Gharama za kutunza ni bora ukanunue Huduma kila unapoitaji

Gharama za kutunza ni bora ukanunue Huduma kila unapoitaji

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,985
Reaction score
25,200
Kama hauna sababu ya kuoa basi hakuna haja ya kuwa na mpenzi na kumuhudumia kwa sababu kuhudumia Mpenzi ni gharama kuliko kwenda kununua huduma kila unapoitaji,

Ukiwa na mpenzi atataka kula, kuvaa, kusafiri na hela ndogo ndogo za matumizi yake, na wakati huo sio kila siku ataweza kukuhudumia endapo ukimuitaji,

ila ukiitaji huduma ni bei chee tu unapata mzigo, unalipa unapewa unapiga ukimaliza anasepa hakuna habari ya nauli wala msosi, hakuna habari ya kuumwa wala nini akija basi ujue kaja kutoa,

Kwangu ni bora kununua kuliko kumiliki na kuhudumia.


Cc zero IQ
 
Ile tu kuhisi anayekuuzia kuna wateja wengi tu wenye uwezo wa kumlipa inakata ham ya huduma yenyewe. Kifup anayenunua huduma ya ngono hana tofaut na mpiga mgalala. Haya mambo yanahitaj hisia flan za SI kila mtu anaingiza hum hum. Ila mi ninachotaman jamii tukubaliane ni; huduma ya ngono iwe huru na halal kisheria. Faida ni nying kuliko hasara. Mbona tunazikubali sigara zenye hasara kede kede kuliko faida?! tuondoe religious barriers tubak reasonable people living responsibly.
 
Kila mtu na apendavyo yeye,kama wewe imekupendeza kula cha wote endelea,usinipangie mkuu
 
Uko sahihi,garama za kumiliki ni kubwa sana na mbaya zaidi umchukue anayetamaniwa na wengi....kama hukujipanga vizuri unaweza ukaishia kuvaa suruali moja.
 
Back
Top Bottom