livewise1
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 837
- 972
Salaam wakuu!
Kwa muda sasa nimekuwa najiuliza swali hili,
"WANAWAKE WANAPENDA AU WANAZOEA??"
Katika harakati zangu za kimahusiano kwa kipindi tofauti tofauti nimekuwa nakutana na warembo.
(Kama watano {5} hivi maximum).
Nilikuwa nikimtongoza mrembo anakataa awali lakini mimi simuwekei kavu naendelea kumsalimia na kumjulia hali kiujumla (maana huwa tupo eneo / mtaa mmoja kimakazi).
Sasa baada ya muda wanakuwa wadadisi kujua lifestyle yangu na pindi wanapojua wanaongeza ukaribu. (Sio kwamba nina pesa au sharobaro, HAPANA). Nina maisha simple tu.
Huo ukaribu unazidi mpaka jina linabadilishwa yanaanza (my...dear...best...e.t.c)
Kwa vile mimi najua kwamba nilishakataliwa kimahusiano, huwa sina harakati za kimahusiano nao.
Kuna kipindi hufika wanaanza kutumia indirect message (kunijulisha kuwa wananitaka).
Baadae inakuwa kama too much nikiwa sijali.
"HAPO NDIO NAJIULIZA KWA NINI AWALI ALIKATAA, SASA HIVI ANANITAKA?!"
huyu amependa au ni kuzoea???
Nielewesheni wakuu wa jukwaa.
Kwa muda sasa nimekuwa najiuliza swali hili,
"WANAWAKE WANAPENDA AU WANAZOEA??"
Katika harakati zangu za kimahusiano kwa kipindi tofauti tofauti nimekuwa nakutana na warembo.
(Kama watano {5} hivi maximum).
Nilikuwa nikimtongoza mrembo anakataa awali lakini mimi simuwekei kavu naendelea kumsalimia na kumjulia hali kiujumla (maana huwa tupo eneo / mtaa mmoja kimakazi).
Sasa baada ya muda wanakuwa wadadisi kujua lifestyle yangu na pindi wanapojua wanaongeza ukaribu. (Sio kwamba nina pesa au sharobaro, HAPANA). Nina maisha simple tu.
Huo ukaribu unazidi mpaka jina linabadilishwa yanaanza (my...dear...best...e.t.c)
Kwa vile mimi najua kwamba nilishakataliwa kimahusiano, huwa sina harakati za kimahusiano nao.
Kuna kipindi hufika wanaanza kutumia indirect message (kunijulisha kuwa wananitaka).
Baadae inakuwa kama too much nikiwa sijali.
"HAPO NDIO NAJIULIZA KWA NINI AWALI ALIKATAA, SASA HIVI ANANITAKA?!"
huyu amependa au ni kuzoea???
Nielewesheni wakuu wa jukwaa.