Akili Pesa
JF-Expert Member
- Jun 18, 2014
- 616
- 854
Wadau nimekaa sehemu nikawa naenjoy life lkn kuna namna nliyokuwa naona maisha ya binadamu mwenzangu nikashihudia wake za watu wakiwa na michepuko yao, pia nikaona Wababa wakiwa na michepuko yao ndio swali likanijia hv.
Kati ya mwanaume na mwanamke nani ana tamaa kumzidi mwenzake??
Tuzingatie mwanamke hutongozwa au kushawishiwa na mwanaume.
Kila jinsia ijitetee hpa tupate majibu?Tupeane details za kutosha hpa.
Kati ya mwanaume na mwanamke nani ana tamaa kumzidi mwenzake??
Tuzingatie mwanamke hutongozwa au kushawishiwa na mwanaume.
Kila jinsia ijitetee hpa tupate majibu?Tupeane details za kutosha hpa.