Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Kiukweli wanawake wengi walio katika ndoa siku hizi wanaonekana sio waaminifu
Kuna rafiki angu alinisimulia anapendwa na binti wa miaka 23 mke wa mtu
Keshamgonga na ushahidi wa video kanionesha
Huyu binti anamponda mmewe anadai hana nyege nae ila zipo kwa huyo rafiki angu
Jana kanionesha msg jinsi huyo demu anavyomng'ang'ania jamaaa na jamaa hamtaki demu
Mimi nilichofanya nikaiba namba ya huyo demu ili nione tabia yake ipoje nikaanza kuchat nae na kujifanya nimekosea namba ila nikamwambia sio vibaya tukiendelea kuwasiliana kwa sababu wote tupo mkoa mmoja wilaya moja
Basi mawasiliano yakapamba moto Leo nikaomba nionane nae mtoto kaniibukia hadi nilipomuelekeza anikute
Demu nimekaa nae ananipa uongo tupu anaishi kwa mjomba ake kumbe anaishi na msela wake
Nimemchezea chezea pale bar nikamwambia sepa kwenu
Wanawake acheni tamaa mtulie na waume zenu kwenye ndoa zenu.
Kuna rafiki angu alinisimulia anapendwa na binti wa miaka 23 mke wa mtu
Keshamgonga na ushahidi wa video kanionesha
Huyu binti anamponda mmewe anadai hana nyege nae ila zipo kwa huyo rafiki angu
Jana kanionesha msg jinsi huyo demu anavyomng'ang'ania jamaaa na jamaa hamtaki demu
Mimi nilichofanya nikaiba namba ya huyo demu ili nione tabia yake ipoje nikaanza kuchat nae na kujifanya nimekosea namba ila nikamwambia sio vibaya tukiendelea kuwasiliana kwa sababu wote tupo mkoa mmoja wilaya moja
Basi mawasiliano yakapamba moto Leo nikaomba nionane nae mtoto kaniibukia hadi nilipomuelekeza anikute
Demu nimekaa nae ananipa uongo tupu anaishi kwa mjomba ake kumbe anaishi na msela wake
Nimemchezea chezea pale bar nikamwambia sepa kwenu
Wanawake acheni tamaa mtulie na waume zenu kwenye ndoa zenu.