Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Today I would like to celebrate single mothers. I may not have been raised by one but the burden of single motherhood is not lost on me. One of my ex is a single mother. She has one lovely boy...
41 Reactions
2K Replies
138K Views
MWANAUME Sheria no 1 Kamwe usi ruhusu mwanamke aka ku control ww usipokua tu kama akisema kazime taa kwanza au aki sema nifungue brazia vunja iyo Sheria uraendelea nayo badae! Sheria no 2 Dada...
2 Reactions
1 Replies
147 Views
Mahari ni desturi na utamaduni ambapo mwanamume hutoa zawadi au mali (kama vile pesa, mifugo, au vitu vya nyumbani) kwa familia ya mwanamke kama ishara ya heshima na shukrani wakati wa kuelekea...
22 Reactions
146 Replies
2K Views
Jamani kina member ana hiyo picha nimepiga nikiwa na mpenzi wangu wa miaka hiyo mzenji tafadhali NAOMBA alie nayo anipatie nilijisahau nikafuta baadhi ya documents nika futa na hiyo tafadhali...
0 Reactions
0 Replies
67 Views
Ndugu Wana if kama kichwa CA habari kinavyo sema Mimi ni mwanaume miaka 42 mahitaji mke wa kuoa awe mkoa was songwe umri sibagui ukiona unafaa njoo tuyajenge My love kipaumbele tunduma na vwawa
3 Reactions
31 Replies
308 Views
Wakuu shida ni nini unakuta wazazi wako wamepambana kukulea, mpaka unafikia hatua unajitambua Unafikia umri wa kuoa mambo yanabadilika kwa wazee wako hata sabuni haziendi, wewe upo busy na...
5 Reactions
31 Replies
313 Views
Siiweki picha yake ni mtu maarufu mtamsumbua, kaja leo amataka akae weekend Mzima wakati nina ratiba Nyingine kesho Mpaka week inaisha itakuwa Powa Ila sijui wanataka nini hadi nimechoka ,
5 Reactions
93 Replies
1K Views
Natafuta mke mwenye sifa hizi; umri kuanzia miaka 20 had 25, asiwe na mtoto, awe mweupe au mweusi vyote sawa na akubali kupima Afya (HIV) kabla ya ndoa, mwenye Elimu yeyote na kabila lolote...
2 Reactions
22 Replies
358 Views
MASWALI YA MSINGI KABLA HUJAAMUA KULETA KIUMBE HAPA DUNIANI; 1. Kwa nini umeamua kumleta kiumbe hapa duniani? 2. Huyo kiumbe/mtoto una mission yoyote unayotaka aje aiendeleze? 3. Faida zipi...
6 Reactions
28 Replies
315 Views
Wakuu Kuna mwanamke nimekutana naye nikasema nijaribu kuomba namba nilivyomuomba no akanambia naujua tu unataka uni tongoze halafu akanipa no. Hivi wakuu huyu dada alaikum ana maanisha Nini...
4 Reactions
23 Replies
246 Views
Natumai mko salama salimini aisee shikamooni nisiwachoshe sana sasa leo nimekaa nikawaza nani atanifaa kutoka naye out tukavinjari maisha ni haya haya. 1.Tukale nyama choma 2.Tunywe(japo mi...
11 Reactions
105 Replies
746 Views
Jumapili njema wakuu, nimeenda church Leo kidogo. Nimetoa sadaka ya laki sita baada ya kupiga diesel ⛽ za kutosha kwenye skavetaa yangu kwa ajili ya kufutiwa dhambi maana hali mbaya sana, baada...
6 Reactions
23 Replies
350 Views
Kama ni watoto wanazaliwa weusi plus.bora tu uoe m bongo mwenzako maana wana unafuu. kama nikubadilisha oa hata mzungu maana wao weupe.ila mwafrika ambay...
2 Reactions
4 Replies
106 Views
Naam habari ya mjini kwa sasa mimba anapelekewa mtafutaji na mimba inaletwa ndani ya ndoa na wanaume wengi mnalea watoto sio wenu kama una uhakika mtoto unaemlea ni wako hebu sema umeuaje[emoji16]
1 Reactions
14 Replies
133 Views
Kwangu mimi hili swali huwa linanitatanisha sana. Huwa nashindwa nianzie wapi kujibu hili swali. Kwa sababu inakuwaga kama tuko kwenye Interview ya Kazi. Au huwa wanamaanisha nini? Ni wanataka...
15 Reactions
184 Replies
2K Views
Kwenye jamii yetu once mwanaume umepita pita na wanawake kazaa au umechelewa kuoa kwa mujibu wa jamii unanza kuonekana mhuni, utasikia yule mbaba mhuni kweli tabia zake za hovyo. Je mwanaume...
1 Reactions
4 Replies
145 Views
Shalom Natoka kusikiliza kesi moja ya wapendwa wanandoa aisee kuna jamaa alishika hela akafanya yake Sasa mke akalianzisha kuachana mwanaume akamwambia 👍 Yaliyotaka kumkuta akatonywa na jamaa...
5 Reactions
23 Replies
227 Views
Yan kwanza wanakuwaga na ngozi lain kinoma.kwanza demu awe mweus na hana nyash hapo n uzinguzi.ila nyie weupe wenye mazaga mnatuvuruga mbaya.
3 Reactions
24 Replies
359 Views
Mimi pia ni kataa ndoa na wengi humu wanajua hili ila ukweli nitausema. Ishu ya kataa ndoa ilianzia mitandaoni ila ishafika mitaani na vijana wameanza kuhubiriana na ninaiona hatar kubwa.Huu...
23 Reactions
284 Replies
3K Views
Mara nyingi watu wakiachana wanakuwa hawapendi kuwasiliana tena na kila mtu anajaribu kuendelea na maisha yake, kujijenga upya na kuacha yaliyopita yabaki kuwa sehemu ya historia yao na wengine...
12 Reactions
221 Replies
3K Views
Back
Top Bottom