Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.8K
Threads
7.9K
Posts
231.8K

On JF:

Sasa huyo ni mdada au mama? Acha kudhalilisha Wamama wa watu.
2 Reactions
23 Replies
3K Views
Habarini Wadau, Kuna manzi mmoja nilimtokea kama mwez umepita hv akasema ngoja kwanza tufahamiane vizuri then ndo atanijibu sasa leo hii naona amenijibu kwa kunikubalia, nilikua nauliza ni baada...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Amini amini nawaambia bila michepuko kuwepo katika dunia hii wanaume wengi wangekufa sana,wengi wangekuwa machizi kabisaaaa. NB:michepuko si mizuri lakini ina umuhimu mkubwa katika jamii hasa...
3 Reactions
82 Replies
8K Views
Wadau kama mada inavyojieleza hapo juu ninahitaji ufafanuzi juu ya swala hili. Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
40 Replies
14K Views
Habari Wakuu, Nikiwa na rafiki yangu tumekaa In a restful place tukijadili mambo kadhaa,akanieleza kisa hiki -Yuko kwenye mahusiano na wanawake wawili tofauti na anapata wakati mgumu katika...
2 Reactions
72 Replies
7K Views
Ndugu, jamaa na marafiki wanasema nimebadilika sana sio Mimi waliyekuwa wamenizoea wasi wasi wao ni kwamba kuna kitu nimefanyiwa ila mimi naona nipo okay..
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Wanaungwana nawasalimu sana Ninaandika Uzi huu nikiwa nimechanganyikiwa nisijue nini nikifanye Nimekuja kwenu mnipe ushauri kwa namna moja ama nyingine,najua kuna watakaonitukana/kunibeza kwa...
1 Reactions
52 Replies
7K Views
Ni neno lipi ambalo utamwambia mwanamke unaempenda ili ajue kama unamuhitaji kimwili. Jamani anaejua Anisaidie tafahdali. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Brothers and sisters habar zenu, Bila kupoteza muda wacha nende direct kwa topic. Toka nianze mahusiano na gal mpya tuna 7months now kila tukikutana ni mwendo wa romance daily na almost tunakutana...
4 Reactions
30 Replies
3K Views
Nimekutana na kamchepuko kamoja ni ka kijjn tuuuu sidhani kama kama ujanja wa kutumia Tigo...... Muda wa kupima oil mara nikagusa kule....tobo laini....dole likazama..... ...ohooooo kakatikia...
1 Reactions
73 Replies
9K Views
Rafiki yangu wa karibu( msichana) sio mpenzi wangu lakini she is more than a friend to me ana birthday yake hiyo kesho tarehe 23 May, sina idea yoyote ya zawadi gani ya kumpatia! pse wadau...
0 Reactions
33 Replies
20K Views
Si kila anayekutongoza anakupenda nokuna mwingine alikutongoza tu kwa sababu ulikutana naye kwenye eneo ambao alihisi kuacha kuchukua no yako ya simu au kukutongoza ataonekana yeye ni boya au domo...
8 Reactions
12 Replies
2K Views
Nakumbuka nilikuwa namawazo sana nafikiria huyu binti atakubali kweli? Kipindi hiko maisha magumu kinoma niliwaza pesa ya kishere kidogo naitoa wap?? Nashukuru Mungu ilipita salama gharama...
3 Reactions
58 Replies
5K Views
ACHA UMBEA NENDA KAFANYE KAZI WEWEEE 🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🤮
9 Reactions
124 Replies
16K Views
Nyie watu wenye jinsia ya kiume wa mikoani kiukweli ni watu wa ajbu sana. Mnasikitisha na kuumiza mioyo sisi wanaume wa mjini. Hujisikii vibaya mwanaume mzima umekaa kwenye baiskel mkeo amebeba...
2 Reactions
37 Replies
6K Views
Napoishi Mimi Nina jirani yangu mmoja Ni maskini tu Kama mimi anaishi maisha ya kuunga unga Sana kapanga chumba kimoja na ana mke na watoto wawili.sasa huyu jamaa ana hasira Sana,nadhani ipo siku...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
  • Closed
Mwenzenu nataka nifanye maamuzi magumu ya kuachana na mume wangu Sababu kubwa ana wivu sana yani sijui ni wivu wa wapi jamani..tumeishi wote miaka 5 tuna mtoto mmoja na nyumba kajenga nzuri tuu...
18 Reactions
260 Replies
22K Views
Ngoja niende kwenye hoja moja kwa moja! Kwa kifupi sipendi harufu yoyote mbaya!nikitaka kudate na mwanamke yeyote cha kwanza inategemea ananukia vipi,Mimi kumtongoza mwanamke Mara ya kwanza...
11 Reactions
70 Replies
10K Views
Mademu wa nightclub tunashindwa kuwaelewa mnajiuza au,maana unakuta mtoto mzur unamnulilia bia ukijua umeopoa ukienda kuduu nae asbh anataka hela Sent using Jamii Forums mobile app
3 Reactions
30 Replies
7K Views
nauza dawa aina ya lutambulilo, kama una wasiwasi na mienendo ya mkeo, hii ndio suluhisho, AINA ZA LUTAMBULILO. ya kunasana, ya kuuwa ( mwanaume after game baada ya masaa 48, kama atakuwa na...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom