Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,989
- 5,067
Kuna personality aina mbili ambazo binadamu tubaweza kuwa nazo. Unaweza kuwa introvert au extrovert (nimekosa neno la kiswahili).
Introvert ni watu ambao mambo yao mengi wanapenda kuyafanya kimya kimya, sio waongeaji, mara chache sana katika hali ya kawaida watajumuika na makundi ya watu. Muda mwingi wanapenda kuangalia tamthilia na movies wakiwa wametulia. Unaweza ukawa umetoka naye kimtoko lakini mwenzako muda mwingi yupo kimya au hata maongezi yake ni ya mkato mkato. Kwenye kuwasiliana unaweza kumtumia msg yenye maelezo mengi lakini yeye anakujibu neno moja tu 'poa'. Ukweli ni kwamba anaboreka na maongezi marefu. Anapenda kutulia peke yake.
Extrovert ni watu ambao wanapenda kufanya mambo yao wazi wazi. Wanapenda kujichanganya sana na Furaha yao ni kuona wanafurahia na watu wengine. Wanapenda kwenda 'out' na watu hata kwa gharama zao. Hata kuangalia muvi atapenda sehemu yenye watu wengi, hata kama ni nyumbani hawezi kuangalia peke yake. Atapenda muda mwingi muwe mnawasiliana ili ajisikie yuko karibu na watu. Wapenzi wa mpira wa miguu wengi wapo kundi hili. Ndio maana mtu ataondoka kwake na kuacha kila kitu na kwenda banda la video kuliko na watu wengi.
Introvert ni vigumu kujua matatizo yanayowakabili na wanapatwa sana na msongo wa mawazo na sonona. Pia huwa ni wepesi wa kujitoa uhai wanapozidiwa. Kama ni mpenzi wako utajikuta tu mnakuwa na ugomvi ambao sababu yake huijui kwani mambo mengi hayasemi.
Extrovert ni wepesi wa kuwajua matatizo yanayowakabili kwani wao kila kitu anawashirikisha marafiki zake na watu wanaomzunguka. Ila ni wepesi wa kutoa siri za ndani kwa watu wasiohusika. Na kukupa makavu ukimkosea ni kitu cha kawaida kwake.
Unapokuwa na uhusiano wa karibu na mtu inabidi umtambue yupo kundi lipi na yeye umuelezee ni nini unapendelea ili kuzoeana naye, msiwe na mifarakano ya mara kwa mara. Hii itapunguza malalamiko ya hisia zako kutojaliwa na mtu wako wa karibu kwani utaona Kama anakunyanyasa.
Jumapili njema wandugu na Mungu awabariki.
===============================================================================================================
Introvert ni watu ambao mambo yao mengi wanapenda kuyafanya kimya kimya, sio waongeaji, mara chache sana katika hali ya kawaida watajumuika na makundi ya watu. Muda mwingi wanapenda kuangalia tamthilia na movies wakiwa wametulia. Unaweza ukawa umetoka naye kimtoko lakini mwenzako muda mwingi yupo kimya au hata maongezi yake ni ya mkato mkato. Kwenye kuwasiliana unaweza kumtumia msg yenye maelezo mengi lakini yeye anakujibu neno moja tu 'poa'. Ukweli ni kwamba anaboreka na maongezi marefu. Anapenda kutulia peke yake.
Extrovert ni watu ambao wanapenda kufanya mambo yao wazi wazi. Wanapenda kujichanganya sana na Furaha yao ni kuona wanafurahia na watu wengine. Wanapenda kwenda 'out' na watu hata kwa gharama zao. Hata kuangalia muvi atapenda sehemu yenye watu wengi, hata kama ni nyumbani hawezi kuangalia peke yake. Atapenda muda mwingi muwe mnawasiliana ili ajisikie yuko karibu na watu. Wapenzi wa mpira wa miguu wengi wapo kundi hili. Ndio maana mtu ataondoka kwake na kuacha kila kitu na kwenda banda la video kuliko na watu wengi.
Introvert ni vigumu kujua matatizo yanayowakabili na wanapatwa sana na msongo wa mawazo na sonona. Pia huwa ni wepesi wa kujitoa uhai wanapozidiwa. Kama ni mpenzi wako utajikuta tu mnakuwa na ugomvi ambao sababu yake huijui kwani mambo mengi hayasemi.
Extrovert ni wepesi wa kuwajua matatizo yanayowakabili kwani wao kila kitu anawashirikisha marafiki zake na watu wanaomzunguka. Ila ni wepesi wa kutoa siri za ndani kwa watu wasiohusika. Na kukupa makavu ukimkosea ni kitu cha kawaida kwake.
Unapokuwa na uhusiano wa karibu na mtu inabidi umtambue yupo kundi lipi na yeye umuelezee ni nini unapendelea ili kuzoeana naye, msiwe na mifarakano ya mara kwa mara. Hii itapunguza malalamiko ya hisia zako kutojaliwa na mtu wako wa karibu kwani utaona Kama anakunyanyasa.
Jumapili njema wandugu na Mungu awabariki.
===============================================================================================================
The trait of extraversion–introversion is a central dimension of human personality theories. The terms introversion and extraversion were first popularized by Carl Jung,[SUP][1][/SUP] although both the popular understanding and psychological age differ from his original intent. Extraversion tends to be manifested in outgoing, talkative, energetic behavior, whereas introversion is manifested in more reserved and solitary behavior.[SUP][2][/SUP] Virtually all comprehensive models of personality include these concepts in various forms. Examples include the Big Five model, Jung's analytical psychology, Hans Eysenck's three-factor model, Raymond Cattell's 16 personality factors, the Minnesota Multiphasic Personality Inventory, and the Myers–Briggs Type Indicator.
Extroversion and introversion are typically viewed as a single continuum. Thus, to be high on one it is necessary to be low on the other. Carl Jung and the authors of the Myers–Briggs provide a different perspective and suggest that everyone has both an extraverted side and an introverted side, with one being more dominant than the other. Rather than focusing on interpersonal behavior, however, Jung defined introversion as an "attitude-type characterised by orientation in life through subjective psychic contents" (focus on one's inner psychic activity); and extraversion as "an attitude type characterised by concentration of interest on the external object", (the outside world).[SUP][3][/SUP]
In any case, people fluctuate in their behavior all the time, and even extreme introverts and extroverts do not always act according to their type.