plan z
JF-Expert Member
- Jun 10, 2019
- 1,395
- 1,439
Hi guys, i hope mko poa. La leo lililonileta ni kukusanya mahitaji yenu ni mada zipi mnataka au ni maswali yapi mliyonayo mnayohitaji ufumbuzi au majibu, yanayohusiana na jukwaa hili, then kupitia comments zenu nitajua nini mnahitaji, na kila wazo nitalifanyia kazi nami nitaandaa thread ambazo zitajibu hayo maswali na maoni au hoja n.k
Uwanja ni wenu. Fungukeni msiogope
Uwanja ni wenu. Fungukeni msiogope