BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,040
- 10,459
Kweli teknolojia imeleta easy access ya kila kitu. Saa hivi siyo kutongoza bali ni kusema unachohitaji. Ukitongoza mwanamke anaona kama unamsumbua siku hizi wanasema najua unachotaka niandalie pesa ya nauli nakuja kukupa unachotaka.
Note: hao ni wadada naokutana nao huku mtaani sio wa hapa JF wa humu jukwaani ni strong women wasio pagawa na vichenji vya mboga.
Note: hao ni wadada naokutana nao huku mtaani sio wa hapa JF wa humu jukwaani ni strong women wasio pagawa na vichenji vya mboga.