Habar za j pili wakuu...naanza hivi Kama huwez kumuacha mumeo au mkeo basi usimchunguze CMU yake Leo siku ya Tatu mke wa jirani yangu anaishi kwa sononeko moyoni....ishu ilikuwa hivi alichukuwa simu ya mumewe akaseti SMS anazotuma mumewe zibaki ktk simu bwanaweee mtego wake ukanasa mke kaona mawasiliano ya mumewe na madem kama wa5 hivi tofauti na inaonesha jamaa kashapitia wote na wanahadisiana mautam...mke kuondoka hawez amebaki na kisununu tu moyoni sijui sakata hili litaishaje...but jaman ukimchunguza sn bata hutamla tukome tabia hii ya kupekuana jaman