Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

1. Do not look like your situation. Avoid announcing to everyone that you are broke. It makes it harder for people to respect you. 2. Adjust your lifestyle. Cut expenses and learn how to manage...
5 Reactions
4 Replies
192 Views
X wako ana hali gani huko alipokwenda baada ya kukusaliti? Usaliti wake umemlipa au yuko hoi anajutia anatamani kurudi tena kwako?
5 Reactions
62 Replies
769 Views
Nilikuwa nazungumza na demu fulani hivi ,sasa ni mke wa mtu alikuwa mtu wangu for two years hatukuwahi kusex, baadae tukatofautiana,kila mtu akawa na ndoa yake ingawa tumekuwa tukishirikiana...
8 Reactions
51 Replies
781 Views
waamasai ni ngombe kumi ,blanket 20,pombe ya wazee ya kubarik binti yao akiondoka.plus million moja sasa must. wasukuma nao mahar ni mili 2.mm nimepitia haya...
4 Reactions
17 Replies
256 Views
Jana jioni nimetoka kazini nina upwiru balaa, nikasema embu ngoja niende guest kwanza nikanunue, mimi huwa sipendi sana kwenda sehemu za starehe hivyo nikalazimika kumuagiza jamaa yangu...
12 Reactions
31 Replies
780 Views
Mkihubiriwa na watumishi wa Mungu mwache uzinzi mnakua wakali. Mnataka injili za baraka, pokea gari pokea nyumba. Tumeambiwa tusizini ili tuwe na amani katika maisha yetu. Maisha yetu...
5 Reactions
8 Replies
159 Views
Eti wakuu mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 ambaye sijawahi kua na mahusiano yoyote naombeni ushauri wenu,nitatokaje kwenye huu uduwanzi wa kutokuweza kutongoza ukizingatia nahitaji kua na...
3 Reactions
32 Replies
441 Views
Musiki ni therapy, burudani na njia ya kufikisha ujumbe kwenye jamii. Kuna namna nyingi za kufurahia mziki. Miaka ya karibuni imeibuka hii trend ya mabinti na wanawake kutuma video fupi za kucheza...
19 Reactions
89 Replies
2K Views
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Kwanza kabisa naomba niende paralle (Parallel line are the lines that NEVER MEET incase ulipitia dirishani...
37 Reactions
402 Replies
34K Views
Sisi wamaasai hayo mambo hatuyajui sisi kama ni kazi ni kazi.hatunaga maandalizi sisi ni kulima tu.
2 Reactions
33 Replies
401 Views
Mama ni mmoja tu, na upendo wake hauna kifani. Mimi babu yenu Bujibuji Simba Nyamaume na miaka yangu 64, kuna binti anahongwa na Bwana wake, tena kijana barobaro kabisa, anakuja kunipa mimi hizo...
2 Reactions
8 Replies
80 Views
Vigezo vya mwenza ninayemtafuta: Awe na watoto wasiozidi wawili. Awe na umri kati ya miaka 35 hadi 45. Awe na kazi au chanzo cha kipato cha kumwezesha kunihudumia. Awe mkazi wa Dar es Salaam. Awe...
23 Reactions
218 Replies
2K Views
Yamenifika kooni najisikia vibaya kuendelea kuigiza kwa shemeji yangu na nahisi kama na mimi naendelea kushiriki dhambi ya kuiba damu ya watu Ipo hivi nina sister yangu ambae ana mtoto wa miaka 3...
11 Reactions
123 Replies
1K Views
Mwanaume kuvaa surual za kubana ni aibu sana sasa ww ni demu unaonesha nini kama sio uchoko.mwanaume vaa bugalu vazi la heshima. nguo za kubana ni za mademu...
7 Reactions
17 Replies
252 Views
Unamkumbuka Vozinha? Yule golikipa wa timu ya taifa ya Cape Verde aliejizolea umaarufu kwa uwezo wake wa kuokoa hatari langoni katika michuano ya world cup ilyoisha hivi karibuni Baada ya world...
22 Reactions
37 Replies
668 Views
Naomba nianze na mimi Mimi alinipa simu yake nimuungie bando la Airtel Nikaona text imepop up kwa juu imeandikwa "Happy Anniversary baby, Cant wait to see you tonight" Nikameza mate...
2 Reactions
10 Replies
217 Views
Wasalam ulifanyaje mwenza wako alipokuona uelekeo wa fikra zako na macho yako yapo kwa binti/ kijana anayepita ? Kuna siku nimetulia sehemu wife akafuata kitu dirisha la huduma, ghafla kikakatiza...
11 Reactions
23 Replies
257 Views
Jamani nisaidieni na mimi nimsaidie huyu mwanaume Tuna mahusiano inaelekea mwaka sasa lakini nashindwa namna ya kufanya ili kumsaidia huyu kijana Jamani kijana ananuka mno mno mno mdomo kiasi...
17 Reactions
164 Replies
2K Views
guest-1787677467
Mlio owa Kuna Nini huko tuambieni mapema wakuu mana sio wakwanza huyu niwengi wakisha owa Wana Anza kuzeeka na kukonda tuambieni shida hua Nini huko
4 Reactions
22 Replies
301 Views
Dada yangu alipoteza akili zake baada ya kuingia kwenye mahusiano na mwanaume X Nasema hivi kwasababu kabla ya hapo alikuwa vizuri , alikuwa akipangilia mshahara wake kutimiza malengo yake kama...
13 Reactions
46 Replies
878 Views
Back
Top Bottom