Eli24
Senior Member
- Jan 1, 2018
- 165
- 365
Unakuajee wanaJF
Kwa kwel nimekuwa nikiambiwa na wazee wangu kwamba ukipata Mwanamke wa kuoa mpeleke kwa Mama yako naye mama yangu ataita wanawake wenzake basi watakwambia kwamba huyo binti n bikra au la.... Kwa kwel nilifanya hvyo na nlipompata mwanamke mmoja ambae sasa n Mke wangu nilimpelekaa kwa mama yangu naye mama akawaitaa wanawake wenzake wakaaa na huyo Mke wangu kabla hatujaoaa wakiongeaa mambo mawili matatu hvi kwa muda wa siku nzima tukapikiwa na kula vzur baada ya kuondoka tu.. Mama yangu alinipgia simu akisemaa huyo binti n mzur sana ana heshima na adabu anafaaa kuwa Mke wako lakin pia ni Bikra.ni kwel kabsa mim tangu nkutane na huyo binti sikuwah kukutana nae kimwili mpka pale alipoharalishwa na aliniambia kabsa yeye n bikra na kwel kabsaa siku ya honey moon nkamtoaa Mke wangu bikra.. swali langu huyo mama yangu alijuajee huyu binti km n bikra maana leo nlikuwa napga story mama yangu akanikumbushaa haya maneno nkachekaa sana
Kwa kwel nimekuwa nikiambiwa na wazee wangu kwamba ukipata Mwanamke wa kuoa mpeleke kwa Mama yako naye mama yangu ataita wanawake wenzake basi watakwambia kwamba huyo binti n bikra au la.... Kwa kwel nilifanya hvyo na nlipompata mwanamke mmoja ambae sasa n Mke wangu nilimpelekaa kwa mama yangu naye mama akawaitaa wanawake wenzake wakaaa na huyo Mke wangu kabla hatujaoaa wakiongeaa mambo mawili matatu hvi kwa muda wa siku nzima tukapikiwa na kula vzur baada ya kuondoka tu.. Mama yangu alinipgia simu akisemaa huyo binti n mzur sana ana heshima na adabu anafaaa kuwa Mke wako lakin pia ni Bikra.ni kwel kabsa mim tangu nkutane na huyo binti sikuwah kukutana nae kimwili mpka pale alipoharalishwa na aliniambia kabsa yeye n bikra na kwel kabsaa siku ya honey moon nkamtoaa Mke wangu bikra.. swali langu huyo mama yangu alijuajee huyu binti km n bikra maana leo nlikuwa napga story mama yangu akanikumbushaa haya maneno nkachekaa sana