cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,317
- 7,509
Hoda muthana wa Alabama na Shamima mabinti wadogo sana waliokuwa majiunga na kikundi cha ISIS wakitokea nchi za magharibi,baada ya ISIS kuvunjika wanaomba kurudi nchini kwao ila nchi zao wamekataa kuwapokea ,mfano Uingereza inasema inamfutia uraia Shamima
Je vijana wa kibongo mpo tayari kuchukua mizigo hiyo ili mkaanzishe familia na watoto wa kizungu?View attachment 1027664
Sent using Jamii Forums mobile app
Je vijana wa kibongo mpo tayari kuchukua mizigo hiyo ili mkaanzishe familia na watoto wa kizungu?View attachment 1027664
Sent using Jamii Forums mobile app