Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.8K
Threads
7.9K
Posts
231.8K

On JF:

Nakumbuka niliachana nae mwaka jana......hii ilikuwa ni baada ya yeye kuanza dharau na kiburi(yote haya n kwakuwa alipata mtu alomzuzua na kunisahau) na pia n kwakuwa sikuwa na hela wala...
3 Reactions
57 Replies
5K Views
Watanzania kuna vitu fulani tunaendekeza ambavyo havina mantiki kwakweli. Siku hizi kuna kautaratibu kamepamba moto ambapo mtu sherehe si yake ila anakuja na watu wake wanampa zawadi akiwa amekaa...
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Katika maisha kila kitu hutokea kwa kusudi maalumu na majira maalumu; kama ilivyo production date kwenye bidhaa na expire date, hivyo kila kitu kina expire date yake; kuna muda katika maisha kuna...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Katika mazingira fulani fulani tukajikuta mimi na mtoto wa mama yangu mdogo tumeanza kupeana vya faragha,tulianza Kama utani tukitarajia hatutafika mbali,mwaka wa tano Sasa tumeshanogewa kila...
1 Reactions
66 Replies
11K Views
Haya maisha yamekuwa mafupi sana, ukipata nafasi ya kumuonesha mtu upendo mwoneshe, akiumwa kamuone, akikuomba msamaha msamahe, ukimkumbuka kamjulie hali #Usiyape majivuno nafasi tuna muda mfupi...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Nataka nianze kufanya huduma ya kuwafanyia massage wanawake,Huduma itakuwa ni through mobile ofisi mkononi kwangu, Kama ambavyo wasafisha kucha wanatoa huduma nami nataka kuitoa hiyo Huduma Kwa...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Sio naandika kinafiki uzi huu ni ukwel kabisa ndugu zetu wa mkoa mnakwama wapi?? Bado mna mapenzi ya kishamba sana badilikeni bwana. Unakuta mwanaume wivu umejaa , mwanaume unanuna kisa dem...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Kwanini Mimi? ..... Mtunzi : Daniel John Mtambo SEHEMU YA KWANZA (I) Kila Jambo linalokukuta ktk maisha Ni makusudi ya Mungu. Kijana Moja Aliyeitwa Aizaki John alikua Na elimu ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Unapenda kusoma riwaya? Zenye mpango wa kipelelezi, mapenzi na visasi? Nina vitabu vitatu tofauti MIFUPA MIKAVU Tsh 13,000 LUPITA 10,000 MUUZA MIHOGO Tsh 10,000 Ukihitaji vyote vitatu kwa pamoja...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimeikuta kwenye gazeti moja hiv ni kweli? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama ulikuwa ukidhani kwamba yale ‘ Maandiko ‘ unayoyaona au kuyasikia kutoka katika Kitabu Kitakatifu cha Biblia ni ‘ Stori ‘ tu kama ambazo zipo sana ‘ Vijiweni ‘ mwetu basi utakuwa unakosea mno...
12 Reactions
35 Replies
5K Views
Jinsi mnavyotumiwa meseji na mwanaume kwenye mitandao usijione mzuri sana, maana mkiona mwanaume zaidi ya mmoja wanakutumia meseji basi unajiona bonge la demu kumbe wap kawaida tuu, basi hata...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Basi bwana, tukadondoka Moshi Mjini kufuatilia vitu flani hivi amazing nini, Kushuka kwenye gari tunatembea na dadangu tukasikia wanaume wanasema: "Engeneer Soma iyoooo!!, We Engeneer ngapiiii...
1 Reactions
109 Replies
18K Views
NAOMBA KUULIZA WATU WANAFANYA UMALAYA ILI WAGUNDUE LADHA MBALIMBALI AU? NA KAMA NI LADHA JE,WATU WANATOFAUTIANA LADHA?
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Kaka na dada ambao wamezaliwa kwa baba zao ambao ni ndugu ,baba mkubwa na mdogo,nafahamu baadhi ya mila ni kosa kubwa lakini je kidini ikooje? Nipeni ufahamu WanaJF
1 Reactions
87 Replies
7K Views
Waku wiki iliyopita nilikua bize na harakati mtandao Kuna application 1 unachat online na watoto wazuri wazuri. Kwa bahati Mbaya sijui utaratibu wa kufika uholanzi cha Ajabu binti kajibu.. "if...
0 Reactions
82 Replies
11K Views
Jina langu ni common sana hasa hapa TZ kiasi kwamba class moja munaweza kujikuta wenye jina hilo mpo watano au sehemu yoyote kwenye mkusanyiko wa watu mkawa zaidi ya wawili hali kama hiyo...
1 Reactions
33 Replies
4K Views
Nimewahi kuwapenda wanawake kadhaa, Mmoja sikuwahi kuwa nae, wa pili nilikuwa nae ila hakunipa time nadhani hakunipa time kwa sababu sina pesa! Wa tatu alinipenda na akanipa time,nimekuwa naye kwa...
7 Reactions
114 Replies
7K Views
Msomaji mmoja wa safu hii aliniandikia hivi majuzi akidai mwanae hamsikilizi. Kwa mujibu wa mzazi huyu, pamoja na kufanya jitihada za kumwelekeza mwanae mambo muhimu ya kimaisha, bado kijana wake...
4 Reactions
3 Replies
2K Views
Hello guys Nime-observe male & female interaction nyingi, nimegundua kitu kimoja.. 1) Mwanamke atafanya ngono, kama hana kitu kingine cha kufanya, au kama anahitaji kupata pesa kutoka kwa...
17 Reactions
110 Replies
14K Views
Back
Top Bottom