pongwer
Senior Member
- Mar 19, 2015
- 174
- 26
((( SITOSAHAU ))))
SIKU MCHEPUKO" ULIPONIACHIA MTOTO KWENYE DALADALA.
soma story hii.
Mke wangu MARY aliamka mapema na kuniomba niende nikamsaidie badhi ya majukumu sokoni, kwani yeye siku hiyo alikuwa akijisikia vibaya, Hakukuwa na wakumtuma kwani tangu Tuoane tuliishi sisi Wawili hatukubahatika kumpata MTOTO KWA MIAKA ZAIDI YA MI TANO YA NDOA YETU".
Nikaenda mpaka kituo cha DALADALA ingawa nilikuwa na mawazo mengi sasa" kutokana na badhi ya mambo yangu kuenda ndivyo sivyo.
Nikiwa kiwa katika DIMBWI LA MAWAZO daladala iko kituo cha mbele mara MAMA MMOJA akiwa na MTOTO MCHANGA akaniita dirishani na kuniomba NIM'BEBEE MTOTO kwani daladala ilijaa naye alihitaji kupanda.
Nilimpokea mtoto na baada ya hapo nikamwona akizinguka upande wa pili apande, nami nikaendelea kuwaza lakini safari hii nikasali kimoyomoyo kuwa MUNGU Anipe nami Baraka ya mke wangu kuzaa.
Mawazo mchanganyiko yaliendelea kwa muda mpaka nilipokuja kugundua kuwa Daladala ndio inaingia kituo cha mwisho.
Nikakaa pale kusubiri watu washuke ili nimkabazi mtoto yule kwa mama yake lakini CHA KUSHANGAZA ni kwamba kila MTU ALISHUKA NA KUJIKUTA NIPO MIMI NA KONDA TWAANGALIANA.
Nikamuuliza mama wa mtoto yuko wapi?
Akadai yeye hajuwi wala hakuona mama mwenye mtoto.....
Nikamhadithia jinsi ilivyo akaniambia MJOMBA HAPO NENDA POLISI TU.
Nikaenda polisi na kutoa maelekezo nikiwa na konda pamoja na mtoto yule. Baada ya maelezo wakanambia sasa wewe baki na mtoto na sisi tunaendelea na UPELELEZI".
Nikaahirisha kufanya yale niliyodhamiria na kurudi nyumbani MKE WANGU ALINISHANGAA!!!! na hata nilipojaribu kuelezea hakunielewa zaidi ya kudai MTOTO YULE LAZIMA AWE NA MAHUSIANO NAMI"
akazidi kusema kuwa lazima NIMEZAA NA MTU NA KANISUSIA BAADA YA KUTOMJALI AU ANATAKA NIOANE NAE AU MAMBO MENGINE AMBAYO YAWEZEKANA KUWA SIRI ZA MIMI NA HUYO MAMA YAKE.
Na mke wangu alikasirika aliondoka na kwenda kwao.
Ikanilazimu niende kituo cha kulelea WATOTO YATIMA nilichoambiwa kiko pale mtaani kwetu, na baada ya kufika pale na kutoa maelezo wakakubali na kumchukuwa mtoto jambo lililofanyika ndani ya siku nne maana ilinibidi niende pia na polisi wathibitishe.
Baada ya hapo nikaanza safari ya kwenda kijijini kwa mke wangu mary, kufika kule BABA NA MAMA wa mke wangu wakadai kuwa kwa UNYAMA NILIOMFANYIA MWANAWAO HAWATANIRUHUSU NIRUDI NAE TENA NA SASA WATAMRUHUSU AOLEWE NA MTU MUNGINE.
Nililia kama mtoto mdogo nikiomba WANISAMEHE NA HAWAKUNIELEWA, Kwani mkasa huu hata mimi wanipa wakati mgumu lakini hawakuelewa.
Nikakumbuka sisi Kwa KABILA LETU tukiwa tunahasira tuna asili moja ya KUJINYONGA".
Jioni ile nikanunua kamba yangu na nilipohakikisha kila mtu kalala, nikapanda juu ya mti kamba yangu shingoni na kisha kujitupa chini ili kama ile ininyonge...
Nilitapatapa pale na taratibu nikahisi haja kubwa ikinitoka kwa shida ikiashiria ndio nilikuwa NAKATA ROHO NIKALIA KILIO CHANGU CHA MWISHO KWA UCHUNGU" kabla kunaswa kibao na DEMU niliyelala naye GUEST BUBU huku akinisema" MWANAUME hauna haya wewe mimi nakuangalia hapa warusha rusha miguu na kujifanya unalia kumbe UNAKUNYA KITANDANI??
Mwanaharamu mkubwa wewee!!!!
