Wakati wanaume wakitamba na ‘kula tunda kimasihara’, hawajui kuwa nao huwa wanapigwa matukio kimkakati na wanawake.
Kuna waliosingiziwa mimba - wakalea na kutoa matumizi miaka nenda rudi (na...
VIJANA KWA KUJIPA MATATIZO HAMJAMBO. MAISHA YAKUUNGAUNGA(CHINI YA 1M) BADO UNAOA SINGLE MOTHER'S?
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Mtake msitake lazima muambiwe Ukweli.
Hivi mmekosa wazazi wa...
Binafsi nimekuzwa na kulelewa na mzazi mmoja ambaye ni mama, sijawahi pata hata mapenzi ya baba nilipokuwa mwana.
Kulea mtoto binafsi bila msaada wowote ilikua ngumu sana kwa mzazi wangu lakini...
Alikuwa anakaa Magomeni, sasa anajua kuwa mi ni mtu wa mguu na njia hasa nchi za watu huko nchini sikai sana. so akajua kuwa ntakuwa na mapene, basi akawa anahangaika sana kunitega maana tulikuwa...
Kama Mlivyoona Kwenye Kichwa Hapo Juu Nataka kushea Story ya Maisha YANGU Kidogo Kama watu mtapata namna ya Kujifunza au kuburudika sawa Tuu.....ila story Ni ya kweli lakini Nitaichakachua kwa...
Mwaka flani nlienda Tanga kikazi. Nikakaa mwezi na nusu Hotel. Nilifanikiwa kupata mtoto mmoja mkali wa Kidigo. Sura nzuri kifua kimevimba hakuwa sana na Tako lakini si haba alikuwa akijua mahaba...
Leo nimekaa nikakumbuka mkasa mmoja uliotokea miaka kadha iliyopita.
Mwaka fulani nikiwa natoka Jeshini (841 KJ- Mafinga) mujibu wa sheria nilibahatika kukutana na zali la mentali hili...
Usije ukamwaga mpaka nikuambie 😭
Hii nikauli nliyokua naambiwa namkewangu mwaka 2025 lakini yote kwa yote tuliachana
Kwa Sasa nibora nizae na mtuu kuliko kuoaa 🙏.
Je ulishawahi ambiwa hii kauli
..............UTAFITI ............ Nimefanya utafiti nimegundua kwamba,
Kuoa siyo jambo jema kwani kuoa ni kumleta mtu nyumbani kwako
Aje kula pesa zako halafu azae marafiki zake...
Katika mjadala wa mahusiano, kuna jambo ambalo watu wengi huliona lakini hulikwepa kulizungumzia kwa kina. Mara nyingi utakuta kundi kubwa la wanawake linavutiwa na wanaume wachache wenye hadhi...
Uzi huu nimeuandaa baada ya kusoma post flani inatrend jukwaani muda huu kuna dada yetu anahisi mme wake anatumia ushirikina kujua mawasiliano yake ya watu anaoongea nao, Huenda ni kweli lakini...
Hawa kataa ndoa ni chama cha waliofeli kwenye ndoa.
Wanadanganya watu ndoa ngumu ili watu waogope kuoa na kuolewa.ila yote n uongo ndoa hazifanani huwez jua bahati yako.
Jana nilikutana na binti mmoja. Kwenye 1&2 zakutafuta Wife material.
Tukabadilishana namba na usiku tukachati mpaka kama saa sita au saa saba. Mazungumzo yalikuwa yakawaida sana tu
Mambo poa...
They are built by two people who choose to give up on each other because love is not about who texts first or who wins every argument....🤗
Love is about staying, understanding, forgiving and...
Nimepost hapa hapa, Friendship connect (tuunge urafiki) tafadhali!
Je umezaliwa tarehe zifuatazo 👇 kama jibu ni 'Ndio' karibu tuunge urafiki?
👉 Mei 21 hadi 31,
👉 Juni 1 hadi 20,
👉 Novemba 22 hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.