Nakumbuka niliachana nae mwaka jana......hii ilikuwa ni baada ya yeye kuanza dharau na kiburi(yote haya n kwakuwa alipata mtu alomzuzua na kunisahau) na pia n kwakuwa sikuwa na hela wala...
Watanzania kuna vitu fulani tunaendekeza ambavyo havina mantiki kwakweli.
Siku hizi kuna kautaratibu kamepamba moto ambapo mtu sherehe si yake ila anakuja na watu wake wanampa zawadi akiwa amekaa...
Katika maisha kila kitu hutokea kwa kusudi maalumu na majira maalumu; kama ilivyo production date kwenye bidhaa na expire date, hivyo kila kitu kina expire date yake; kuna muda katika maisha kuna...
Katika mazingira fulani fulani tukajikuta mimi na mtoto wa mama yangu mdogo tumeanza kupeana vya faragha,tulianza Kama utani tukitarajia hatutafika mbali,mwaka wa tano Sasa tumeshanogewa kila...
Haya maisha yamekuwa mafupi sana, ukipata nafasi ya kumuonesha mtu upendo mwoneshe, akiumwa kamuone, akikuomba msamaha msamahe, ukimkumbuka kamjulie hali
#Usiyape majivuno nafasi tuna muda mfupi...
Nataka nianze kufanya huduma ya kuwafanyia massage wanawake,Huduma itakuwa ni through mobile ofisi mkononi kwangu,
Kama ambavyo wasafisha kucha wanatoa huduma nami nataka kuitoa hiyo Huduma Kwa...
Sio naandika kinafiki uzi huu ni ukwel kabisa ndugu zetu wa mkoa mnakwama wapi?? Bado mna mapenzi ya kishamba sana badilikeni bwana.
Unakuta mwanaume wivu umejaa , mwanaume unanuna kisa dem...
Kwanini Mimi? .....
Mtunzi : Daniel John Mtambo
SEHEMU YA KWANZA (I)
Kila Jambo linalokukuta ktk maisha Ni makusudi ya Mungu.
Kijana Moja Aliyeitwa Aizaki John alikua Na elimu ya...
Kama ulikuwa ukidhani kwamba yale ‘ Maandiko ‘ unayoyaona au kuyasikia kutoka katika Kitabu Kitakatifu cha Biblia ni ‘ Stori ‘ tu kama ambazo zipo sana ‘ Vijiweni ‘ mwetu basi utakuwa unakosea mno...
Jinsi mnavyotumiwa meseji na mwanaume kwenye mitandao usijione mzuri sana, maana mkiona mwanaume zaidi ya mmoja wanakutumia meseji basi unajiona bonge la demu kumbe wap kawaida tuu, basi hata...
Basi bwana, tukadondoka Moshi Mjini kufuatilia vitu flani hivi amazing nini,
Kushuka kwenye gari tunatembea na dadangu tukasikia wanaume wanasema:
"Engeneer Soma iyoooo!!, We Engeneer ngapiiii...
Kaka na dada ambao wamezaliwa kwa baba zao ambao ni ndugu ,baba mkubwa na mdogo,nafahamu baadhi ya mila ni kosa kubwa lakini je kidini ikooje? Nipeni ufahamu WanaJF
Waku wiki iliyopita nilikua bize na harakati mtandao Kuna application 1 unachat online na watoto wazuri wazuri.
Kwa bahati Mbaya sijui utaratibu wa kufika uholanzi cha Ajabu binti kajibu.. "if...
Jina langu ni common sana hasa hapa TZ kiasi kwamba class moja munaweza kujikuta wenye jina hilo mpo watano au sehemu yoyote kwenye mkusanyiko wa watu mkawa zaidi ya wawili hali kama hiyo...
Nimewahi kuwapenda wanawake kadhaa, Mmoja sikuwahi kuwa nae, wa pili nilikuwa nae ila hakunipa time nadhani hakunipa time kwa sababu sina pesa!
Wa tatu alinipenda na akanipa time,nimekuwa naye kwa...
Msomaji mmoja wa safu hii aliniandikia hivi majuzi akidai mwanae hamsikilizi. Kwa mujibu wa mzazi huyu, pamoja na kufanya jitihada za kumwelekeza mwanae mambo muhimu ya kimaisha, bado kijana wake...
Hello guys
Nime-observe male & female interaction nyingi, nimegundua kitu kimoja..
1) Mwanamke atafanya ngono, kama hana kitu kingine cha kufanya, au kama anahitaji kupata pesa kutoka kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.