Huyo aliyemwaga ndani alishindwa nini kuingia na kuitoa Mbegu yake chap kabla haijaanza kumea?Jamaa anamlaumu Demu wake amemtegeshe Mimba kwa kigezo aliuliza kama amwage ndani au nje demu akachagua ndani...
Demu anajitetea wakati wa tendo asiaminiwe sababu hakua kwenye nafasi ya kufanya maamuzi sahihi labda angeulizwa kabla ya tendo...
Wacha nitafakari kwanzaMkuu huna jibu au unatafakar jibu
Boya sana huyo jamaa, eti kategeshewa. Angepata ukimwi Kabisa ingependezaEti ehh mkuu
Atavuna alichokipandaTatizo ubishi hataki kutafuta solution yuko anatoa lawama tu
Lawama za nn, mwambie ajiandae kulea tu.Tatizo ubishi hataki kutafuta solution yuko anatoa lawama tu