Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,108
Baada ya Tanganyika kukumbwa na wanaume goigoi hadi serikali kuingilia kati ili kupata suluhisho la tatizo sasa rasmi wanaume wa Dar wameamua kuwatenga wanaume wa kinondoni!
Hali inatisha hasa kwa sisi wanaume wa Diaspora tunapata tabu sana kujitambulisha kuwa sisi tumetokea Tanzania hasa Dar es salaam,inabidi tujitabulishe tu tumetokea Uganda maana hili swala limeshangaza ulimwengu mzima kwamba wanaume wa Tz watuna nguvu kabisa za kiume
Hii imepelekea unapotongoza Demu asilimia za kukubaliwa ni 3%
Hali inatisha hasa kwa sisi wanaume wa Diaspora tunapata tabu sana kujitambulisha kuwa sisi tumetokea Tanzania hasa Dar es salaam,inabidi tujitabulishe tu tumetokea Uganda maana hili swala limeshangaza ulimwengu mzima kwamba wanaume wa Tz watuna nguvu kabisa za kiume
Hii imepelekea unapotongoza Demu asilimia za kukubaliwa ni 3%