Nani alaumiwe

feysher

JF-Expert Member
Sep 6, 2016
2,656
2,762
Jamaa anamlaumu Demu wake amemtegeshe Mimba kwa kigezo aliuliza kama amwage ndani au nje demu akachagua ndani...

Demu anajitetea wakati wa tendo asiaminiwe sababu hakua kwenye nafasi ya kufanya maamuzi sahihi labda angeulizwa kabla ya tendo...
 
Jamaa anamlaumu Demu wake amemtegeshe Mimba kwa kigezo aliuliza kama amwage ndani au nje demu akachagua ndani...

Demu anajitetea wakati wa tendo asiaminiwe sababu hakua kwenye nafasi ya kufanya maamuzi sahihi labda angeulizwa kabla ya tendo...
Huyo aliyemwaga ndani alishindwa nini kuingia na kuitoa Mbegu yake chap kabla haijaanza kumea?
 
jamaa kama anajijua ni ngumu kujicontro wakat wa tendo.... ni bora awe anatumia condom, kiufupi hamna cha kumlaum mpenz wke..wajiandae kulea t
 
Back
Top Bottom