Hii scenario ngumu sana ambayo inanifanya nihisi nimelogwa kwa sababu sielewi haya mapenzi yamerudi vipi.
Iko hivi; niliwahi kuwa mapenzini na mwanamke fulani nikiwa nasoma kwa muda wa mwaka...
Sijapata neno moja la kiswahili linaweza kuwa na maana mahususi ya neno "elevation". Kwa kingereza tunaweza tukasema "being raised to the higher or more important level or position". Kwa lugha...
kijana funga zipu,
Binti funga mapaja then
sikilizia hio energy utakayo kuwa nayo after a period of time labda
20,30,40,50,60days na kuendelea.
unakuwa Reborn upya
Tunapozungumzia USALITI WA KIFEDHA (Financial Infidelity) kwenye mahusiano ama ndoa, hatuamanishi kumuibia mwenza wako pesa.
Bali tunazungumxzia hali ya kutokuwa muwazi kwenye masuala ya kifedha...
bride was allegedly shot dead by her boyfriend for marrying another man.
In a shocking incident from Bihar, an 18-year-old bride was allegedly shot dead by her boyfriend for marrying another man...
Part one
Najua haya maandishi tunayoandika humu yataishi na kusomwa humu hata baada ya sisi kuondoka Duniani miaka 50 ama 100 ijayo. Hivyo yanalengo la wengine waweze kujifunza.
Wewe Mwanaume...
Nguli wa biashara ya dawa za kulevya nchini Mexico, Nemesio Oseguera Cervantes maarufu kwa jina la El Mencho, ameripotiwa kufariki dunia baada ya kujeruhiwa na risasi katika operesheni ya kijeshi...
1: If your woman is more proud of you than your parents are, check your direction you might be building applause, not character.
2: When one person celebrates you loudly but those who raised you...
Pia biblia imeandika Mungu aliwasamehe makahaba.
Ila lilipokuja swala la kuchagua Mama wa mwanae alimchagua mwanamke bikira anaitwa Maria.
Hakuchagua used
Yaah, ni yale mambo yetu yale ya engine kiuno service cum kimoja cha fasta.
Sasa nilisema, nyakati hizi za kufunga, sitafanya zinaa.
Waapi, bwana! Ndani ya masaa 72 ya mfungo, nikakutana na...
UKIENDA KUFANYA ZINAA, KUMBUKA MAJINA HAYA, ALAFU UJISHAURI BAADA YA HAPO UCHUKUE UAMUZI UTAKAO KUJA.
1. KUFANYA ZINAA NI KUFANYA UPUMBAVU KIBIBLIA.
2 Samweli 13:5, 11-14 (Biblia Takatifu)...
Miaka mingi iliyopita, huyu mzee alifanya maamuzi ya kiume kinoma. Alimchukua binti mdogo aliyekuwa anahitaji hifadhi na kumpokea kama mwanaye wa kumzaa. Kipindi hicho binti akiwa mdogo, mzee...
Habari wana MMU kaswali kangu kadogo kwa wale tuliojaaliwa watoto hasa ambao bado ni under 3.
Ni sahihi kujiachia mbele ya mtoto hasa ukiwa umetoka kuoga.
Mfano mwanangu ana miaka2 yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.