Hongera Ben...

Hongera Ben...

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
365,322
Reaction score
843,785
Kila mtu atasema lake.. Wengine watasema umeoa kikongwe... Wengine watasema umeoa mwanamke wa kiume.. Lakini mapenzi ni ya wawili tuuu... Usiwasikize hao
IMG-20190219-WA0013.jpeg


Jr
 
Ungem text tu kwa hili. Kuanzisha topic mpya na kumwambia asiwasikilize hao ni sawa na kuwaita hao waje kuchangia yao.

Single motherz oyee, mwenzetu kaweza ana nini na sisi tushindwe tuna nini.
Nawatakia wanandoa hawa maisha ya furaha na upendo, ndoa yao idumu wazeeke pamoja kifo tu ndio kiwatenganishe. Amen.
 
Ungem text tu kwa hili. Kuanzisha topic mpya na kumwambia asiwasikilize hao ni sawa na kuwaita hao waje kuchangia yao.

Single motherz oyee, mwenzetu kaweza ana nini na sisi tushindwe tuna nini.
Nawatakia wanandoa hawa maisha ya furaha na upendo, ndoa yao idumu wazeeke pamoja kifo tu ndio kiwatenganishe. Amen.
kwa hiyo unawasimanga eeh

Jr
 
Ungem text tu kwa hili. Kuanzisha topic mpya na kumwambia asiwasikilize hao ni sawa na kuwaita hao waje kuchangia yao.

Single motherz oyee, mwenzetu kaweza ana nini na sisi tushindwe tuna nini.
Nawatakia wanandoa hawa maisha ya furaha na upendo, ndoa yao idumu wazeeke pamoja kifo tu ndio kiwatenganishe. Amen.
Hapo kwenye kuzeeka pamoja pana utata mana kimuonekano bibi harusi ni jioni tayari wakati bwana harusi bado kijana mdogo so obviously mwanamke atazeeka kabla ya mwanaume.
 
Wengine wanasema ati hiyo ni movie scene!! Bora nikaelewa hivyo tu hayo mengine niwaachie wao
 
Huyo Mwanamke anaonekana ana akili nyingi, ona alivyo Simple kabisa, hana makuu.
Kama umri mbona Profesa kaoa kabinti wanapishana miaka 55 kama kajukuu kake tu kama sio ka kilembwe.
Hivyo umri sio kitu muhimu kwenye mahusiano ya ki ndoa, cha msingi ni kama mnapendana na kuridhishana na kuleta furaha kati yenu na uhakika wa maisha yenu.
Hongera Ben.
Hongera Profesa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo Mwanamke anaonekana ana akili nyingi, ona alivyo Simple kabisa, hana makuu.
Kama umri mbona Profesa kaoa kabinti wanapishana miaka 55 kama kajukuu kake tu kama sio ka kilembwe.
Hivyo umri sio kitu muhimu kwenye mahusiano ya ki ndoa, cha msingi ni kama mnapendana na kuridhishana na kuleta furaha kati yenu na uhakika wa maisha yenu.
Hongera Ben.
Hongera Profesa.


Sent using Jamii Forums mobile app
hongera wote walioolewa

Jr
 
Hapo ndo unampeleka mke mtarajiwa kumtambulisha kwa wazazi unakuta wanakwambia "anhaaa sawa baba, muhimu upendo tu"
da kwaunyonge hivyyo maana yake hawajamfurahia bibi harusi au vipi mkuuu?
 
Back
Top Bottom