C
 
Kwa mda mrefu nimekuwa nikiwatafakari kaka zangu wakisukuma, haswa walio kulia vijijini na sasa wapo mjini na pia mambo yao ni mazuri kwa kulingana na backgroung zao, kitu kimojaninachongundua wanashoboka sana na wadada haswa ambao wanaonyesha kuwa wa matawi ya juu au majina makubwa mjini ( sitaki kutolea mifano ya kaka zangu marehemu wa kisukumawaliokuwa na majina na wamefia kwa sababu ya wanawake)

Anaweza kuwa anajua tabia mbaya za mdada lkn yupo tu, ilimradi inampa sifa mbele ya wenzake kuwa na huyo mdada, itakama kwenye hayo mahusiano hayampi furaha ila sifa

Na mbaya zaidi wanaishia kuoana au kusogezana ndani... matokeo yake wanakuwa ni wanyoge sana kwenye ndoa maana wao ni wavumilivu na hawaachi bali wanaachwa.

Mara nyingi kitu ambacho huwa najiambia ni kwamba the wife has given him a favour to be with her.

tutake radhi..'suala la mapenz halihusian na ukabila hyo ipo kwa mtu mmoja mmoja.
 
Kumuona Kanumba basi unajidai unawajua wasukuma wote.

Mwanamme wa kisukuma hajibizani na mwanamke hata siku moja, wana knguvu mno kukaa wanahangaishana na wanawake.

Kafanye risechi yako upya.
 
Kumuona Kanumba basi unajidai unawajua wasukuma wote.

Mwanamme wa kisukuma hajibizani na mwanamke hata siku moja, wana knguvu mno kukaa wanahangaishana na wanawake.

Kafanye risechi yako upya.

............unatoka kiulaiiini unaenda kuvuta chuma kingine, bila kuleta mgogoro na mwanamke mwenye ngega aka pagu
 
Kwa mda mrefu nimekuwa nikiwatafakari kaka zangu wakisukuma, haswa walio kulia vijijini na sasa wapo mjini na pia mambo yao ni mazuri kwa kulingana na backgroung zao, kitu kimojaninachongundua wanashoboka sana na wadada haswa ambao wanaonyesha kuwa wa matawi ya juu au majina makubwa mjini ( sitaki kutolea mifano ya kaka zangu marehemu wa kisukumawaliokuwa na majina na wamefia kwa sababu ya wanawake)

Anaweza kuwa anajua tabia mbaya za mdada lkn yupo tu, ilimradi inampa sifa mbele ya wenzake kuwa na huyo mdada, itakama kwenye hayo mahusiano hayampi furaha ila sifa

Na mbaya zaidi wanaishia kuoana au kusogezana ndani... matokeo yake wanakuwa ni wanyoge sana kwenye ndoa maana wao ni wavumilivu na hawaachi bali wanaachwa.

Mara nyingi kitu ambacho huwa najiambia ni kwamba the wife has given him a favour to be with her.




Bwana mdogo, tuheshimiana,kufa wasukuma wawili isiwe sababu ya kukufanya ujidai unawajua wasukuma.
 
hata akidondokewa, ajue hadondokwei peke yake, na kwa jinsi wanavyoenzi na kujua kodondokea mwanamke/msichana anaweza amini yuppo mwenyewe kumbe hayuko peke yake

yeee......kwa kweli ddadda limoyo langu limekudondokea nataka tupambanishe majifua.
 
Back
Top Bottom