ikitokea mwanaume ulikuwa na demu wako unaye mpenda kwa dhati kabisa ghafla tu anakuambia kuwa kuanzia leo mimi na wewe basi kila mtu afanye mambo yake ,hakuna tena cha mahusiano wala mapenzi je...
Salam kwenu wakuu.
Wanawake bana nashindwa kabisa kuwaelewa.
Hivi inawezekana Mwanamke akatoka home kuelekea katika mihangaiko yake bila kuvaa hata PICHU?πππ
Leo Asubuhi wakati naelekea katika...
Mwanamke ni sawa sawa na gari,kuna ist,ford ranger,explorer,landcruiser n.k pia wapo wenye cc 1000, 2500 n.k Mi napenda ford explorer,landcruiser n.k yaani wale waliojazia wanaoanzia cc 4600.Je...
Niaje Maninja na masista Duu wa JF.Najua mko Gud,
Ok mzuka mwingi.
Twende kwenye Topic wazazi
Kwa jinsi Dunia inavo Rotate kwa kasi ya kimbunga Kenethi Na watu waliomo ndani yake basi...
Maisha ya ndoa raha sana hasa pale mnapokuwa mnatafuta watoto;akiwa jikoni unampa kitu,bafuni unampa kitu,chumbani unampa kitu,sebuleni unampa kitu,kama uko kwenye uzio pia unampa kitu,akiwa...
Salamu Sana.
Kwa wale wenzangu wenye kasumba Kama mimi ambao unamtongoza demu halafu anakuletea nyodo (anakaku zoom kuanzia chini mpaka juu) halafu anakusonya fyuuuuuu!!
Mara nyingi huwa kuna...
Ukweli ni kwamba katika mahusiano sisi wanaume ndio tunaplay part kubwa. Mwanaume unapambana unampa mwanamke kila kitu anachohitaji from A-Z halafu anakusaliti, hapo lazima uumie sana.
_Mwanamke...
Habarini za mchana wakuu, sikuhizi biashara ya ukahaba inafanyika sana kwenye mtandao, binafsi niliwahi chat na msichana DM huko instagram mara ghafla akaniuliza unahela?? ni kamwambia ya nn...
Leo, nimekumbuka mbali kweli enzi hizo tunasoma kulikuwa na demu balaa class yaani kila paper ana A,achana na Huyo demu bwana kulikuwa na jamaa yangu Hugo alikuwa moto yaani in balaa kila paper...
Leo, nimekumbuka mbali kweli enzi hizo tunasoma kulikuwa na demu balaa class yaani kila paper ana A,achana na Huyo demu bwana kulikuwa na jamaa yangu Hugo alikuwa moto yaani in balaa kila paper...
Leo nilikua maeneo ya sinza nikijipongeza na moja moto moja baridi baada ya kumaliza majukumu yangu ya kila siku.. baada ya kinywaji kunikolea nikaona isiwe tabu acha nipate burudani ya penzi...
Wakuu,
Ipo wazi kuwa, wakati wa kupenzika, mwanamke akitoa zile sauti za kimahaba hata kama ana fake, zinaongeza sana mzukaa kwa mwanaume na kumfanya afurahie sana tendo na hata kumwaga mapema...
Aisee nimesikitishwa sana na suala la Kamanda wetu kukiri kuwa alikuwa na taarifa mapema kuhusu shambulio la kigaidi alafu Akazitunza tu kama mayai[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Marekani...
Naweza kuvumilia sana tena sana lakini mwanamke mchafu,mchoyo,mchawi,Malaya,kiburi kamwe siwezi kuvumilia milele!
Tuanze na mwanamke mchafu!
Uchafu nao uzungumzia unaweza ukakuta mwanamke ni...
Katika busara na upuuzi wangu, leo nimekuletea vitu vya kuzingatia katika mahusiana au ndoa yako. Mimi bado nipo single so kama nimekosea unaweza kunirekebisha [emoji23]
Kila mwanadamu utakae...