Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Mwanamke mpumbavu hutafuta mafanikio ili amtawale mume wake, ili mume wake asiwe na sauti juu yake, nakwambia huko ni kujilisha upepo, hata ungemuweka mumeo chini ya miguu yako katu huwezi kukata...
3 Reactions
3 Replies
4K Views
Mawasiliano mazuri katika uhusiano ni jambo muhimu mawasiliano mazuri (good communication skills) vinasaidia kupunguza msongo wa hasira na mawazo katika akili na mawazo ya wenza. Jambo dogo kama...
7 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari zenu wana JF, Nawasilisha mada hii niukweli thabiti wa hisia za moyo wangu, naomba mawazo yenu kiukweli matamanio ya moyo wangu hutamani sana wale wanawake walionizidi umri hata kama...
0 Reactions
31 Replies
6K Views
.
11 Reactions
146 Replies
15K Views
Wash'kaji eeh! Nimetumia takribani muda wa saa nane na dakika zipatazo 54 kufikiri sana, Kwa kina na mapana, Nikapata jibu hapana, Nikaona vema sana, Kuwashirikisha wana. Kwa kifupi hapa...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Alafu mbaya zaidi unakuta inafungwa kila siku nyinyi ni huzuni tu kila leo, hvi hata siku mmesema mnaangalia nyumbani inanoga kweli? Kwa mfano timu yangu inavyofungwa na kushuka kwenye...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari za mwanzo wa wiki wakuu.Wikiendi ya wiki iliyopita nikikuja na hii stori hapa chini. Mimi ni kijana ninaefanya kazi ktk kampuni moja kwa miaka 3 sasa na nina mke na mtoto 1.Sasa kuna...
1 Reactions
95 Replies
16K Views
Naomba msaada wako nifanye nini? Mimi ni mke wa mtu, na mume wangu tunapendana sana. Juzi niliondoka kwenda kazini nikamuacha mume wangu anaangalia TV. Sikufika mbali gari ghafla likazima...
2 Reactions
51 Replies
9K Views
Habari za w.end wapendwa.Samahani naomba ushauri.Mimi ni binti (umri 25) niliyetoka kwenye familia ya hali ya kati hivyo pesa kidogo ninayo pata hua napenda kuwafanyia jambo la kuwafurahisha...
2 Reactions
77 Replies
7K Views
AINA ZA NDOA 1. NDOA YA MKEKA Inatokana na kufumaniwa na Binti wa watu. Ndoa hii huwa Haina mahari. Hii huvunjika mwaka mmoja tu baada ya wanandoa kugundua hawakuwa wakipendana! 2. NDOA YA...
3 Reactions
11 Replies
4K Views
Jamani mimi nina aibu ile ya kuzaliwa (introverts) mbele ya mkusanyiko mkubwa wa watu kama vile harusini, kwenye sherehe na hata misibani. Imeniwia vigumu sana linapokuja suala la kuwa na...
1 Reactions
85 Replies
12K Views
Habari zenu wanaJF, Rejea kichwa tajwa hapo juu. Nipo hapa kutafuta rafiki wa kike Umri 30 - 39 kwa ajili ya urafiki na kubadilishana mawazo. Aliye tayari aniPM, ili tuanze urafiki huo haraka...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nina kama miezi minne au mitano tukiwa na kaugomvi ka yeye kupigiwa simu, na pia kuna ka restaurant nje kdogo ya ninapokaa jamaa yangu mmoja aliniambia muda wa mchana humuona shem hapo na jamaa...
3 Reactions
184 Replies
30K Views
Habarini za jioni wandugu. Kuna baadhi ya familia unakuta beki 3 anafanya kazi zote za ndani kwa 99.9% na unakuta Mama mwenye nyumba yupo, hatukatai kua kuna wamama wenye nyumba hua wanatoka asbh...
4 Reactions
71 Replies
6K Views
Wanajamii habari zenu? Naombeni mawazo yenu kuhusu hili suala ambalo limekuwa likijadiliwa sana katika radio hasa CLOUDS kwanini ndoa nyingi kwa sasa zinavunjika mapema si kama enzi za nyuma...
1 Reactions
44 Replies
12K Views
70% ya wanaume wanaochelewa kuoa huwa na akili nyingi na mahalifa makubwa katika jamii hii nimepata kutoka kwa professor mwasha. Professor mwasha alifanya utafiti huu katika nchi 3 Tanzania...
2 Reactions
55 Replies
8K Views
UJUMBE MAKINI KABISA KWA WANAWAKE USIKOSE KUSOMA TAFADHALI ASEE ACHA KULALAMIKA DADA MAHESABU UMEKOSEA MWENYEWE. Msichana ana miaka 22, anafuatwa na mvulana na kuambiwa kwamba anataka kuolewa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Uzinduzi wa basi la wanawake pekee katika mji mmoja wa China umewakasirisha wanaume wa taifa hilo na kuzua mjadala mkali katika mitandao ya kijamii. Huduma hiyo mpya itatolewa wakati wa asubuhi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mwanamke hii inatokana na sababu nyingi kwa upande wa mwanaume suala la kuwahi kumaliza mapema linaweza kusababishwa na tatizo la nguvu za kiume na kukurupuka katika tendo. Kuwahi kumuingilia...
3 Reactions
16 Replies
23K Views
NOTEBOOK. Baada ya kumaliza sherehe ya ndoa yao, mama wa bibi harusi alimpa binti yake notebook yenye namba mpya ya Akaunti ya benki ikiwa na kiasi cha shilingi laki tatu. Mama alimwambia hivi...
11 Reactions
21 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…