Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.8K
Threads
7.9K
Posts
231.8K

On JF:

Hapa vijana wa bongo kabla ya yote lazima wathaminishe kwanza kama ana "chura" ama la!!! Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Unakuta mwanaume/mwanamke anakupenda unamkataa Kwa kuamin kwamba hajakidhi vigezo vyako. Lakin unakosa kabisa mwanaume/mwanamke anayekupenda katika kiwango kile cha yule wa kwanza, mda mwingine...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Habarini wakuu, Sorry! Mimi ni mtanzania mwenzenu nahitaji vitu kadhaa vya kuzingatia wakati wa kumtoa out mpenzi wako (wangu), coz kwangu ni mara ya kwanza kufanya hivi jamani, sasa basi...
2 Reactions
68 Replies
16K Views
“If you’re beautiful and have a brain and a vagina, you can own the world.” Wanawake wengi hawajui hilo.ila ni ngumu pia kupata wa namna hiyo mwenye hizo sifa kuu tatu. 1. She is Beautiful 2. She...
19 Reactions
116 Replies
13K Views
Hakika mimi nimeshindwa kujizuia, sijawai waza kama naweza hata fanya chochote juu yake but nimeshindwa kabisa baada ya kumuona na mazingira yalikua rafiki ingawa hatarishi. Na yeye hakuweza...
0 Reactions
1 Replies
878 Views
Yaani mtu anakuja mnakaa mnapiga story za kindugu anakuona na tatizo flani akuambii, Ila akitoka anaanza kutangaza kana kwamba umempa maelezo. Unashangaa ndugu kadukua namba ya H/Girl au mtu wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau habarin za wknd? Naomba niulize kuna ulazima wa zawadi sku ya send off kutoka kwa wadada kwnda kwa mumewe mtarajiwa kuwa SAA??? Naona hii zawadi ya SAA kama ni zawadi moja maarufu sana yan...
0 Reactions
25 Replies
11K Views
Nasikia wanawake husema kuwa, hisia za MUME wa kwanza hazisahauliki, ukitokea upenyo kidogo tu, lazima autumie!!
4 Reactions
12 Replies
3K Views
Nianze kwanza kwa kumshukuru mungu Pili nawapa pole sana ndugu zangu wa dar kwa mafuriko na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini Sio dar tu ndugu zangu hata huku Arusha nilipo hali ya mvua...
3 Reactions
193 Replies
33K Views
Natumai ni wazima wa afya.bila kupoteza muda nianze moja kwa moja,Ni hivi wa kipindi cha miezi miwili iliopita tuliunda uhusiano wa kimapenzi na mwanamke mmoja ana km 25yrs baada ya kufahamiana...
1 Reactions
56 Replies
7K Views
Eti wanaume ni Malighafi! Jamani.... Nikiwa safari kuelekea Nairobi nilifanikiwa kuonana na mama mmoja Mchaga aliyefanikiwa sana. Ana hoteli Arusha, Moshi na pia ana export kahawa. Nilijiuliza...
22 Reactions
111 Replies
13K Views
Wakikuona upo kwenye zebra unataka kuvuka hawasimami mpaka uwe umesimama na mwanamke mzurii! Shenzy type. Uzi tayari. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nahitaji mpenzi na msaidizi wa maisha Nimekulia maisha ya mahangaiko..nahitaji mtu wa kunitoa upweke na huzuni nliyonayo. Nahitaji kutulia nami Naitaji wa kunishika mkono nitoke hapa nilipo...
2 Reactions
71 Replies
5K Views
Wakuu nisaidieni ila chanzo nahisi ni huu uzuri wa mke wangu huyu wa kihaya.. Nifanyaje nikae japo wiki? Kuna watu wameoa Toka kitambo humu waje hapa Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kuna maneno yanaposemwa na mwanamke, huwa na maana tofauti na ile iliyoandikwa kwenye kamusi. Tuyaongelee machache. Dakika tano Kimsingi maneno dakika tano yanatakiwa kumaanisha ‘dakika tano’...
3 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari wapendwa, Naombeni Mnisaidie jina la hii nyimbo maana nimeutafuta sana bila mafanikio yoyote. Natanguliza shukrani zangu
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Jioni leo nikiwa Napata kahawa katika mgahawa mmoja nikisubiri usafiri wa kurudi nyumbani anaingia Madam mmoja middle aged na kuketi pembeni yangu. Alisogea karibu yangu akatabasamu kwa kuwa...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Hii kampeni ya "jizuie kuwatazama wadada wenye makalio makubwa" niliianza mwanzoni mwa miaka ya 2005 lakini hadi leo sijaifaulu. Kuna mtu aliniambia we chukulia kama kitu cha kawaida tuu nikasema...
1 Reactions
57 Replies
13K Views
Back
Top Bottom