Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Ukweli ni kwamba kutokana na ongezeko la social Media ni kwamba mwanamke mmoja anatongozwa na wanaume kuanzia watano minimum!na kuondelea 10etc,na wote wanakuja na some message I love so much!,kwa...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Wakati naweka bandiko kule love connect kua natafuta mwanamke Mzuri, kuna watu walidhani ni masihara, lakini nashukuru mungu nimempata niliemtaka. Sikudhani kama JF kuna wadada wazuri kiasi...
2 Reactions
69 Replies
6K Views
Mwaka jana July nilikutana na mtoto katika pilikapilika za saba saba, naposema mtoto ni mtoto kweli, anazo sifa zote za kumfanya mwanaume adate kwake. Mimi kama mwanaume pia ikanibidi nidate...
4 Reactions
22 Replies
4K Views
Kwa wanawake...plzzzz tunaomba mtueleze ni kitendo gani cha kukuumiza kuliko vyote ulivyowahi kufanyiwa na mpenzi, x au mume wako... Wanaume someni coments muone ushetani mnaoufanya kwa wanawake...
0 Reactions
2 Replies
808 Views
Yaani daimond kawapa wanawake 3 mimba ambao ni mastaa wa east africa nikidume eti. Kwa manaa ukishampa mwanamke mimba hana ujanja tena nyie nimaisha yenu yote mutakuwa kith kimoja kisa mtoto au...
1 Reactions
7 Replies
964 Views
Wanawake wa skuizi wako vizuri kutupanga sie wanaume kuriko ata tunavyowapanga Kama mwez umepita nimeona dem mzr na mzee flan hv Kumfata dem kumbe yuko na yule mzee bna Mzee ana kama miaka 50...
2 Reactions
28 Replies
4K Views
Mimi ni mwanamke wa miaka 27,sijaolewa,Sina mtoto,Sina mpenzi,nimepanga naishi na mdogo wangu mmoja yuko kidato cha nne sasa. Tatizo langu ni moja tangu nianze kujihusisha na mapenzi napata...
21 Reactions
375 Replies
32K Views
Haya ni makosa matatu tunayofanya sisi wanaume [sio wa kinondoni] pindi tunapomtongoza mwanamke! Kosa la kwanza liepuke usimuulize mwanamke Kama yupo single ama ana mtu!kwani akikwambia ana mtu...
12 Reactions
21 Replies
3K Views
Yalinikuta nikiwa mwaka wa kwanza chuo. Tulikuwa na group la marafiki wanne na sisi ndiyo tulikuwa hot enzi hizo. Tulikwenda kanisani pamoja na ku hang out pamoja. Tuliachana muda wa madarasa...
11 Reactions
135 Replies
11K Views
Sisi wanaume [sio wa kinondoni] tumetofautiana namna tunavyotamani ama kupenda mwanamke! Kitu cha kwanza kinachonishawishi nikikutana na mwanamke sehemu kwanza ni muonekano(muonekano huongeza...
3 Reactions
33 Replies
4K Views
Wandugu nahisi ninatatizo kwasababu kila msichana nitakae fanyanae mapenzi lazima apate mimba yani hata kama anajulikana ni mgumba. Nikitumia kinga na ikatokea imetoboka bahati mbaya ujue ni...
0 Reactions
72 Replies
8K Views
Habari yenu ndugu jamaa na marafiki mliopo ndani ya Jf., Nia na madhumuni ya kuandika uzi huu, nihitaji la msingi kabisa ambalo kila binadamu aliyekamilika lazima alitimize. Mim ni mhitimu wa...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wote mnakaribishwa , picha inajieleza
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Naona kuna picha zinasambaa mama mmoja anasema wanaume wanafika kileleni dakika ya pili ya mechi sasa kufika kileleni mapema ni dalili kwamba nguvu zako zipo karibu au zipo mbali maana hata...
2 Reactions
61 Replies
22K Views
Kwa mujibu wa shirika la afya duniani WHO ni kwamba kama wewe huna penzi basi ni dhaifu
2 Reactions
52 Replies
5K Views
Hi guys leo tutazungumzia pombe. Kama ilivyoada kila kitu kina faida zake na hasara zake, tuangalie faida kwa leo. Japo me sio mnywaji wa hiyo kizaga ila ntaleta faida nnazozijua, nyingine...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna watu huwa nawashangaa sana, yaani unakuta mtu anaona kabisa dalili za kwamba mwenzake sio muaminifu halafu anaendelea nae tu, na wengine unakuta ndio anamuonya mwenzake lakini anaona kabisa...
8 Reactions
51 Replies
10K Views
Japokuwa wamejitokeza wanasayansi uchwara kwa kusema ukila baadhi ya vyakula fulani unanenepa kupita kiasi sasa sisi team vimbambau tunapingana vikali ni utafiti huu!yaani sisi wengine hata tunywe...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Yaani ninyi hamna akili kabisa nilipokuja kuchumbia swali kubwa lilikuwa kazi yangu, Nimewaambia kwa sasa nasajili laini za Tigo, Voda na Airtel munaanza mbona Mzee?? kwanini hamkuanza kuushangaa...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom