Nimeumbiwa moyo mpweke

HaMachiach

JF-Expert Member
Dec 15, 2015
3,416
6,141
Wanajamvi,

Najishangaa sana, hapa nilipo kila ninayempenda mwisho ananiacha bila kosa. Huyu wa sasa ndio kabisa yani nmempangia na nyumba anapokaa lakini ni wiki sasa tangu aniache na kusema yeye anataka kuwa single, lakini bado anakaa kwenye nyumba niliyo mpangishia. Sina raha kabisa, sielewi nifanyeje, hata msosi haupandi.
 
Wanajamvi,

Najishangaa sana hapa nilipo kila ninayempenda mwisho ananiacha bila kosa huyu wa sasa ndio kabisa yani nmempangia na nyumba anapo kaa lakini niwiki sasa tangu aniache nakusema yeye anataka kuwa single lakini bado anakaa kwenyenyumba niliyo mpangishia sina raha kabisa sielewi nifanyeje hata msosi haupandi.
 
Pole sana!
Kila mtu duniani anapitia yake,
Ushauri ni achana nae tu kama anakupenda na kukuhitaji anajua pakukupata,
Usisononeke sana, kula vizuri tu wewe unahangaika mawazo huli hulali wakati mwenzako anakula kuku na bia kwa raha zake akiwa na kiburudisho chake pembeni na hata hajali wewe unahali gani
 
Wanajamvi najishangaa sana hapa nilipo kila ninayempenda mwisho ananiacha bila kosa huyu wa sasa ndio kabisa yani nmempangia na nyumba anapo kaa lakini niwiki sasa tangu aniache nakusema yeye anataka kuwa single Lakin bado anakaa kwenyenyumba niliyo mpangishia sina raha kabisa sielew nifanyeje hata msosi haupandi
 
Kuna jamaa yangu hiyo roho ilimtesa sana wake wanne walimkimbia.

Simaanishi alioa wote kwa pamoja hapana alianza na wakwanza akasepa akaoa mwingine nae akasepa hadi hao wanne.

Alichokifanya kwsbb wake wanamkimbia akaamua kuowa 2 in 1 lengo ni kwamba akikimbia 1 mwingine atabaki.
Chaajabu wote anao 10 year's now. Usife moyo utapata double.
 
Bro pole sana, naomba ufikirie tu kama atakuelewa je, atakupenda tena kama zamani!? Ukipata jibu lichanganue vizuri kama ameweza kutamka kwa kinywa chake basi kifuatacho kukukataa mbele za watu!!! Huyu ni kicheche ila wewe ulimtazama tofauti,hukukosea kumuamini ila yeye amedhihirisha kuwa hukuwa sahihi!! Kicheche akikumbia atarudi Analia huku akisema nimekumiss, jaribu kumsahau na kutomtext wala nini, uone kama hatokutafuta!!! Leave her for now and chase money women will chase you!!!
 
Wanajamvi najishangaa sana hapa nilipo kila ninayempenda mwisho ananiacha bila kosa huyu wa sasa ndio kabisa yani nmempangia na nyumba anapo kaa lakini niwiki sasa tangu aniache nakusema yeye anataka kuwa single Lakin bado anakaa kwenyenyumba niliyo mpangishia sina raha kabisa sielew nifanyeje hata msosi haupandi

Am sorry to say this lakini utakuwa na mojawapo ya matatizo haya
-least caring or over caring
-team bamia
-kinyaa kilichopitiliza
-upole na ucha Mungu mpaka kwenye 6?6
Kujisifu sana na nk
 
Pole bro ila usichukue muda wako kujilaumu kwa ambayo yashakutokea,make it a lesson to have a way foward brother.
 
Nahofia ukikonda itakuwaje? Piga picha ndo nimekutana na wewe nisivyopenda wanaume walokonda(mchele mwembamba) kweli si utapoteza bahati? Piga menyu jipende uone watoto utakaowapata
 
Nahofia ukikonda itakuwaje? Piga picha ndo nimekutana na wewe nisivyopenda wanaume walokonda(mchele mwembamba) kweli si utapoteza bahati? Piga menyu jipende uone watoto utakaowapata
Wanawake wengi! wamebaki wa show off mbona bill gates mwembamba...kwahiyo ungekutana nae ingekuwa vipi..endeleeni kufanya watu atm machine
 
Back
Top Bottom