Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Mwanaume mwenye maono anapaswa kuelewa kwamba upendo ni sehemu ya maisha, si maisha yote. Makosa ambayo wanaume wengi wema na wanyenyekevu hufanya ni kuweka nguvu zao zote kwenye uhusiano huku...
8 Reactions
9 Replies
196 Views
Maendeleo yameua swaga nakwambia. Watu siku hizi wanajidaiii eti wana swaga, aa wapi! swaga zilikuwa zamani bwana. Enzi hizo za redio moja, mtu ukitoka kijijini na kuweza kuja kukaa mjini hata...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Ukifika nyumbani toka kazini anakukumbatia anakubusu na kukuambia pole. Wakati wa tendo anakukumbatia kwa nguvu anakushika mgongo na kichwa, anakubusu na deep kiss, mbona nakuapia hautachepuka...
8 Reactions
42 Replies
633 Views
Japo mabinti wa kichaga warembo ila urembo wa wanyaturu umezidi wachagga mno.
2 Reactions
36 Replies
519 Views
Jiulize Kwani biblia haikuona mwanaume??? Wanajua vyanzo vya matatizo kwenye ndoa n wanawake Na ndio maana wanaume tukaongezewa tuishi nao kwa akili Sio miguu wala mikono  Nawakilisha
2 Reactions
11 Replies
155 Views
Nilihisi Duniani Nimeona Vyote kumbe Nimeona Vingi Na Si Vyote,Kuna Mdada Humu JF Kaitisha Maandamano ya Hisia zangu Moyoni Juu Yake, Macho Yangu Yamemlasimisha Hakuna kama Yeye Ana Shape Namba...
7 Reactions
65 Replies
795 Views
Ukistaajabu ya Musa, utayaona ya Klarensi Usakazi (86), mkazi wa Kitongoji cha Mbisi, Tarafa ya Chipanga, Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma, aliyeamua mtalaka wa mtoto wake ‘mkamwana’ aitwaye Mary (20)...
17 Reactions
46 Replies
825 Views
Kuna wakati inabidi ukweli uwe wazi ili upate amani ya Moyo. Mimi Nusratt Mohamed, Nimechoka kuwa muuzaji. Nimechoka na hii kazi, Nimechoka kuwa dada poa, Nimechoka kudhalilika kwenye jamii...
31 Reactions
149 Replies
3K Views
Wakuu ukiambiwa ukae jela jambo ambalo litakufanya utoke jela ni mpenzi wako kukwambia ana kupenda je unadhani utakaa jela miaka mingapi? No:matusi chit chat NAWASILISHA WADAU
2 Reactions
40 Replies
390 Views
Huu Ujinga wa Kulea Mikoj ya Wanaume Wenzenu Kisa Upendo Uishe, Single M. Komaza Shingo Uone Kama Hujafukuzwa ngoja niwape ukweli nyie wanawake mliozalishwa na kutelekezwa mkaokotwa. Hivi...
12 Reactions
40 Replies
687 Views
Wanaume wengi wanadhani kumwambia mwanamke "Sitakuja kukuumiza" ni ishara ya upendo, ukomavu, na kumfanya ajisikie salama (safe and secure). Ukweli mchungu ni kwamba neno hili ndilo linalokuja...
2 Reactions
6 Replies
203 Views
Naked City na Ikungulyabashashi ni Location tha magreat thinker wawili humu JF, nao ni Eqlypz na Nyani Ngabu.... Naweza nikasema kwa muda ambao nimekuwa nikiperuzi humu Jamvini, nimekuwa...
6 Reactions
76 Replies
6K Views
Salam. Wakuu moja kwa moja kwenye mada Wakuu nina demu wangu yapata sasa miezi minne kabila lake ni Mjita Kiuhalisia hana shida kwani ananifanyia kila kitu ambacho mwanamke anatakiwa kumfanyia...
13 Reactions
56 Replies
963 Views
japo umeumizwa sio kila mtu atakaye kuumiza yupo atakaye kupenda. Mapenzi matamu ukipata mtu sahihi ila machungu ukipata asiyekufaa.tuzidi tu kujipa imani...
6 Reactions
21 Replies
251 Views
To the love of my life: Thank you for being my friend my best friend my life mate my everything! You’re not just my love sweetheart you’re my destiny my heart a perfect match. No words can...
24 Reactions
226 Replies
2K Views
Mzazi unajukumu la kushauri tu katika mahusiano ya mtoto wako sio kumpangia nani aoe au nani hasioe kadhalika na upande wa kuolewa. Sio wewe ndio kuwa kifua mbele fulani simtaki oooh ukiwa nae...
0 Reactions
1 Replies
63 Views
Wadada wote JF wenye T3 sema oyeee❤️ Yani unakuta mrembo hayo maaanabeli yake hapo kifuani yapo round, manene ya wastani alafu yana point mbele, tumbo ndio hilo lipo flat, side stomach yake...
11 Reactions
43 Replies
694 Views
Mzuka Wana jf Mke wangu ni wa kijaluo mazee analala na full jinziii na mimi nimeamua, nalala na suti. Nimefunga tai, shati nachomekea, suruali nachomekea kwenye soksi za Yanga Mkanda...
12 Reactions
19 Replies
385 Views
Leo najisikia kuandika TU na kuwashauri vijana , ipo hivi mimi ni mwalimu na mfanyabiashara mzuri TU ( Mimi sio fala kwenye nchi hii) umri wangu ni 38, ni baba wa watoto watatu nawahudumia kwa...
29 Reactions
188 Replies
3K Views
Lazima uanze na busu huku ukiyapekecha madodo huku ukishuka mdogo kwenye kitovu. huku ukiya pigapiga makebo hapo kwenye upaja.hadi steam inakupanda kinyama...
3 Reactions
11 Replies
240 Views
Back
Top Bottom