Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Poleepolee utasemaa yoote mama mkweee Hivi lile gari walikupatia kadi ama ndioo ulikuwa usanii na nkkweoo 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 nchitamuhiii
4 Reactions
7 Replies
424 Views
hapa nazungumzia wasukuma hamna kabila lenye wadada wazuri kama hili.kwa hiyo masela karibun mwanza muone vitu vya hatari.
19 Reactions
306 Replies
3K Views
Mdau hivi kwanini kuna ongezeko kubwa la wadada wanaopenda hela kwenye mahusiano ?
0 Reactions
3 Replies
105 Views
..............UTAFITI ............ Nimefanya utafiti nimegundua kwamba, Kuoa siyo jambo jema kwani kuoa ni kumleta mtu nyumbani kwako Aje kula pesa zako halafu azae marafiki zake...
14 Reactions
57 Replies
813 Views
Katika mjadala wa mahusiano, kuna jambo ambalo watu wengi huliona lakini hulikwepa kulizungumzia kwa kina. Mara nyingi utakuta kundi kubwa la wanawake linavutiwa na wanaume wachache wenye hadhi...
6 Reactions
33 Replies
652 Views
Uzi huu nimeuandaa baada ya kusoma post flani inatrend jukwaani muda huu kuna dada yetu anahisi mme wake anatumia ushirikina kujua mawasiliano yake ya watu anaoongea nao, Huenda ni kweli lakini...
59 Reactions
149 Replies
27K Views
Hawa kataa ndoa ni chama cha waliofeli kwenye ndoa. Wanadanganya watu ndoa ngumu ili watu waogope kuoa na kuolewa.ila yote n uongo ndoa hazifanani huwez jua bahati yako.
7 Reactions
12 Replies
111 Views
Jana nilikutana na binti mmoja. Kwenye 1&2 zakutafuta Wife material. Tukabadilishana namba na usiku tukachati mpaka kama saa sita au saa saba. Mazungumzo yalikuwa yakawaida sana tu Mambo poa...
7 Reactions
52 Replies
830 Views
They are built by two people who choose to give up on each other because love is not about who texts first or who wins every argument....🤗 Love is about staying, understanding, forgiving and...
6 Reactions
5 Replies
94 Views
Nimepost hapa hapa, Friendship connect (tuunge urafiki) tafadhali! Je umezaliwa tarehe zifuatazo 👇 kama jibu ni 'Ndio' karibu tuunge urafiki? 👉 Mei 21 hadi 31, 👉 Juni 1 hadi 20, 👉 Novemba 22 hadi...
9 Reactions
373 Replies
3K Views
Ni kweli kwamba ndoa ya wahuni waliokutana baa NDOA ZAO hazidumu ukilinganisha na watakatifu waliokutana kanisani?
2 Reactions
8 Replies
124 Views
Habari wakuu Natafuta mke wa kuoa Sifa zangu Elimu: Bacherlor degree of computer science Location: Dar es Salaam Umri : miaka 33 Kazi: Developer Dini: catholic Sifa za mwanamke ninayemtaka...
1 Reactions
2 Replies
175 Views
SINGLE LADY ULIEPO NJOMBE NJOO TUYAJENGE
1 Reactions
4 Replies
89 Views
  • Redirect
Tafadhali usijione kijogoo kuibuka na single mother bila kujua sababu ya mtangulizi kusepa. Single mother wengi wanaficha mengi. Jiridhishe kabla ya kuvamia mtumbwi wa vibwengo. Tumezika wengi kwa...
8 Reactions
Replies
Views
Wakuu, Mnaendeleaje na hali? Nina rafiki yangu amenielezea kuwa kwenye mahusiano yake mtu alie nae ni wabaridi mno na yeye ni wa moto Na haijawahi kutokea mambo yakabadilika always ni hivyo...
1 Reactions
10 Replies
169 Views
Vuna ila usisahau mbegu ya kupanda msimu ujao uvune tena Uwa silewi ila nilienda club na wana wanaopiga mitungi wana wanalewa mimi nawapa tag wa kuwachek wasizingue wakizubaa natoka club , nje...
8 Reactions
55 Replies
1K Views
Jambo watanzania Iko hivi,kuna office moja ya umma nafuatilia huduma flani flani,sasa bana toka day one nafuatilia ile huduma kuna bibie mmoja tulikutanisha macho yetu,sasa wakati niko kwenye kiti...
4 Reactions
25 Replies
320 Views
Shikamoni wakubwa............. .leo tena mnaobeti mpeni England uhakika. Sasa nimekuja na swali dogo ivi kiafya nichakate mbususu mara ngapi kwa mwezi? Nimeona nilete huu huzi maana kuna binti...
6 Reactions
29 Replies
629 Views
Back
Top Bottom