Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 43. Ni mfanyabiashara na mkaazi wa jijini Dar Es Salaam. Mwaka 2011 nikiwa na umri wa miaka 36 nilianzisha uhusiano wa kimapenzi na...
36 Reactions
561 Replies
92K Views
Yan husumbuan na yeyote.Ni bata tuh Yaan hakuna unayemuaz,hakuna stress ni raha jaman,na hufi mapem. Ila wenye ndoa na mahusiano na wahurumia jamani
1 Reactions
11 Replies
181 Views
Sijajua kwako wewe mtu wa karibu sana ni nani, lakini wapo ndugu, mke, mama, baba, kaka, dada wametuzunguka. Kwanini nasema Kijana ni lazima kuowa ? kwasababu binadamu tunategemeana.. Kabla ya...
2 Reactions
7 Replies
450 Views
Kuna mke wa jiran ananitaka,ila mm simtak sijui nifanyaje maana anasema eti anipend na hawez kuish bila mm.Na mimi sitak kuzin na mke watu
2 Reactions
8 Replies
162 Views
Binadamu amekuwa na vitu vyake anavyovipenda sana na vingine kuvichukia sana. Vipo anavyovipenda kidogo na vingine anavichukia kidogo, lakini vipo ambavyo hajui kama anavipenda ama anavichukia...
4 Reactions
17 Replies
631 Views
Kuna umri utafika utakua peke yako au na houseboy wako au housegirl wako. Muombe Mungu umri huo ukukute na mke au mume. Umri ambao utakua unapokea simu za kuambiwa mzee fulani kafariki,umri wa...
9 Reactions
17 Replies
246 Views
Nani kawahi kukutwa na hili jambo kufukuzwa ama alimfukuza mwanamke nyumbani kwake baada ya kunyimwa ngono au wenyewe mnavyoita kizungu sex Kisa changu mimi 👇👇 Kuna Kijana mmoja nimemuwekaga tu...
13 Reactions
187 Replies
8K Views
Naombeni kuuliza kwa unyenyekevu, mabinti Sayuni wenzangu mnawezaje kuendelea kuishi mkiwa single bila kushiriki dhambi ya uzinzi? Mimi binafsi najikuta kama ni vita ngumu, hasa wakati mwingine...
35 Reactions
860 Replies
19K Views
Yes baadhi mnamjua mwanamke mmpja motivation speaker wa maswala ya ndoa anajiita mchungaji Rose Shaboka alikuwa anawafunda sana mabinti kuwa wakiwa na wanaume wao ndani ni mwendo wa kuvaa bikini...
20 Reactions
104 Replies
2K Views
Week end njema .🤯🤯🤯🤯🤯😆😆😆😆😆😆😆😆
4 Reactions
12 Replies
303 Views
Ni ushauri wa Bure Kwa mwanaume anayetaka kubaki kwenye nafasi yake ya uanaume. Ambao mmeamua kuleft siwashangai Wala kuwadharau uanaume ni kazi ngumu sana Huwezi kuambiwa jikaze kimwanamke ...
5 Reactions
9 Replies
193 Views
Mademu ni dhaifu sana kwa wanaume weupe ila wanachokutana nacho huko kusalitiwa mara kwa mara licha ya juudi wanazofanya ndo wanavungaga wanawapenda wanaume weusi jambo ambalo so kweli Yani...
2 Reactions
22 Replies
353 Views
Kutokana na hizi mvua na baridi za hapa na pale, sio muda sahihi wakuachana wakuu. Hapa nilipo...
8 Reactions
88 Replies
464 Views
ugonile, Ntakua wa mwisho kuamini kuwa Aziz Ki kafanya maamuzi ya kufunga ndoa na Hamisa bila kupigwa juju Wanawake wengi wa kibongo wanatabia kwamba wakipata mchumba au danga lenye vijisenti...
38 Reactions
247 Replies
8K Views
Kwa uzee wangu huu wa miaka 72, sijawahi kuwa na watoto mapacha ingawa huwa nawatamani sana. Sasa majuzi, mchepuko wangu...
7 Reactions
48 Replies
496 Views
Uswazi dada zetu wanaringia tako ushuwani wanaringia digirii uamzi ni wako kuchagua yupi
1 Reactions
15 Replies
468 Views
1. Penzi la mlinzi 2. Penzi la mama mkwe 3. Nakupenda jirani 4. Penzi la mwanafunzi 5. Siri ya kitanda 6.muuza shanga na movie nyingine nyingi maudhui yake ni ngono,kiukweli,kwa upande wangu...
3 Reactions
18 Replies
213 Views
Yani mkaka wa watu anajituma kumhudumia mdada. Alaf all in all anakutishia atakuacha.kisa na maana kuna lengo fulan hujamtimizia. Ata yale umefnyia hakumbuk.yaan kwa nn mna tutesa hivi.
11 Reactions
66 Replies
666 Views
Baada ya ejaculation ndio akili zitakurudia na kuanza kujutia. Vijana kabla ya kufanya ngono chekini afya zenu kama ziko sawa au tumieni protective device.
17 Reactions
66 Replies
929 Views
Back
Top Bottom