Ha ha ha ha ndoto nyingine buana laana tupu.
SIKU MCHEPUKO" ULIPONIACHIA MTOTO KWENYE DALADALA.
soma story hii.
Mke wangu MARY aliamka mapema na kuniomba niende nikamsaidie badhi ya majukumu sokoni, kwani yeye siku hiyo alikuwa akijisikia vibaya, Hakukuwa na wakumtuma kwani tangu Tuoane tuliishi sisi Wawili hatukubahatika kumpata MTOTO KWA MIAKA ZAIDI YA MI TANO YA NDOA YETU".
Nikaenda mpaka kituo cha DALADALA ingawa nilikuwa na mawazo mengi sasa" kutokana na badhi ya mambo yangu kuenda ndivyo sivyo.
Nikiwa kiwa katika DIMBWI LA MAWAZO daladala iko kituo cha mbele mara MAMA MMOJA akiwa na MTOTO MCHANGA akaniita dirishani na kuniomba NIM'BEBEE MTOTO kwani daladala ilijaa naye alihitaji kupanda.
Nilimpokea mtoto na baada ya hapo nikamwona akizinguka upande wa pili apande, nami nikaendelea kuwaza lakini safari hii nikasali kimoyomoyo kuwa MUNGU Anipe nami Baraka ya mke wangu kuzaa.
Mawazo mchanganyiko yaliendelea kwa muda mpaka nilipokuja kugundua kuwa Daladala ndio inaingia kituo cha mwisho.
Nikakaa pale kusubiri watu washuke ili nimkabazi mtoto yule kwa mama yake lakini CHA KUSHANGAZA ni kwamba kila MTU ALISHUKA NA KUJIKUTA NIPO MIMI NA KONDA TWAANGALIANA.
Nikamuuliza mama wa mtoto yuko wapi?
Akadai yeye hajuwi wala hakuona mama mwenye mtoto.....
Nikamhadithia jinsi ilivyo akaniambia MJOMBA HAPO NENDA POLISI TU.
Nikaenda polisi na kutoa maelekezo nikiwa na konda pamoja na mtoto yule. Baada ya maelezo wakanambia sasa wewe baki na mtoto na sisi tunaendelea na UPELELEZI".
Nikaahirisha kufanya yale niliyodhamiria na kurudi nyumbani MKE WANGU ALINISHANGAA!!!! na hata nilipojaribu kuelezea hakunielewa zaidi ya kudai MTOTO YULE LAZIMA AWE NA MAHUSIANO NAMI"
akazidi kusema kuwa lazima NIMEZAA NA MTU NA KANISUSIA BAADA YA KUTOMJALI AU ANATAKA NIOANE NAE AU MAMBO MENGINE AMBAYO YAWEZEKANA KUWA SIRI ZA MIMI NA HUYO MAMA YAKE.
Na mke wangu alikasirika aliondoka na kwenda kwao.
Ikanilazimu niende kituo cha kulelea WATOTO YATIMA nilichoambiwa kiko pale mtaani kwetu, na baada ya kufika pale na kutoa maelezo wakakubali na kumchukuwa mtoto jambo lililofanyika ndani ya siku nne maana ilinibidi niende pia na polisi wathibitishe.
Baada ya hapo nikaanza safari ya kwenda kijijini kwa mke wangu mary, kufika kule BABA NA MAMA wa mke wangu wakadai kuwa kwa UNYAMA NILIOMFANYIA MWANAWAO HAWATANIRUHUSU NIRUDI NAE TENA NA SASA WATAMRUHUSU AOLEWE NA MTU MUNGINE.
Nililia kama mtoto mdogo nikiomba WANISAMEHE NA HAWAKUNIELEWA, Kwani mkasa huu hata mimi wanipa wakati mgumu lakini hawakuelewa.
Nikakumbuka sisi Kwa KABILA LETU tukiwa tunahasira tuna asili moja ya KUJINYONGA".
Jioni ile nikanunua kamba yangu na nilipohakikisha kila mtu kalala, nikapanda juu ya mti kamba yangu shingoni na kisha kujitupa chini ili kama ile ininyonge...
Nilitapatapa pale na taratibu nikahisi haja kubwa ikinitoka kwa shida ikiashiria ndio nilikuwa NAKATA ROHO NIKALIA KILIO CHANGU CHA MWISHO KWA UCHUNGU" kabla kunaswa kibao na DEMU niliyelala naye GUEST BUBU huku akinisema" MWANAUME hauna haya wewe mimi nakuangalia hapa warusha rusha miguu na kujifanya unalia kumbe UNAKUNYA KITANDANI??
Mwanaharamu mkubwa wewee!!!!
Ha ha ha ha ndoto nyingine buana laana tupu.