Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Miaka 18 – 22 Ni kipindi ambacho binti huanzisha mahusiano yake ya kimapenzi, kwa maana ya kwamba ukikutana na mabinti 10 walio katika umri huu 8 watakwambia wana “boyfriend”. La msingi kutambua...
13 Reactions
44 Replies
13K Views
Habari wanajamvi, Kuna ka tabia fulani wanako wadada kiukweli nashindwaga kuelewa, yani unakuta mwanaume unakutana na mdada sehemu yaweza kuwa kwenye gari, mtaani au sehemu nyingine unaanza...
2 Reactions
71 Replies
12K Views
Habarini za saa hii wana JF Mimi ni kijana ambaye damu inachemka. Naomba kujua mazoezi au hatua ambazo mwanamke atafanya au kufuata ili aweze kukatika kitandani. Nina maana mwanamke gogo awe...
2 Reactions
49 Replies
12K Views
Mapenzi ni mazuri sana ila sisi wanadamu ndo tunafanya yaonekane mabaya, hovyo, hadi tunafikia kuyachukia na kuchukiana. Na hii yote inatokea pale mmoja anapokuwa kwny mahusiano kimaslahi zaidi...
12 Reactions
78 Replies
5K Views
Habari za wakati huu wana,,Hopefully mko vyedi,,,Acha niende live kwenye topic,,Juzi kati tu apa fiade nikiwa nime'chill ki'home boy sina njaro na izi ma'raia za apa Gachuland,Mala ghafla mlango...
3 Reactions
47 Replies
5K Views
Jifunze hekima hapa Nimewahi kusikia habari ya msharika mmoja ambaye alipandikiziwa habari mbaya na mtu mwingine ili amseme vibaya mchungaji wake. Habari hii iko hivi: Mchungaji X alikuwa...
4 Reactions
6 Replies
3K Views
Hey Asikuambie mtu kuchagua mtu wa kuishi naye au tu mchumba siyo kazi simple sana hasa pale unapokutana na mtu hujazoeana naye kujua alivo pengine yeye ni wa iringa wewe ni wa pwani. Ni kazi...
2 Reactions
62 Replies
5K Views
hili nmekuwa nikiliangalia kupitia threads za watu mbalimbali humu. wanawake wa siku hizi ni kama wote tu wanajiuza. tunatia kinyaa na kuharibu image na heshima ya wanawake. unakuta mwanamke...
128 Reactions
411 Replies
40K Views
Jaman wanaume wanaibiwa unakuta bint kasimama miguu yote imeeelekea upande mmoja yani staili hii imewasaidia kubinua makalio sasa mbona kitandani hainekani iyo mibinuko? Wala makalio yanayokuwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuna watu sijui niseme ni upeo Mdogo katika mahusiano au ndio kukariri. Hawajui ata swali la kumuuliza mpenzi wake, kwa mfano mtu anakuuliza 1.Umenipenda au umenitamani? Nikujidanganya tu...
0 Reactions
26 Replies
12K Views
Wanabodi habarini?? Kuna jambo limenitokea hapa sijui kama ni ww ungefanyaje. Mishe zangu napigia dukani MB,kuna dada mmoja kajenga mazoea sana na mimi kiasi kwamba kama hana kazi hom anakuja...
3 Reactions
108 Replies
12K Views
Kweli teknolojia imeleta easy access ya kila kitu. Saa hivi siyo kutongoza bali ni kusema unachohitaji. Ukitongoza mwanamke anaona kama unamsumbua siku hizi wanasema najua unachotaka niandalie...
7 Reactions
60 Replies
7K Views
BAADHI ya wanawake kutoka katika Wilaya za Kinondoni, Tanga, Makete na Siha, wamekiri kufanya ngono kinyume na maumbile. Hayo yalielezwa na Mtafiti Mwanasayansi Irine Mremi kutoka Taasisi...
1 Reactions
41 Replies
21K Views
Mtaniwia radhi kwa uandishi wangu ndugu zangu,mimi siyo mwandishi mzuri sana ila nitajitahidi mnielewe. Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 28, nipo katika mahusiano na binti mmoja mwenye miaka...
5 Reactions
104 Replies
10K Views
habari za skukuu ndugu zangu, Moja kwa moja kwenye mada Kwa sasa niko morogoro, nilikuja morogoro mwezi wa tisa mwaka jana, Kama kawaida nilienda kanisani na siku hiyo ikipofika wasaa wa wageni...
1 Reactions
69 Replies
8K Views
Salaam wakuu! Kwa muda sasa nimekuwa najiuliza swali hili, "WANAWAKE WANAPENDA AU WANAZOEA??" Katika harakati zangu za kimahusiano kwa kipindi tofauti tofauti nimekuwa nakutana na warembo. (Kama...
1 Reactions
56 Replies
5K Views
Hujambo na Karibu kwenye Dira ya Mapenzi asubuhi hii. Ninayekukaribisha ni wako mtangazaji Firsclass (In Kikeke Voice) Twende Moja Kwa Moja kwenye Mada. Wanaume/Wavulana tunakwama wapi Aisee...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Hawa ndugu zetu wanatumika sana, sema tu ukimuona, utadhani ni mpya, ila "Wanaingiliwa sana, sana tu" Tukiacha unafiki, tukajikita katika ukweli, "Mwanamke anatumika sana katika ngono" Nakosa...
12 Reactions
103 Replies
8K Views
Kiukweli wanawake wengi walio katika ndoa siku hizi wanaonekana sio waaminifu Kuna rafiki angu alinisimulia anapendwa na binti wa miaka 23 mke wa mtu Keshamgonga na ushahidi wa video kanionesha...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Mtu anaye tafuta mchumba wa kuoa tena yule aliye na pressure anaonaga wanawake ni wachache sana. Yaani kila ukifikiria kuoa huyu unaona hamna kitu. Ukiacha huyu ukakutana na yule unaona bora yule...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom