Today I would like to celebrate single mothers. I may not have been raised by one but the burden of single motherhood is not lost on me.
One of my ex is a single mother. She has one lovely boy...
MWANAUME
Sheria no 1
Kamwe usi ruhusu mwanamke aka ku control ww usipokua tu kama akisema kazime taa kwanza au aki sema nifungue brazia vunja iyo Sheria uraendelea nayo badae!
Sheria no 2
Dada...
Mahari ni desturi na utamaduni ambapo mwanamume hutoa zawadi au mali (kama vile pesa, mifugo, au vitu vya nyumbani) kwa familia ya mwanamke kama ishara ya heshima na shukrani wakati wa kuelekea...
Jamani kina member ana hiyo picha nimepiga nikiwa na mpenzi wangu wa miaka hiyo mzenji tafadhali NAOMBA alie nayo anipatie nilijisahau nikafuta baadhi ya documents nika futa na hiyo tafadhali...
Ndugu Wana if kama kichwa CA habari kinavyo sema Mimi ni mwanaume miaka 42 mahitaji mke wa kuoa awe mkoa was songwe umri sibagui ukiona unafaa njoo tuyajenge My love kipaumbele tunduma na vwawa
Wakuu shida ni nini unakuta wazazi wako wamepambana kukulea, mpaka unafikia hatua unajitambua
Unafikia umri wa kuoa mambo yanabadilika kwa wazee wako hata sabuni haziendi, wewe upo busy na...
Siiweki picha yake ni mtu maarufu mtamsumbua, kaja leo amataka akae weekend Mzima wakati nina ratiba Nyingine kesho
Mpaka week inaisha itakuwa Powa
Ila sijui wanataka nini hadi nimechoka ,
Natafuta mke mwenye sifa hizi;
umri kuanzia miaka 20 had 25, asiwe na mtoto, awe mweupe au mweusi vyote sawa na akubali kupima Afya (HIV) kabla ya ndoa, mwenye Elimu yeyote na kabila lolote...
Wakuu Kuna mwanamke nimekutana naye nikasema nijaribu kuomba namba nilivyomuomba no akanambia naujua tu unataka uni tongoze halafu akanipa no.
Hivi wakuu huyu dada alaikum ana maanisha Nini...
Natumai mko salama salimini aisee shikamooni nisiwachoshe sana sasa leo nimekaa nikawaza nani atanifaa kutoka naye out tukavinjari maisha ni haya haya.
1.Tukale nyama choma
2.Tunywe(japo mi...
Jumapili njema wakuu, nimeenda church Leo kidogo.
Nimetoa sadaka ya laki sita baada ya kupiga diesel ⛽ za kutosha kwenye skavetaa yangu kwa ajili ya kufutiwa dhambi maana hali mbaya sana, baada...
Kama ni watoto wanazaliwa weusi plus.bora tu uoe m bongo mwenzako maana wana unafuu. kama nikubadilisha oa hata mzungu maana wao weupe.ila mwafrika ambay...
Naam habari ya mjini kwa sasa mimba anapelekewa mtafutaji na mimba inaletwa ndani ya ndoa na wanaume wengi mnalea watoto sio wenu kama una uhakika mtoto unaemlea ni wako hebu sema umeuaje[emoji16]
Kwangu mimi hili swali huwa linanitatanisha sana. Huwa nashindwa nianzie wapi kujibu hili swali.
Kwa sababu inakuwaga kama tuko kwenye Interview ya Kazi. Au huwa wanamaanisha nini?
Ni wanataka...
Kwenye jamii yetu once mwanaume umepita pita na wanawake kazaa au umechelewa kuoa kwa mujibu wa jamii unanza kuonekana mhuni, utasikia yule mbaba mhuni kweli tabia zake za hovyo.
Je mwanaume...
Shalom
Natoka kusikiliza kesi moja ya wapendwa wanandoa aisee kuna jamaa alishika hela akafanya yake
Sasa mke akalianzisha kuachana mwanaume akamwambia 👍
Yaliyotaka kumkuta akatonywa na jamaa...
Mimi pia ni kataa ndoa na wengi humu wanajua hili ila ukweli nitausema.
Ishu ya kataa ndoa ilianzia mitandaoni ila ishafika mitaani na vijana wameanza kuhubiriana na ninaiona hatar kubwa.Huu...
Mara nyingi watu wakiachana wanakuwa hawapendi kuwasiliana tena na kila mtu anajaribu kuendelea na maisha yake, kujijenga upya na kuacha yaliyopita yabaki kuwa sehemu ya historia yao na wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.