Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Jaman wanaume wanaibiwa unakuta bint kasimama miguu yote imeeelekea upande mmoja yani staili hii imewasaidia kubinua makalio sasa mbona kitandani hainekani iyo mibinuko? Wala makalio yanayokuwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuna watu sijui niseme ni upeo Mdogo katika mahusiano au ndio kukariri. Hawajui ata swali la kumuuliza mpenzi wake, kwa mfano mtu anakuuliza 1.Umenipenda au umenitamani? Nikujidanganya tu...
0 Reactions
26 Replies
12K Views
Wanabodi habarini?? Kuna jambo limenitokea hapa sijui kama ni ww ungefanyaje. Mishe zangu napigia dukani MB,kuna dada mmoja kajenga mazoea sana na mimi kiasi kwamba kama hana kazi hom anakuja...
3 Reactions
108 Replies
12K Views
Kweli teknolojia imeleta easy access ya kila kitu. Saa hivi siyo kutongoza bali ni kusema unachohitaji. Ukitongoza mwanamke anaona kama unamsumbua siku hizi wanasema najua unachotaka niandalie...
7 Reactions
60 Replies
7K Views
BAADHI ya wanawake kutoka katika Wilaya za Kinondoni, Tanga, Makete na Siha, wamekiri kufanya ngono kinyume na maumbile. Hayo yalielezwa na Mtafiti Mwanasayansi Irine Mremi kutoka Taasisi...
1 Reactions
41 Replies
21K Views
Mtaniwia radhi kwa uandishi wangu ndugu zangu,mimi siyo mwandishi mzuri sana ila nitajitahidi mnielewe. Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 28, nipo katika mahusiano na binti mmoja mwenye miaka...
5 Reactions
104 Replies
10K Views
habari za skukuu ndugu zangu, Moja kwa moja kwenye mada Kwa sasa niko morogoro, nilikuja morogoro mwezi wa tisa mwaka jana, Kama kawaida nilienda kanisani na siku hiyo ikipofika wasaa wa wageni...
1 Reactions
69 Replies
8K Views
Salaam wakuu! Kwa muda sasa nimekuwa najiuliza swali hili, "WANAWAKE WANAPENDA AU WANAZOEA??" Katika harakati zangu za kimahusiano kwa kipindi tofauti tofauti nimekuwa nakutana na warembo. (Kama...
1 Reactions
56 Replies
5K Views
Hujambo na Karibu kwenye Dira ya Mapenzi asubuhi hii. Ninayekukaribisha ni wako mtangazaji Firsclass (In Kikeke Voice) Twende Moja Kwa Moja kwenye Mada. Wanaume/Wavulana tunakwama wapi Aisee...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Hawa ndugu zetu wanatumika sana, sema tu ukimuona, utadhani ni mpya, ila "Wanaingiliwa sana, sana tu" Tukiacha unafiki, tukajikita katika ukweli, "Mwanamke anatumika sana katika ngono" Nakosa...
12 Reactions
103 Replies
8K Views
Kiukweli wanawake wengi walio katika ndoa siku hizi wanaonekana sio waaminifu Kuna rafiki angu alinisimulia anapendwa na binti wa miaka 23 mke wa mtu Keshamgonga na ushahidi wa video kanionesha...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Mtu anaye tafuta mchumba wa kuoa tena yule aliye na pressure anaonaga wanawake ni wachache sana. Yaani kila ukifikiria kuoa huyu unaona hamna kitu. Ukiacha huyu ukakutana na yule unaona bora yule...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Kuna Dada mmoja aliwai kuniambia usiangaike na wanawake ambayo hawajui Nini kesho yao. Na alikua ananitaka alikua anataka mpaka kunionga ila alikua anataka nimpe shoo ya maana na nijue kutafuta...
1 Reactions
33 Replies
3K Views
SOMA HAPA !! Msichana alimtembelea boyfriend wake. Baada ya kuingia chumbani,msichana alimkumbatia na kumsalimia. Baada ya dakika 30 yule msichana alianza kuvua nguo zake zote na kubaki kwenye...
1 Reactions
59 Replies
6K Views
Habari WanaJF, Katika hulka zetu za ujana huwa tunapita pita wanawake tofauti kabla ya kuamua ku settle down Tatizo lina kuwa tofauti na wanaume, wanawake wengi hawapendi kufanya mapenzi bila...
3 Reactions
177 Replies
19K Views
Angalia picha hii ya tumbo la mwanamke kisha sema uelewa wako hasa wanawake.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu,kuna bint m1 ....eniwei ,huyu bint ana kamshahara kanachompa jeur sana...yaan kiufup ni bint mjeur,.. Sasa nmemwambia kama anaweza kila mtu afanye yake,naona yeye ndo anapata tabu sasa,mim...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Katika pitapita zangu maeneo fulani tukiwa kijiweni, alipita jamaa akiwa ameambatana na kimada chake kabebeshwa mkoba wa kike huku kimada kikiwa hakijabeba kitu chochote tena mkoba wenyewe...
1 Reactions
33 Replies
8K Views
Tuacheni masikhara.. kuna wanawake akikupa hata kwa bahati mbaya,,, lazima urudi tu. hata kama ulikuwa mzee wa kupita na kutembea lazima urudi tu. Kuna mdada mwaka desh desh alikuwa cashier...
2 Reactions
34 Replies
4K Views
Back
Top Bottom