Wataalam wa Masuala ya Wanawake na Uzazi katika Jumuiya ya Afrika Mashariki wamegundua kuwa Wanawake wa nchini Kenya ndiyo wanaoongoza kwa Kutokupenda Kuvaa Chupi ( Nguo za Ndani ) tofauti na wa...
Habari zenu wana MMU
Iko hivi hapo mwanzo mimi na mpenzi wangu tulikua tukichart na kupigiana simu vizuri tu lakini siku za hivi karibuni nimekuwa nikimpigia simu lakini hapokei sim yangu na...
Baada ya Tanganyika kukumbwa na wanaume goigoi hadi serikali kuingilia kati ili kupata suluhisho la tatizo sasa rasmi wanaume wa Dar wameamua kuwatenga wanaume wa kinondoni!
Hali inatisha hasa kwa...
-Maisha ya mahusiano ni magumu Sana kuliko hata maisha ya ndoa Boys wengi huwa wanachelewa sana kufanya maamuzi sahihi katika wakati sahihi na kuwakosa watu muhimu kwenye ndoa zao.
-Brother...
Mimi ni binti wa miaka kadhaa, ninafanya kazi kwa maana ya muajiriwa, nina mahusiano, sina mtoto
Kiafya Status yangu ni HIV+ (ugonjwa unawapata binadamu so zngatia kauli ikiwa wewe ni binadamu...
Jamani hii kitu inanitatiza, mwanaume kupenda makalio, matiti na lips, macho au kusema umbo la kike ni kitu ambacho kina eleweka. Maana kuna vitu vingi unaweza kupata entertainment.
Jamani...
Amani iwe nanyi wapendwa katika bwana,
Kama kichwa cha habari kinavyo someka hapo juu,
Nilikuwa nafanya kazi katika ofisi fulani hapa town lakini nilikuja kusimamishwa kazi kwa siku moja tena...
Kwa mara ya kwanza,tangu nijiunge na jf leo ndo nimeweza kuandika kupitia engo hii maana mm niko very much interested na ukurasa wa siasa na habar ila huku uwongo mbaya.
Naomba mnikarbishe...
Nadhani sasa lile wazo langu la Kuhama hii Wilaya Kimakazi sasa litakuwa limepata Msukumo mkubwa kwani sitaki niwe sehemu ya Aibu hii kabisa.
Ni kwamba pamoja na Wao kujifanya ndiyo Watoto...
James ni miongoni mwa watu ambao nimewahi kuwaona wakimiliki mademu wakali.. huenda imechangiwa na career yake(Jamaa ana Masters in Medicine).. kwa sasa Jamaa anamiliki mtoto mzuri katika umri wa...
Unakuajee wanaJF
Kwa kwel nimekuwa nikiambiwa na wazee wangu kwamba ukipata Mwanamke wa kuoa mpeleke kwa Mama yako naye mama yangu ataita wanawake wenzake basi watakwambia kwamba huyo binti n...
Sisi wanaume tumejaa tamaa sana, hasa za ngono kwa wanawake tofauti.
Kuna kamchepuko, nina endelea nacho, hapa nimekaa natafakari namna ya kuachana naye, hana tatizo lolote la kumuacha, lakini...
Amani iwe nanyi wapendwa,
Husika na kichwa hapo juu,
Mimi kama kijana mwenzenu kwanza huwa nina biashara zangu za hapa na pale ambazo zinaenda tu fresh bila shida.
Sasa shida ipo imekuja ndugu...
Habarini Wakuu.
Naomba tuianze Wikiendi kwa namna hii.
Maisha yalibadilika sana, kila mara nilikuwa mtu wa kukaa ndani kama mwali aliyetolewa mahari ya kisukuma. Wapi niende mimi Joka jeusi...
Nakupenda sana tena hakuna kifani nashukuru kuwa upo na mimi tokea mpweke mpaka sasa umenipa matumaini .
Naishi kwa furaha na kwa upendo kisa unavyonipaga moyo unavyonipaga mawazo yakutokata...
Wanaume now days wanalalamika sana na kutushukia wanawake kupenda pesa na kutamani vitu vizuri, cha kushangaza hata waliooa hawawaamini wake zao, nachojiuliza hivi tunakwenda wapi kizazi hochi na...
Dini imekuwa kama biashara kubwa siku hizi, lakini zaidi ya biashara udanganyifu, uongo, utapeli na ulozi vimejumuishwa humo na waathirika wakubwa wakiwa ni mabinti na akina mama wenye kutafuta...
Nakumbuka tuliachana alipogundua kuwa yale malengo niliyomuahidi kabla mzee Magu hajaingia madarakani hayatatimia
Maana of course wahitimu wengi tumejaa mtaani huku wengi wakiwa wamekata tamaa ya...
Jamaa anamlaumu Demu wake amemtegeshe Mimba kwa kigezo aliuliza kama amwage ndani au nje demu akachagua ndani...
Demu anajitetea wakati wa tendo asiaminiwe sababu hakua kwenye nafasi ya kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.