Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Ilikuwa mwaka 2006 ndio nimemaliza chuo na kuajiriwa kwenye Taasisi moja ya fedha. Siku moja nikapigiwa simu na mdada, akasema amekosea namba, hakika kwangu alikuwa mgeni kabisa. Kwenye maongezi...
12 Reactions
40 Replies
7K Views
Kuna watu wanaohesabu hii kama umalaya Kuna wengine wanaamini ni sehemu ya kujaribu mpaka umpate yule mtu ambaye mnaendana Mimi binafsi naona kuwa na mahusiano mapya mara kwa mara sio tatizo...
9 Reactions
321 Replies
3K Views
Niko Iringa natafuta mke wa kuowa miaka yangu ni 50,nilikuwa nina mke lakini kapata matatizo ya changamoto za akili imebidi nimludishe kwa wazazi wake,mda mwingi nimeishi inje ya inchi toka mwaka...
11 Reactions
63 Replies
875 Views
Awe wa kabila lolote na awe singo matha mwenye watoto wawili maana ata na mimi pia mzee wa mika 30. umri 30-45 chin ya 30 hapana hao wadogo kwangu...
1 Reactions
1 Replies
67 Views
Uchi uleule ambao wenzako tumeumwagia shahawa unakuja na domo lako unaufyonza hivi una akili kweli mwanetu? Kama sio ugasho ni nini kulamba bao la kidume mwenzako? Daktari anavaa gloves kabla ya...
44 Reactions
238 Replies
6K Views
Wakuu huu umalaya ninaouona ni kawaida au ni wanawake wa huku wamezidi..? Huku umalaya umezidi uchepukaji. kwa wanawake walio olewa nawaona sana wanachepuka yani wiki haipi nakuta mke wa mtu...
4 Reactions
29 Replies
512 Views
Habari ndugu zangu Naomba hii nipate uzoefu kutoka kwa wajuzi wa mambo, Inakuaje mtu ameolewa halafu anadai akopeshwe pesa lakini anakupa shariti la mmeo asifahamu kama kachukua pesa. Swali ni...
7 Reactions
53 Replies
724 Views
Wadogo zangu wa 2005 heti tayari wana watoto na wapo kwenye ndoa kweli sisi 2000 tushazeeka🤣🤣
4 Reactions
88 Replies
1K Views
Wanaume wadhaifu/Nice guys kwenye mahusiano au ndoa ni wale wanaokosa uwezo wa kusimama kama viongozi, kufanya maamuzi sahihi, au kubeba majukumu yao ya kihisia na kifamilia. Udhaifu huu hapa...
3 Reactions
1 Replies
139 Views
Nina miaka 30 sitaki vibint maana mimi mzee nataka singo matha wa watoto wawil alafu niongeze wawil wa kwang wote watakuwawakwangu. nataka atakaye ridh...
1 Reactions
16 Replies
210 Views
Shimboni, 2016- nimetulia zangu mtaani ghafla sister binamu ananiletea kischana kizuri , ananitania kaka nimekuletea mchumba naona umekaa kizembe sana, nikatabasamu, ilikuwa jioni ya saa mbili...
3 Reactions
20 Replies
592 Views
Naona saiv hili suala la wanawake kujitafuta kiuchumi kabla ya kuolewa lmekua common sasa. Zamani tulizoea mwanaume ndo anajitafuta kwanza kisha aoe lkn saiv meza imepinduka, kila mwanamke...
8 Reactions
46 Replies
492 Views
Singapore, mvinyo, na mrembo.nakula Maisha hayahitaji zaidi ya haya.na maisha polepole... na mrembo mzuri kando yangu 🍷🇸🇬
2 Reactions
18 Replies
386 Views
Hili limekuwa likinikishangaza sana 😢 majibu sipati,alisema suzy nimeolewa na mume wangu kwa miaka 5 na tuna watoto 2, na tumejenga nyumba yetu nzuri na tuna usafiri wetu, kwa kifupi maisha yetu...
13 Reactions
117 Replies
1K Views
Wengi huwa wanajidanganya, kwa kusema fulani ni rafiki yangu wa katika shida na raha. Na wengine mpaka wanaitana shoga yangu n.k Ila ukweli ni huu; wote ni wasaka fursa, ila kwa sasa mnapeana tu...
14 Reactions
30 Replies
377 Views
Wakati wanaume wakitamba na ‘kula tunda kimasihara’, hawajui kuwa nao huwa wanapigwa matukio kimkakati na wanawake. Kuna waliosingiziwa mimba - wakalea na kutoa matumizi miaka nenda rudi (na...
9 Reactions
17 Replies
329 Views
VIJANA KWA KUJIPA MATATIZO HAMJAMBO. MAISHA YAKUUNGAUNGA(CHINI YA 1M) BADO UNAOA SINGLE MOTHER'S? Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Mtake msitake lazima muambiwe Ukweli. Hivi mmekosa wazazi wa...
5 Reactions
39 Replies
479 Views
Binafsi nimekuzwa na kulelewa na mzazi mmoja ambaye ni mama, sijawahi pata hata mapenzi ya baba nilipokuwa mwana. Kulea mtoto binafsi bila msaada wowote ilikua ngumu sana kwa mzazi wangu lakini...
13 Reactions
9K Replies
657K Views
Alikuwa anakaa Magomeni, sasa anajua kuwa mi ni mtu wa mguu na njia hasa nchi za watu huko nchini sikai sana. so akajua kuwa ntakuwa na mapene, basi akawa anahangaika sana kunitega maana tulikuwa...
11 Reactions
57 Replies
2K Views
Kuna dada nampenda sana, kila nikimueleza anakaa kimya na kujing’atang’ata tu. Je, ananipenda au? Nipeni ushauri wakuu. NAWASILISHA"
10 Reactions
104 Replies
1K Views
Back
Top Bottom