Unakuta mwanaume/mwanamke anakupenda unamkataa Kwa kuamin kwamba hajakidhi vigezo vyako. Lakin unakosa kabisa mwanaume/mwanamke anayekupenda katika kiwango kile cha yule wa kwanza, mda mwingine...
Habarini wakuu,
Sorry! Mimi ni mtanzania mwenzenu nahitaji vitu kadhaa vya kuzingatia wakati wa kumtoa out mpenzi wako (wangu), coz kwangu ni mara ya kwanza kufanya hivi jamani, sasa basi...
“If you’re beautiful and have a brain and a vagina, you can own the world.”
Wanawake wengi hawajui hilo.ila ni ngumu pia kupata wa namna hiyo mwenye hizo sifa kuu tatu.
1. She is Beautiful
2. She...
Hakika mimi nimeshindwa kujizuia, sijawai waza kama naweza hata fanya chochote juu yake but nimeshindwa kabisa baada ya kumuona na mazingira yalikua rafiki ingawa hatarishi. Na yeye hakuweza...
Yaani mtu anakuja mnakaa mnapiga story za kindugu anakuona na tatizo flani akuambii, Ila akitoka anaanza kutangaza kana kwamba umempa maelezo.
Unashangaa ndugu kadukua namba ya H/Girl au mtu wa...
Wadau habarin za wknd?
Naomba niulize kuna ulazima wa zawadi sku ya send off kutoka kwa wadada kwnda kwa mumewe mtarajiwa kuwa SAA???
Naona hii zawadi ya SAA kama ni zawadi moja maarufu sana yan...
Nianze kwanza kwa kumshukuru mungu
Pili nawapa pole sana ndugu zangu wa dar kwa mafuriko na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini
Sio dar tu ndugu zangu hata huku Arusha nilipo hali ya mvua...
Natumai ni wazima wa afya.bila kupoteza muda nianze moja kwa moja,Ni hivi wa kipindi cha miezi miwili iliopita tuliunda uhusiano wa kimapenzi na mwanamke mmoja ana km 25yrs baada ya kufahamiana...
Eti wanaume ni Malighafi!
Jamani....
Nikiwa safari kuelekea Nairobi nilifanikiwa kuonana na mama mmoja Mchaga aliyefanikiwa sana. Ana hoteli Arusha, Moshi na pia ana export kahawa.
Nilijiuliza...
Wakikuona upo kwenye zebra unataka kuvuka hawasimami mpaka uwe umesimama na mwanamke mzurii!
Shenzy type.
Uzi tayari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahitaji mpenzi na msaidizi wa maisha
Nimekulia maisha ya mahangaiko..nahitaji mtu wa kunitoa upweke na huzuni nliyonayo. Nahitaji kutulia nami
Naitaji wa kunishika mkono nitoke hapa nilipo...
Wakuu nisaidieni ila chanzo nahisi ni huu uzuri wa mke wangu huyu wa kihaya.. Nifanyaje nikae japo wiki? Kuna watu wameoa Toka kitambo humu waje hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna maneno yanaposemwa na mwanamke, huwa na maana tofauti na ile iliyoandikwa kwenye kamusi. Tuyaongelee machache.
Dakika tano
Kimsingi maneno dakika tano yanatakiwa kumaanisha ‘dakika tano’...
Jioni leo nikiwa Napata kahawa katika mgahawa mmoja nikisubiri usafiri wa kurudi nyumbani anaingia Madam mmoja middle aged na kuketi pembeni yangu. Alisogea karibu yangu akatabasamu kwa kuwa...
Hii kampeni ya "jizuie kuwatazama wadada wenye makalio makubwa" niliianza mwanzoni mwa miaka ya 2005 lakini hadi leo sijaifaulu.
Kuna mtu aliniambia we chukulia kama kitu cha kawaida tuu nikasema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.