GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,292
- 6,772
Yaani ninyi hamna akili kabisa nilipokuja kuchumbia swali kubwa lilikuwa kazi
yangu, Nimewaambia kwa sasa nasajili laini za Tigo, Voda na Airtel munaanza
mbona Mzee?? kwanini hamkuanza kuushangaa uzee wangu? Yaani baada
ya kugundua tu kuwa gari nililokuja nalo si la kwangu nimesindikizwa tu na msamalia
mwema ndo mnaanza NYOKO NYOKO?
Wapumbavu wakubwa ninyi..... Sasa subirini mpango wangu wa kuvunja benki
ya ushirika ukikamilika mutaniita tu kijana.
Haya mambo Yanatia hasira sa mimi na YAPUKA nani Mzee?????
Naogopa tu ban nilitaka kukuporomosheeni sana matusi, najua we mzee minja
unapatikana sana humu nakuuliza tena mimi na Muheshimiwa mstaafu nani mzee???
yangu, Nimewaambia kwa sasa nasajili laini za Tigo, Voda na Airtel munaanza
mbona Mzee?? kwanini hamkuanza kuushangaa uzee wangu? Yaani baada
ya kugundua tu kuwa gari nililokuja nalo si la kwangu nimesindikizwa tu na msamalia
mwema ndo mnaanza NYOKO NYOKO?
Wapumbavu wakubwa ninyi..... Sasa subirini mpango wangu wa kuvunja benki
ya ushirika ukikamilika mutaniita tu kijana.
Haya mambo Yanatia hasira sa mimi na YAPUKA nani Mzee?????
Naogopa tu ban nilitaka kukuporomosheeni sana matusi, najua we mzee minja
unapatikana sana humu nakuuliza tena mimi na Muheshimiwa mstaafu nani mzee???