katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,126
- 5,762
Nakupenda sana tena hakuna kifani nashukuru kuwa upo na mimi tokea mpweke mpaka sasa umenipa matumaini .
Naishi kwa furaha na kwa upendo kisa unavyonipaga moyo unavyonipaga mawazo yakutokata tamaa.
Babe nakupenda sana hujui tu nilivyokupenda ninavyokuamini nakukujali.
Sijui nilini utakapowaambia ulimwengu jinsi ninavyokupenda kama nini.
Siku hiyo sijui nitakuwaje pale nitakapogundua washakunaku na wasiompenda KATOTO KAZURI kuwa naye kapata faraja la moyo wake.
Hao wapambe wasiopenda penzi letu likue na sura za mikorogo watakapokunywa sumu kidedea tumeshinda na kupewa kombe kama la Simba.
Maisha yetu ni yetu ila ninachokuomba uzidi kunipenda usiwasikilize watu wakikuambia mabaya kuhusu mimi.
I LOVE U najua sio lazima niseme ni nani ila jua kuwa upo humu nanina kupenda bila kifani .
Naishi kwa furaha na kwa upendo kisa unavyonipaga moyo unavyonipaga mawazo yakutokata tamaa.
Babe nakupenda sana hujui tu nilivyokupenda ninavyokuamini nakukujali.
Sijui nilini utakapowaambia ulimwengu jinsi ninavyokupenda kama nini.
Siku hiyo sijui nitakuwaje pale nitakapogundua washakunaku na wasiompenda KATOTO KAZURI kuwa naye kapata faraja la moyo wake.
Hao wapambe wasiopenda penzi letu likue na sura za mikorogo watakapokunywa sumu kidedea tumeshinda na kupewa kombe kama la Simba.
Maisha yetu ni yetu ila ninachokuomba uzidi kunipenda usiwasikilize watu wakikuambia mabaya kuhusu mimi.
I LOVE U najua sio lazima niseme ni nani ila jua kuwa upo humu nanina kupenda bila kifani .