Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 370,742
- 858,458
Ni tsunami ya kutoweka kwa wanaume kamili... Ulaya tayari wanapumulia mashine.... Hakuna wanaume kamili tena... Wanaume waliopo nao wanahitahi wanaume
Baada ya kuacha asili nichukue mkondo wake... Wao wakaja kuwatungia watu sheria za mahusiano... Baada ya hapo ile ladha ya upendo ikatoweka... Zikabaki sheria na kanuni
Kama unampenda usiwe na mwingine
Kama unampenda ukitoka naye mshike mkono
Kama unampenda lazima umtoe out
Kama unampenda lazima umnunulie vitu vya gharama
Kama unampenda basi sherehe za kuzaliwa, honey moon, anniversary na Valentine lazima mfuko utoboke
Ni lazima umsaidie shughuli mbalimbali za nyumbani
Na ikitokea siku shetani akakupitia ukachepuka akajua, basi hata uombe msamaha vipi husamehewi na kifuatacho ni talaka... Worse enough mtagawaa pasu kwa pasu kilichopo
Ikawa si mapenzi wala upendo wa asili tena... Ikawa si kufanya jambo naturally kwa upendo na mahaba bali kanuni zinakulazimu kufanya
Kanuni na sheria hizi zikaleta stress kubwa kwa wanandoa.... Ndoa zikaanza kuvunjika... Mahusiano mengi yakafa...
Wakaletewa kitu kipya sasa... Ndoa ama mahusiano ya mkataba... Hakuna mapenzi ya dhati hapo kuna matamanio tu huku kanuni za kisheria zikiwaongoza... Baada ya mkataba kwisha kila mmoja anajua lwake... Hata kama unampenda mwenzio bado lakini mkataba wenye vigezo na masharti mengi hauruhusu....
Mmh wakalipokea kwa fujo wakidhani ndio mkombozi... Kwamba ikitokea mmoja kazingua basi mnarudi kuangalia mkataba unasemaje...
Mapenzi ni pepo ya asili ya siri... Hayapangwi wala hayapangiwi kanuni.. Hujiendesha yenyewe juu ya ufahamu wa sheria na kanuni za kutungwa na binadamu asiye mkamilifu
Hili la mikataba nalo likaangukia pua... asili ikawa bado inadai mkondo wake... Utafiti wa kibidamu ukafanywa tena ikaonekana kuna tofauti kubwa kati ya wanaume na wanawake hivyo ni ngumu kuishi pamoja kwahiyo ikawa sasa ni rasmi mwanaume ni ruhusa kulala na mwanaume mwenzake yani kuwa na mahusiano ya kingono.... Ushoga ukashamiri... Wanawake kuona hivyo nao wakalipa kisasi wakageukiana wao kwa wao usagaji ikawa ndio habari ya mujini.... Wakatengenezewa na midoli ya uume..wakajipa na raha
Lakini asili ni asili tuu yote hayo yamepita... Bado asili inadai urijali asilia wa kweli sio viagra, sio dirdo, sio vumbi la Kongo.... Watapataje hii kitu? Wanaume rijali hakuna tena...
Sasa fasheni sasa hivi ni wanyama wa kiume... Mashoga wamekimbilia huko wanawake wametimkia huko... Kuna mfanano na asili lakini si asili kamili... Likiisha hili nini kitafuata?
Je hawa wanyama wa kiume nao wakigeuka mashoga? Ngachoka kabisa na hii dunia
Baada ya kuacha asili nichukue mkondo wake... Wao wakaja kuwatungia watu sheria za mahusiano... Baada ya hapo ile ladha ya upendo ikatoweka... Zikabaki sheria na kanuni
Kama unampenda usiwe na mwingine
Kama unampenda ukitoka naye mshike mkono
Kama unampenda lazima umtoe out
Kama unampenda lazima umnunulie vitu vya gharama
Kama unampenda basi sherehe za kuzaliwa, honey moon, anniversary na Valentine lazima mfuko utoboke
Ni lazima umsaidie shughuli mbalimbali za nyumbani
Na ikitokea siku shetani akakupitia ukachepuka akajua, basi hata uombe msamaha vipi husamehewi na kifuatacho ni talaka... Worse enough mtagawaa pasu kwa pasu kilichopo
Ikawa si mapenzi wala upendo wa asili tena... Ikawa si kufanya jambo naturally kwa upendo na mahaba bali kanuni zinakulazimu kufanya
Kanuni na sheria hizi zikaleta stress kubwa kwa wanandoa.... Ndoa zikaanza kuvunjika... Mahusiano mengi yakafa...
Wakaletewa kitu kipya sasa... Ndoa ama mahusiano ya mkataba... Hakuna mapenzi ya dhati hapo kuna matamanio tu huku kanuni za kisheria zikiwaongoza... Baada ya mkataba kwisha kila mmoja anajua lwake... Hata kama unampenda mwenzio bado lakini mkataba wenye vigezo na masharti mengi hauruhusu....
Mmh wakalipokea kwa fujo wakidhani ndio mkombozi... Kwamba ikitokea mmoja kazingua basi mnarudi kuangalia mkataba unasemaje...
Mapenzi ni pepo ya asili ya siri... Hayapangwi wala hayapangiwi kanuni.. Hujiendesha yenyewe juu ya ufahamu wa sheria na kanuni za kutungwa na binadamu asiye mkamilifu
Hili la mikataba nalo likaangukia pua... asili ikawa bado inadai mkondo wake... Utafiti wa kibidamu ukafanywa tena ikaonekana kuna tofauti kubwa kati ya wanaume na wanawake hivyo ni ngumu kuishi pamoja kwahiyo ikawa sasa ni rasmi mwanaume ni ruhusa kulala na mwanaume mwenzake yani kuwa na mahusiano ya kingono.... Ushoga ukashamiri... Wanawake kuona hivyo nao wakalipa kisasi wakageukiana wao kwa wao usagaji ikawa ndio habari ya mujini.... Wakatengenezewa na midoli ya uume..wakajipa na raha
Lakini asili ni asili tuu yote hayo yamepita... Bado asili inadai urijali asilia wa kweli sio viagra, sio dirdo, sio vumbi la Kongo.... Watapataje hii kitu? Wanaume rijali hakuna tena...
Sasa fasheni sasa hivi ni wanyama wa kiume... Mashoga wamekimbilia huko wanawake wametimkia huko... Kuna mfanano na asili lakini si asili kamili... Likiisha hili nini kitafuata?
Je hawa wanyama wa kiume nao wakigeuka mashoga? Ngachoka kabisa na hii dunia