Unajua inafikia mahali unaamua liwalo na liwe.Kuna kipindi niliomba ushauri kuhusu ndoa na mume mlevi na mchelewa kurudi, na siku zingine anarudi saa 11 alfajiri, simu yake ina messeji za ajabu...
Sio mimi ila ni takwimu zinasema kuwa 49%~ 50% wababa wa Tanzania wanalea watoto ambao sio wao je tatizo ni nini?
Na nini kifanyike, je nani wakulaumiwa kwa hili jambo?
Nina mpenzi wangu ambaye kiukweli kwa umri amenizidi(sio tatizo)ana mtoto 1 tumekua tukipendana sana ila kwa sasa tuko mikoa tofauti na yeye ameweka matumaini ya mm kurudi lakini kwangu imekua...
Habari zenu waungwana, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, ninaishi na mke na mtoto mmoja mwenye umri wa mwaka 1 na miezi 6, naishi nyumba ya kupanga, tuko wapangaji wawili kila mmoja ana mke...
Wanajamvi,
Najishangaa sana, hapa nilipo kila ninayempenda mwisho ananiacha bila kosa. Huyu wa sasa ndio kabisa yani nmempangia na nyumba anapokaa lakini ni wiki sasa tangu aniache na kusema...
Habari zenu wana jf
Nimekuwa na mahusiano na madada kama wanne humu na tunachati vizuri sana na kuongea sana hata ikiwepo mipango ya mbeleni ila kinachonishangaza kila tukikubaliana siku ya...
Nawaheshimu sana,nawapenda sana,acha niendelee then ntamalizia icho kituko mwisho,make watu mmekua na hasira sana utazan bando mnaniwekea nyinyi,ntakua napost kidogo kidogo kwan napoangalia divc...
KWA WANAUME ;
Ukiona Mpenzi Wako
Anakusumbua sumbua
Kila Siku Kukuomba Pesa
Ya Kununua Rangi Ya Kucha,
KAMNUNULIE KOPO LA
WINO WA # NEC (wino wa uchaguzi)
NOTE;
SIKU NJEMA KWAKO...
Watoto wanapatikana kupitia mahusiano ya jinsia mbili tofauti.
Bila kujali namna na uhalali wa mahusiano ya jinsia hizi mbili uwezekano wa kupata watoto huwa ni tarajio la uhakika.
Lakini wapo...
Mwanamke kabla hajaolewa huutunza usichana wake kwani ndio taji peke la heshima pale aolewapo. Ikitokea aliuharibu uschana wake basi hujutia na kutorudia kitendo kile kama mazoea kwake na huwa...
Amani iwe kuwenu, Nimejiuliza maswali mengi sana juu ya upekee wangu katika familia yetu. Tangu kuzaliwa kwangu na kukua kwangu nimeona mengi sana kwenye familia, Mimi ni mtoto wa kwanza kwa mama...
((( SITOSAHAU ))))
SIKU MCHEPUKO" ULIPONIACHIA MTOTO KWENYE DALADALA.
soma story hii.
Mke wangu MARY aliamka mapema na kuniomba niende nikamsaidie badhi ya majukumu sokoni, kwani yeye siku...
Nimesikia taarifa ya mkemia mkuu wa serikali akisema %49 ya watoto walioko kwenye ndoa si watoto halili wa ndoa, akafika mbali zaidi na kutaja mikio inayoongoza kuhujum ndoa zao akianza na arusha...
Kuna rafiki yangu wa siku nyingi anaishi sehemu flani nchini siwezi taja kijiji anachokaa kwa Kuwa anaweza kuwa ni member humu,juzi alifunga ndoa na mwanamke ambae wamekaa nae kinyumba kwa miaka...
Wanajamvi,
Mtoto ni baraka na neema kutoka kwa Mungu, ndo maana hakuna ndoa yenye furaha bila mtoto.Mwanamke asipozaa ktk ndoa huwa anasimangwa sana hadi kufikia kuambiwa kuwa anajaza choo tu na...